< Psaumes 76 >

1 Psaume d'Asaph, Cantique [donné] au maître chantre, [pour le chanter] sur Neguinoth. Dieu est connu en Judée, sa renommée est grande en Israël;
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo. Katika Yuda, Mungu anajulikana, jina lake ni kuu katika Israeli.
2 Et son Tabernacle est en Salem, et son domicile en Sion.
Hema lake liko Salemu, makao yake katika Sayuni.
3 Là il a rompu les arcs étincelants, le bouclier, l'épée, et la bataille; (Sélah)
Huko alivunja mishale imetametayo, ngao na panga, silaha za vita.
4 Tu es resplendissant, [et] plus magnifique que les montagnes de ravage.
Wewe unangʼaa kwa mwanga, mwenye fahari zaidi ya milima yenye utajiri wa wanyama pori.
5 Les plus courageux ont été étourdis, ils ont été dans un profond assoupissement, et aucun de ces hommes vaillants n'a trouvé ses mains.
Mashujaa hulala wametekwa nyara, hulala usingizi wao wa mwisho; hakuna hata mmoja wa watu wa vita anayeweza kuinua mikono yake.
6 Ô Dieu de Jacob, les chariots et les chevaux ont été assoupis quand tu les as tancés.
Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, farasi na gari la vita vilikaa kimya.
7 Tu es terrible, toi; et qui est-ce qui pourra subsister devant toi, dès que ta colère [paraît]?
Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa. Ni nani awezaye kusimama mbele yako unapokasirika?
8 Tu as fait entendre des cieux le jugement; la terre en a eu peur, et s'est tenue dans le silence.
Kutoka mbinguni ulitamka hukumu, nayo nchi ikaogopa, ikawa kimya:
9 Quand tu te levas, ô Dieu! pour faire jugement, pour délivrer tous les débonnaires de la terre; (Sélah)
wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu, kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.
10 Certainement la colère de l'homme retournera à ta louange: tu garrotteras le reste de [ces] hommes violents.
Hakika ghadhabu yako dhidi ya wanadamu inakuletea sifa, na masalia ya ghadhabu yako unajifunga mshipi.
11 Vouez, et rendez vos vœux à l'Eternel votre Dieu, vous tous qui êtes autour de lui, [et] qu'on apporte des dons au Redoutable.
Wekeni nadhiri kwa Bwana Mungu wenu na kuzitimiza; nchi zote za jirani na walete zawadi kwa Yule astahiliye kuogopwa.
12 Il retranche la vie des Conducteurs; il est redoutable aux Rois de la terre.
Huvunja roho za watawala; anaogopwa na wafalme wa dunia.

< Psaumes 76 >