< Hosea 10 >

1 “Israel was [like a large] healthy/luxuriant vine [MET] that produced [a lot of] grapes. But as the people became richer, they made more altars [at which to worship idols]. As the people prospered, they [built and] decorated sacred pillars [that they worshiped].
Israeli ni mzabibu mzuri ambao huzaa matunda yake. kwa kadiri matunda yake yanavyoongezeka vivyo hivyo anajenga madhabahu nyingi. Kwa kuwa nchi yake ilizalishwa zaidi, aliboresha nguzo zake.
2 They are deceitful; [so] now they are guilty and must be punished. [I], Yahweh, will tear down their altars and smash those pillars.
Moyo wao ni udanganyifu; sasa wanapaswa kubeba hatia yao. Bwana ataharibu madhabahu zao; ataharibu nguzo zao.
3 Then they will say, ‘It is because we did not revere Yahweh that we no [longer] have a king. But [even if we had] a king, he certainly could not [RHQ] do anything to help us.’
Kwa maana watasema, “Hatuna mfalme, kwa maana hatukumcha Bwana. Na mfalme-angeweza kutufanyia nini?”
4 They falsely promise [that they will do many things]; they solemnly promise and make agreements, but they do not do what they promise. So people accuse and sue [each other in the courts]; they are like [SIM] poisonous weeds [that grow] in a plowed field.
Wanasema maneno tupu na kufanya maagano kwa kuapa uongo. Kwa hivyo haki inakuja kama magugu yenye sumu katika mito ya shamba.
5 The people who live in Samaria [city] are worried about [what may happen to the idol that resembles] a calf [that they set up] at Beth-Aven [town]. The people in Samaria will mourn, and the priests there will cry about it [if it is damaged or destroyed]. [Previously] they shouted joyfully about its being very great; but now it will not be great any more.
Wakazi wa Samaria wataogopa kwa sababu ya ndama za Beth Aveni. Watu wake waliomboleza juu yao, kama walivyofanya wale makuhani wa sanamu ambao walikuwa wamefurahi juu yao na utukufu wao, lakini hawako tena.
6 It will be taken to Assyria to be a gift for the great King [of Assyria]. [So the people of] Israel will be disgraced, and they will be ashamed because [they trusted in] that idol.
Wao watachukuliwa kwenda Ashuru kama sadaka kwa mfalme mkuu. Efraimu atakuwa na aibu, na Israeli atakuwa na aibu kwa sanamu yake.
7 The King of Samaria [and the other people in Samaria] will be gone; they will be like [SIM] a twig [that floats away] on the surface of the water [and disappears].
Mfalme wa Samaria ataangamizwa, kama chipu cha kuni juu ya uso wa maji.
8 The altars on the tops of hills [where the people worshiped idols] will be destroyed; those have been the places where the people of Israel sinned greatly. Thorns and weeds will grow and cover those altars. Then the people will plead to the mountains and hills, ‘Fall [down and] cover us [to protect us from God punishing us]!’
Sehemu za juu za uovu zitaharibiwa. Hii ndiyo dhambi ya Israeli! Miti na vichaka vitakua juu ya madhabahu zao. Watu wataiambia milima, “Tufunike sisi!” na kwa vilima, “Tuangukieni!”
9 [You people of] Israel, [ever since your ancestors did evil things] at Gibeah, you have continued to sin. [When the people at] [PRS] Gibeah [did evil things], the result was a war [in which thousands of people died].
Ee Israeli, umetenda dhambi tangu siku za Gibea; huko umebaki. Je, vita vitawapata wana wa uovu huko Gibea?
10 [So now], when I want to, I will punish the Israeli people. Because of the many sins that they have committed, [the armies of other] nations will gather to attack them, and they will cause the Israeli people to become their slaves.
Nitakapotaka, nitawaadhibu. Mataifa wataungana pamoja nao na kuwaweka katika vifungo kwa uovu wao mara mbili.
11 Israel is [like] [MET] a well-trained (heifer/young cow) that likes to thresh [grain]. [So now you will become slaves]. [It will be as though] I will put a yoke on your neck, and you will be forced to work hard for your enemies in their fields. [You people of] Israel and Judah [will be forced to go to Assyria]; there you [DOU] will pull plows to break up the ground [for planting seeds].
Efraimu ni ndama mwenye mafunzo ambayo anapenda kupura nafaka, hivyo nitaweka jozi juu ya shingo yake nzuri. Efraimu nitauweka jozi; Yuda ataimea; Yakobo atauvuta pigo kwa nafsi yake.
12 [You plow your fields and plant your seeds] and harvest [your crops] [MET], [but what you need to do is] to act righteously and to faithfully love [me]; you need to repent [MET], because it is time to try to know [me], Yahweh; and if you do that, I will pour out [MET] many blessings on you.
Jifanyieni haki, vuneni matunda ya uaminifu wa agano. Chimbueni ardhi yenu isiyopandwa, kwa maana ni wakati wa kumtafuta Bwana, mpaka atakapokuja na kuinua haki juu yenu.
13 You [plant seeds and harvest the crops and eat them]; [but what I consider that you have really done is] that you have planted wicked things and harvested evil things and eaten [MET] the results [IDM] of the lies [that you have told]. [Instead of trusting in me, ] you have (depended on/trusted in) your own power and in your many soldiers.
Mmelima uovu; mmevuna udhalimu. Mmekula matunda ya udanganyifu kwa sababu uliamini katika mipango yako na katika askari wako wengi.
14 As a result, you will [soon] hear the roar of battle, and all your cities that have walls around them will be destroyed, like [SIM] Shalman’s [army] destroyed Beth-Arbel [city] in a battle, and the women [in that city] and their children were bashed to death.
Kwa hiyo mlipuko wa vita utafufuka kati ya watu wako, na miji yako yote yenye ngome itaharibiwa. Itakuwa kama Shalmani aliharibu Beth Arbeli siku ya vita, wakati mama alivunjika vipande vipande na watoto wake.
15 [You people of] [APO] Bethel [city], that is what will happen to you, because you are very wicked. And when the sun rises [on that day], the King of Israel will be killed [in the battle].”
Kwa hiyo itakuwa kwako, Betheli, kwa sababu ya uovu wako mkubwa. Wakati wa mchana mfalme wa Israeli atakatwa kabisa.

< Hosea 10 >