< Ezekiel 8 >

1 On the fifth day of the sixth month [of that year], almost six years after we Israeli people had been (exiled/forced to go to Babylon), I was sitting in my house. The elders of Judah were sitting in front of me. Suddenly the power [MTY] of Yahweh the Lord came on me.
Hivyo ikawa kuhusu katika mwaka wa sita na mwezi wa sita, katika siku ya tano ya mwezi, nilipokuwa nimeketi kwenye nyumba yangu na wazee wa Yuda waliketi mbele yangu, kwamba mkono wa Bwana Yahwe ukanijaza juu yangu huko.
2 [in a vision] I saw someone who resembled a man. Below his waist, [his body] was like fire, and above his waist [his body] was glowing like very hot metal.
Hivyo nikaona, na tazama, kulikuwa na mfano kama mwonekano wa mwanadamu. Kutoka kwenye mwonekano wake wa nyonga kwenda chini kulikuwa na moto. Na kutoka kwenye nyonga kwenda juu kulikuwa na mwonekano wa kitu kinachong'aa, kama mng'ao wa chuma.
3 He reached out what seemed to be a hand and grabbed me by the hair of my head. The Spirit lifted me up high above the earth, and in visions God took me [from Babylon] to Jerusalem. He took me [to the temple], to the north gate, to the place where there was an idol that caused Yahweh to be very disgusted and furious.
Kisha akanyoosha kutoka kwenye mkono na kunichukua kwa nywele za kichwa changu; Roho akaniacha juu kati ya dunia na mbingu, na katika maono kutoka kwa Mungu, akaniletea hata Yerusalemu, kwenye mlango wa kuingia ndani ya lango la kaskazini, ambako sanamu ile iletayo wivu mkubwa ilipokuwa imesiamama.
4 And there in front of me was the brilliant light that indicated the presence of the God whom the Israeli [people previously worshiped. It was] like the vision that I had seen alongside the Kebar River/Canal.
Kisha tazama, utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa huko, kulingana na ono nililokuwa nimeliona kwenye uwanda.
5 Yahweh said to me, “You human, look toward the north!” So I looked, and I saw in the entrance of the gate near the altar that idol that caused Yahweh to be disgusted and furious.
Kisha akanambia, “Mwanadamu, inua juu macho yako kwenda upande wa kaskazini.” Hivyo nikainua macho yangu kuelekea kaskazini, na kwenye lango la kaskazini kulekea kwenye madhabahu, huko kwenye lango la kuingilia, kulikuwa na sanamu ya wivu.
6 He said to me, “You human, do you see what those Israeli people [MTY] are doing? They are doing detestable things here, things that will cause me to abandon my temple. But you will see things that are even more detestable.”
Hivyo akanambia, “Mwanadamu, unaona wanayoyafanya? Haya ni machukizo makubwa ambayo nyumba ya Israeli wanayoyafanya hapa kunifanya niende mbali kutoka patakatifu pangu. Lakini utageuka na kuona machukizo makubwa zaidi.”
7 Then he brought me to the entrance of the courtyard. I looked and saw a hole in the wall.
Kisha akanileta hata kwenye mlango wa uzio, na nikatazama, kulikuwa na shimo kwenye ukuta.”
8 He said to me, “You human, dig through the wall here.” So I dug through the wall, and I saw a doorway inside.
Akanambia, “Mwanadamu, chimba kwenye huu ukuta.” Basi nikachimba kwenye huo ukuta, na kulikuwa na mlango.
9 He said to me, “Go in and see the wicked and detestable things that they are doing there!”
Kisha akanambia, “Nenda na ukaone machukizo ya uovu ambayo wanayoyafanya hapa.”
10 So I went in through the doorway and looked, and I saw, all over the [of a big room, drawings of] all kinds of creatures that scurry across the ground and [other] detestable animals, and drawings of all the idols that the people of [were worshiping].
Basi nilipokuwa nikienda ndani na nikaona, na tazama! Kulikuwa na kila umbo la vitu vikitembea polepole na mnyama achukizaye sana! Kila sanamu wa nyumba ya Israeli ilikuwa imechongwa kwenye ukuta pande zote.
11 In front of them stood 70 elders of Israel. Jaazaniah, the son of Shaphan, was standing among them. Each of them was holding a pan in which incense was burning, and fragrant smoke of the burning incense was rising up.
Wazee sabini wa wa nyumba ya Israeli walikuwa huko, na Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama katikati yao. Walikuwa wamesimama mbele ya picha, na kila mtu alikuwa na chetezo kwenye mkono wake ili kwamba harufu ya ubani ingeweza kupanda juu.
12 Yahweh said to me, “You human, look at [RHQ] what the Israeli elders are doing here in the darkness, each of them standing in front of the shrine of his own idol! They are saying, ‘Yahweh does not see us; Yahweh has deserted this country.’”
Akanambia, “mwanadamu, unaona kile ambacho wazee wa nyumba ya Israeli wanachokifanya kwenye giza? Kila mmoja hufanya hivi kwenye chumba cha sanamu yake, kwa kuwa husema, 'Yahwe hatuone! Yahwe ameitelekeza hii nchi.”'
13 He also said, “But you will see things that are even more detestable!”
Kisha akanambia, “Geuka tena na tazama machukizo makubwa ambayo wanayoyafanya.”
14 Then he took me to the entrance at the north gate of the temple. I saw women sitting there, mourning for [the death of the god of the people of Babylonia], Tammuz.
Tena akanileta kwenye lango la kuingia la nyumba ya Yahwe lililokuwa upande waa kaskazini, na tazama! Wanawake walikuwa wameketi huko wakimlilia Tamuzi.
15 He said to me, “You human, you see this [RHQ], but you will see things that are more detestable than this!”
Hivyo akanambia, “Umeiona hii, mwanadamu? Geuka tena na uone machukizo makubwana zaidi kuliko hayo.”
16 Then he took me into the courtyard outside the temple. There at the entrance of the temple, between the porch and the altar, were about 25 men. Their backs were toward the temple and their faces were toward the east, and they were bowing down to [worship] the sun [as it rose] in the east.
Akanileta hata kwenye uzio wa ndani wa nyumba ya Yahwe, na tazama! huko kwenye lango la kuingia kwenye madhabahu, kulikuwa na takribani watu ishirini na tano waliokuwa wamelipa mgongo hekalu la Yahwe na nyuso zao kuelekea mashariki, na walikuwa wakiabudu jua.
17 He said to me, “You human, you see [RHQ] what they are doing. [Do you think that] it is not important that these men of Judah are doing these detestable things here? [But they are doing other terrible things]. They are acting violently throughout their country, and continually causing me to be angry. Look at them! They are insulting me by their actions [IDM]!
Akanambia, “Unaona hii, mwanadamu? Je ni kitu kidigo kwa ajili ya nyumba ya Yuda kufanya haya machukizo wanayoyafanya? Kwa kuwa wameijaza nchi kwa uovu na wamerudi tena ili kuniletea hasira, kuweka tawi kwenye pua zao.
18 So I will show them that I am very angry. I will not pity them or act mercifully toward them. And even if they shout to me [to help them], I will not pay attention to them.”
Hivyo nitatenda miongoni mwao pia; jicho langu halitakuwa na huruma, sitaacha kuwaharibu. hata watalia kwenye masikio yangu kwa sauti kubwa, sitawasikia.”

< Ezekiel 8 >