< Leviticus 5 >

1 [Yahweh also said to tell the people], “If [a judge] orders any of you to tell [in court] something that you have seen or something that you heard someone say, if you refuse to say what you know is true, you must (pay a penalty/be punished) [MTY] for refusing to tell what you know.
Kama mtu atatenda dhambi kwa sababu hakusema ukweli wakati alipotakiwa kutoa ushahidi fulani kuhusu kile alichotakiwa, ameona au kufahamu habari zake, yeye anastahili adhabu.
2 If you accidentally touch something which God considers impure [DOU], such as the carcass of a wild animal or the carcass of a bull or cow, or of an animal that scurries across the ground, you must (pay a penalty/be punished).
Au mtu akigusa kitu chochote ambacho Mungu amekitaja kuwa ni najisi hata kama ni mzoga wa wanyama wa porini au ni mzoga wa wanyama wa kufugwa au wataambaao hata kama mtu huyo hakukusudia kumgusa, yeye ni najisi na mwenye hatia.
3 If you touch any human feces, even if you do not intend to do that, when you realize what you have done, you must (pay a penalty/be punished).
Au amegusa kitu chochote kilicho kichafu, kwa vyovyote kama hakujua, ndipo atakuwa na hatia akijua vile.
4 If you carelessly make a solemn promise [to do something] that is good or that is bad, when you realize what you have done, you must (pay a penalty/be punished).
Au kama yeyote akiapa bila kufikiri kwa midomo yake kufanya ubaya, au kufanya vyema kwa vyovyote vile mtu ameapa kwa haraka atakapotambua atakuwa na hatia kwa vitu hivyo.
5 If you are guilty of committing any of those sins, you must confess what you have done.
Mtu yeyote akiwa na hatia kwa vitu hivi, lazima akiri kwa yoyote dhambi aliyotenda.
6 And for a penalty you must bring to Yahweh a female lamb or female goat, to be an offering for the sin that you have committed, and the priest will sacrifice it, and then you will no longer be guilty for your sin.
Ndipo atakapoleta sadaka yake ya hatia mbele za Bwana kwa dhambi aliyokwisha tenda. Ataleta kondoo jike au mbuzi kutoka katika kundi lake kuwa matoleo ya dhambi, kuhani atafanya upatanisho kuhusu dhambi yake.
7 If you [are poor and] cannot afford to bring a lamb, you must bring to Yahweh two doves or two young pigeons. One will be an offering for your sin and one will be an offering that will be completely burned [on the altar].
Kama hataweza kununua mwana kondoo ataleta kama sadaka ya hatia, hua wawili au makinda mawili ya njiwa kwa Bwana, mmoja kwa sadaka ya dhambi na mwingine ni sadaka ya kutekeketezwa.
8 You must bring them to the priest. First he will offer one of them to be an offering for your sin. He will wring/twist its neck [to kill it], but he must not pull off its head completely.
Atawaleta kwa kuhani, wa kwanza atatoa kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Atamvunja shingo yake lakini ataacha kichwa chake kinaning'inia wala hataiondoa kabisa shingo yake katika mwili.
9 Then he must sprinkle some of the blood against the side of the altar. The remaining blood must be drained out at the base of the altar. That will be an offering for your sin.
Ndipo atanyunyizia damu yake katika sehemu za madhabahu, na damu inayobaki ataimwaga chini ya madhabahu. Hii ni dhabihu ya dhambi.
10 The priest will then do what I have commanded and offer the other bird to be completely burned [on the altar]. Then you will no longer be guilty for the sin you have committed, and Yahweh will forgive you.
Ndipo ataoa ndege wa pili kama sadaka ya kuteketezwa kama ilivyoelekezwa, na kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi alizokwisha kufanya, na huyo mtu atakuwa amesamehewa.
11 However, if you [are very poor and] cannot afford two doves or two young pigeons, you must bring to be an offering for your sin (2 pounds/1 kg.) of fine flour. You must not put olive oil or incense on it, because it is an offering for sin.
Lakini kama hataweza kununua hua wawili au makinda ya njiwa mawili, ndipo ataleta kama dhabihu ya dhambi zake sehemu ya kumi ya unga laini kama sadaka ya dhambi. Asiweke mafuta wala ubani juu yake, kwa kuwa ni sadaka ya dhambi.
12 You must take it to the priest. He will take a handful of it, to symbolize that the whole offering truly belongs to Yahweh, and burn it on the altar, on top of the other offerings.
Atauleta kwa kuhani, na kuhani atachukua konzi moja ya unga kama ukumbusho wa wema wa Bwana na atauweka juu ya madhabahu na kuteketeza juu ya sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa ajili ya Bwana. Hii ni sadaka ya dhambi.
13 And by doing that, the priest will enable you to no longer be guilty for any of the sins that you have committed, and you will be forgiven. The part of the offering that is not burned will belong to the priest, like was true for the offerings made from grain.”
Kuhani atafanya upatanisho kwa dhambi yoyote aliyofanya mtu yeyote, mtu huyo atasamehewa. Na sadaka inayobaki itakuwa ya kuhani, kama ilivyo sadaka ya nafaka.'”
14 Yahweh also said to Moses/me,
Bwana akamwambia Musa, akasema,
15 “When you sin, without intending to, by not giving to Yahweh the things that you are required to give to him, you must pay a penalty by bringing to Yahweh a ram that has no defects. You must determine how much silver it is worth, by using the official standard in the temple. It will be an offering to cause you to no longer be guilty.
“Kama mtu akikiuka amri na kufanya dhambi kinyume na mambo matakatifu ya Bwana, lakini akifanya bila kukusudia ataleta sadaka ya hatia kwa Bwana. Sadaka hii itakuwa ni kondoo dume asiye na kasoro kutoka katika kundi; thamani yake halisi kifedha kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, kama sadaka ya hatia.
16 But you must also make restitution for what you failed to give to Yahweh, adding one-fifth of its value. You must give that to the priest. He will offer the ram as a sacrifice for the sin that you have committed, and cause you to no longer be guilty; and you will be forgiven.
Lazima atalipa kwa Bwana kwa kile alichokosa kulingana na kitakatifu, na ataongezea moja ya tano na kumpa kuhani. Ndipo kuhani ataweka upatanisho kwa ajili yake pamoja na kondoo wa sadaka ya hatia, na mtu atakuwa amesamehewa.
17 If you sin by doing something that is forbidden by any of Yahweh’s commands, even if you do not know that you have disobeyed one of my commands, you are guilty and must pay a penalty [to me].
Kama mtu akitenda dhambi kwa kufanya kile ambacho Bwana aliagiza kisifanyike, hata kama hakujuwa, atakuwa na hatia na ataibeba hatia yake.
18 [When you realize what you have done], you must bring a ram to the Supreme Priest to be an offering in order that you will no longer be guilty. You must bring one that has no defects. He will offer the ram to be a sacrifice to me, and as a result you will no longer be guilty for the sin that you have committed, and you will be forgiven.
Lazima ataleta kondoo dume asiye na kasoro kutoka katika kundi, anayestahili thamani ya fedha, kama sadaka ya hatia kwa kuhani. Ndipo kuhani atafanya upatanisho kulingana na dhambi aliyotenda, ambayo hakujua atakuwa amesamehewa.
19 It is an offering to cause you to no longer be guilty for sinning against me.”
Ni sadaka ya hatia, na amekuwa na hatia mbele za Bwana.”

< Leviticus 5 >