< John 13 >

1 Before the feast of ester whe Iesus knewe that his houre was come that he shuld departe out of this worlde vnto the father. When he loved his which were in the worlde vnto the ende he loved the.
Sasa kabla ya sikukuu ya pasaka, kwa sababu Yesu alifahamu kuwa saa yake imefika ambayo atatoka katika dunia hii kwenda kwa baba, akiwa amewapenda watu wake ambao walikuwa duniani, aliwapenda upeo.
2 And when supper was ended after that the devyll had put in the hert of Iudas Iscariot Simos sonne to betraye him:
Na ibilisi alikuwa amewekwa tayari katika moyo wa Yuda Isikariote, mwana wa simoni, kumsaliti Yesu.
3 Iesus knowinge that the father had geve all thinges into his hondes. And that he was come from God and went to God
Yesu alifahamu kuwa baba ameweka vitu vyote katika mikono yake na kwamba ametoka kwa Mungu na alikuwa anakwenda tena kwa Mungu.
4 he rose from supper and layde a syde his vpper garmentes and toke a towell and gyrd him selfe.
Aliamka chakulani na akatandika chini vazi lake la nje. Kisha alichukua taulo na akajifunga mwenyewe.
5 After that poured he water into a basyn and beganne to wash his disciples fete and to wype them with the towell wherwith he was gyrde.
Kisha akatia maji katika bakuli na akaanza kuwaosha miguu wanafunzi wake na kuwafuta na taulo ambayo alijifunga yeye mwenyewe.
6 Then came he to Simon Peter. And Peter sayde to him: Lorde shalt thou wesshe my fete?
Akaja kwa Simoni Petro, na Petro akamwambia, “Bwana, Unataka kuniosha miguu yangu?”
7 Iesus answered and sayde vnto him: what I do thou wotest not now but thou shalt knowe herafter.
Yesu akajibu na kumwambia, “Nifanyalo hulijui sasa, lakini utaelewa baadaye.”
8 Peter sayd vnto him: thou shalt not wesshe my fete whill ye worlde stondeth. Iesus answered him: yf I wasshe ye not thou shalt have no part with me. (aiōn g165)
Petro akamwambia, “Hutaniosha miguu yangu kamwe.” Yesu akamjibu, “Ikiwa sitakuosha, hutakuwa na sehemu pamoja nami.” (aiōn g165)
9 Simon Peter sayde vnto him: Lorde not my fete only: but also my handes and my heed.
Simoni Petro akamwambia, “Bwana, usinioshe miguu yangu tuu, bali pia na mikono na kichwa changu.”
10 Iesus sayde to him: he that is wesshed nedeth not save to wesshe his fete and is clene every whit. And ye are clene: but not all.
Yesu akamwambia, “Yeyote ambaye amekwisha kuoga haitaji kuoga isipokuwa miguu yake, na amekuwa safi mwili wake wote; ninyi mmekuwa safi, lakini si nyote.”
11 For he knewe his betrayer. Therfore sayde he: ye are not all clene.
Kwa kuwa Yesu alijua yule atakaye msaliti; hii ndiyo sababu alisema, si nyote mmekuwa safi.”
12 After he had wesshed their fete and receaved his clothes and was set doune agayne he sayde vnto them? wot ye what I have done to you?
Wakati Yesu alipokuwa amewaosha miguu yao na akiisha chukua vazi lake na kukaa tena, aliwaambia, “Je Mnaelewa kile ambacho nimewafanyia?
13 Ye call me master and Lorde and ye saye well for so am I.
Mnaniita mimi “Mwalimu” na Bwana hii mnasema kweli, maana ndivyo nilivyo.
14 If I then youre Lorde and master have wesshed youre fete ye also ought to wesshe one anothers fete.
Ikiwa mimi Bwana na mwalimu, nimewaosha miguu yenu, ninyi pia imewapasa kuwaosha wenzenu miguu.
15 For I have geven you an ensample that ye shuld do as I have done to you.
Kwa kuwa nimewapa mfano ili kwamba ninyi pia mfanye kama mimi nilivyo fanya kwenu.
16 Verely verely I saye vnto you the servaunt is not greater then his master nether the messenger greater then he that sent him.
Amini, Amini, nawambia, mtumwa si mkuu kuliko bwana wake; wala yule ambaye ametumwa ni mkuu kuliko yule aliye mtuma.
17 If ye vnderstonde these thinges happy are ye yf ye do them.
Ikiwa unafahamu mambo haya, umebarikiwa ukiyatenda.
18 I speake not of you all I knowe whom I have chosen. But that ye scripture be fulfilled: he that eateth breed wt me hath lyfte vp his hele agaynste me.
Sisemi kuhusu ninyi nyote, kwa kuwa nawajua wale ambao nimewachagua - bali nasema haya ili kwamba maandiko yaweze kutimilizwa: 'Yeye alaye mkate wangu ameniinulia kisigino chake.'
19 Now tell I you before it come: that when it is come to passe ye might beleve that I am he.
Ninawambia hili sasa kabla halijatokea ili kwamba litakapotokea, muweze kuamini kuwa mimi NDIYE.
20 Verely verely I saye vnto you. He that receaveth who soever I sende receaveth me. And he that receaveth me receaveth him that sent me.
“Amini, amini, nawambia, anipokeaye mimi humpokea ambaye nina mtuma, na yule anipokeaye mimi humpokea yule aliye nituma mimi.”
21 When Iesus had thus sayd he was troubled in the sprete and testified sayinge: verely verely I saye vnto you that one of you shall betraye me.
Wakati Yesu aliposema haya, alisumbuka rohoni, alishuhudia na kusema, “Amini, amini, nawambia kwamba mmoja wenu atanisaliti.”
22 And then the disciples loked one on another doutinge of who he spake.
Wanafunzi wake wakatazamana, wakishangaa ni kwa ajili ya nani alizungumza.
23 Ther was one of his disciples which leaned on Iesus bosome whom Iesus loved.
Kulikuwa katika meza, mmoja wa wanafunzi wake ameegama kifuani mwa Yesu yule ambaye Yesu alimpenda.
24 To him beckened Simo Peter that he shuld axe who it was of whom he spake.
Simoni Petro alimuuliza mwanafunzi huyu na kusema, “Twambie ni yupi ambaye kwake anazungumza.”
25 He then as he leaned on Iesus brest sayde vnto him: Lorde who ys it?
Mwanafunzi yule aliye egama kifuani mwa Yesu na akamwambia, “Bwana, ni nani?”
26 Iesus answered he yt ys to whom I geve a soppe when I have dept it. And he wet a soppe and gave it to Iudas Iscarioth Simons sonne.
Kisha Yesu alijibu, “Ni kwake yule nitakaye chovya kipande cha mkate na kumpatia.” Hivyo alipo kuwa amechovya mkate, alimpatia Yuda mwana wa Simon Iskariote.
27 And after the soppe Satan entred into him. Then sayd Iesus vnto him: that thou dost do quickly.
Na baada ya mkate, Shetani alimuingia. Kisha Yesu akamwambia, “Kile ambacho unataka kukifanya ukifanye haraka.”
28 That wist no ma at the table for what intent he spake vnto him.
Sasa hakuna mtu katika meza alijua sababu ya Yesu kusema jambo hili kwake.
29 Some of the thought because Iudas had the bagge that Iesus had sayd vnto him bye those thinges that we have nede af agaynst ye feast: or that he shulde geve some thinge to the poore.
Baadhi yao walidhani kwamba, kwa sababu Yuda alishika mfuko wa fedha, Yesu alimwambia, “Nunua vitu tunavyohitaji kwa ajili ya sikukuu,” au kwamba anapaswa kutoa kitu kwa masikini.
30 Assone then as he had receaved the soppe he wet immediatly out. And it was night.
Baada ya Yuda kupokea mkate, alitoka nje harak; na ilikuwa usiku.
31 Whe he was gone out Iesus sayde: now is the sonne of man glorified. And God is glorified by him.
Wakati Yuda alipokuwa ameondoka, Yesu alisema, “Sasa mwana wa Adam ametukuzwa, na Mungu ametukuzwa katika yeye.
32 Yf God be glorified by him God shall also glorify him in him selfe: and shall strayght waye glorify him.
Mungu atamtukuza katika yeye mwenyewe, na atamtukuza haraka.
33 Deare chyldren yet a lytell whyle am I with you. Ye shall seke me and as I sayde vnto the Iewes whither I goo thither can ye not come. Also to you saye I nowe.
Watoto wadogo, niko pamoja nanyi kitambo kidogo. Mtanitafuta, na kama nilivyowambia Wayahudi, 'Niendako, hamuwezi kuja.' sasa nawambia ninyi, pia.
34 A newe commaundment geve I vnto you that ye love to gedder as I have loved you that even so ye love one another
Ninawapa amri mpya, kwamba mpendane; kama mimi nilivyo wapenda ninyi, vivyo hivyo nanyi pia imewapasa kupendana ninyi kwa ninyi.
35 By this shall all me knowe yt ye are my disciples yf ye shall have love one to another.
Kwa ajili ya hili watu watatambua kuwa ninyi ni wanafunzi wangu, ikiwa mna upendo kwa kila mmoja na mwingine.”
36 Simon Peter sayd vnto him: Lorde whither goest thou? Iesus answered him: whither I goo thou canst not folowe me now but thou shalt folowe me afterwardes.
Simoni Petro alimwambia, “Bwana, unakwenda wapi?” Yesu akajibu, “Mahali ninapokwenda kwa sasa hutaweza kunifuata, lakini utanifuata baadaye.”
37 Peter sayd vnto him: Lorde why canot I folowe the now? I will geve my lyfe for thy sake?
Petro akamwambia, “Bwana, kwa nini nisikufuate hata sasa? Mimi nitayatoa maisha yangu kwa ajili yako.”
38 Iesus answered him: wilt thou geve thy lyfe for my sake? Verely verely I saye vnto the the cocke shall not crowe tyll thou have denyed me thryse.
Yesu akajibu, “Je utayatoa maisha yako kwa ajili yangu? Amini amini nakwambia, jogoo hatawika kabla hujanikana mara tatu.”

< John 13 >