< Hosea 11 >

1 “Before the Israeli [people] became a nation [MET], I loved them [like a man loves] his son, and I called them out of Egypt.
“Wakati Israeli alikuwa kijana nilimpenda, na nikamwita mtoto wangu kutoka Misri.
2 But while I continued to call them, they [continued to] turn away from me more and more. They offered sacrifices to their statues of Baal, and they burned incense to [honor] them.
Kwa kadiri waliyoitwa, ndivyo walivyoondoka kwangu. Wakawafanyia dhabihu Baali, wakatafuta uvumba kwa sanamu.
3 [The people of] Israel were [like a little boy] [MET], and [it was as though] it was I who taught them to walk, holding them by their hands. But they did not realize that it was I who was taking care of them.
Lakini mimi ndio niliyemfundisha Efraimu kutembea. Ndiye niliyewainua kwa silaha zao, lakini hawakujua kwamba niliwajali.
4 [It was as though I fastened] ropes [around them] to lead them, while I loved them and was kind to them. [It was as though they were young oxen] [MET], and I lifted the yoke from their necks and bent down to feed them.
Niliwaongoza kwa kamba za ubinadamu, na mafungo ya upendo. Mimi nilikuwa kama mtu aliyepunguza jozi juu ya taya zao, na nikainama na kuwalisha.
5 But the people of Israel will become [slaves] again, like they were in Egypt, and [the people of] Assyria will [RHQ] rule over them, because the people of Israel refused to repent.
Je, hawatarudi nchi ya Misri? Je, Ashuru haitatawala juu yao kwa sababu wanakataa kurudi kwangu?
6 [Their enemies] will use their swords [to attack] the cities in Israel and will destroy the bars in the gates [of the city walls]. [As a result], the people of Israeli will not be able to accomplish the things that they planned to do.
Upanga utaanguka juu ya miji yao na kuharibu makomeo ya milango yao; itawaangamiza kwa sababu ya mipango yao wenyewe.
7 My people are determined to (turn away from/abandon) me. They say that I am the great all-powerful God, but they do not honor me at all.
Watu wangu wameamua kuniacha. Ingawa wanaita kwa Aliye Juu, hakuna mtu atawasaidia.
8 [You people of] Israel, I certainly do not want to [RHQ] abandon you and allow [your enemies] to capture you. I do not [RHQ] want to act toward you like I acted toward Admah and Zeboiim, [cities that I completely destroyed when I destroyed Sodom]. I [SYN] have changed my mind [about punishing you]; my desire to pity you has increased.
Ninawezaje kukuacha, Efraimu? Ninawezaje kukupeleka, Israeli? Ninawezaje kukufanya kama Adma? Ninawezaje kukufanya kama Seboimu? Moyo wangu umebadilika ndani yangu; huruma zangu zote zimeongezeka.
9 Although I am extremely angry, I do not want to punish you severely; I do not want to (devastate/completely ruin) Israel. [Humans would easily decide to do that], but I am God, not a human. I, the Holy One, am with you; although I am very angry [with you], I will not [destroy you].
Sitafanya hasira yangu kali; Mimi sitawaangamiza Efraimu tena. Kwa maana mimi ni Mungu, wala si mtu; Mimi ni Mtakatifu kati yenu, nami sitakuja katika ghadhabu.
10 You will follow me when I roar like [SIM] a lion; when I roar, [some of you] my children will tremble as you return [to Israel] from [the islands and seacoasts toward] the west.
Watanifuata, Bwana. Nitanguruma kama simba. Nami nitaomboleza, na watu watakuja wakitetemeka kutoka magharibi.
11 [Some of] you will come swiftly from Egypt like [a flock of] birds; [others] will return from Assyria, like doves. I will enable you to live in your homes [in Israel] again. [That will surely happen, because I], Yahweh, have said it.”
Watakuja wakitetemeka kama ndege kutoka Misri, kama njiwa kutoka nchi ya Ashuru. Nitawafanya wapate kuishi katika nyumba zao.” Hii ndiyo tamko la Bwana.
12 [Yahweh says, “The people of] Israel have (surrounded me with lies/constantly told lies to me). And the people of Judah have [also] turned/rebelled against me, their God, the Holy One who always does what I promise to do, and the people of Judah worship other gods.”
Efraimu ananizunguka kwa maneno ya uongo, na nyumba ya Israeli kwa udanganyifu. Lakini Yuda bado anaendelea nami, Mungu, na ni mwaminifu kwangu, Mtakatifu.

< Hosea 11 >