< Ezekiel 7 >

1 Yahweh gave me another message. [He said]
Neno la Yahwe likanijia, likisema,
2 “You human, this is what [I], Yahweh the Lord, say to [the people] [MTY] of Israel: All of Israel will soon be destroyed.
Wewe, mwanadamu-Bwana Yahwe asema hivi kwa nchi ya Israeli.”'Mwisho! Mwisho umekuja kwenye mipaka minne ya nchi.
3 [people of Israel], the end has come. I will punish you severely. I will judge you for all the wicked things that you have done, and pay you back for your disgusting behavior.
Sasa mwisho uko juu yako, kwa kuwa natuma ghadhabu yangu juu yako, nitakuhukumu kulingana na njia zako; nitaleta machukizo yako yote juu yako.
4 I will not pity you or act mercifully toward you. I will [surely] punish you for your wicked behavior [DOU]. Then you will know that [it has happened because] I, Yahweh, [have done it].”
Kwa kuwa macho yangu hayatakuhurumia, na sitakuharibu. Badala yake, nitaleta njia zako zote juu yako, na machukizo yako yote yatakuwa katikati yako, hivyo utajua kwamba mimi ni Yahwe.
5 This is [also] what Yahweh the Lord says: “You will soon experience many terrible disasters!
Bwana Yahwe asema hivi: Msiba! Msiba wa pekee! Tazama, unakuja.
6 This will be the [of Israel]; your country will be finished! And your [lives] will be ended [PRS]!
Mwisho unakuja hakika. Mwisho umeamsha dhidi yenu. Tazama! unakuja!
7 It will be the end of you people who live in the [of Israel]. The time has come; the [when you will be destroyed] is near. At that time [the people who worship idols] on the mountains will not be happy; they will panic.
Kifo chako kinakuja kwako ukaaye kwenye nchi. Mda umefika; siku ya uharibifu iko karibu, na milima haitakuwa na shangwe tena.
8 I am very angry with you and am about to pour out my punishment [MTY] on you. I will judge you for all the wicked things that you have done and pay you back for your disgusting behavior.
Sasa baada ya mda mfupi nitamwaga dhahabu yangu juu yako na kujaza hasira yangu juu yako wakati nitakapokuhukumu kulingana na njia zako na kuleta machukizo yako yote juu yako.
9 I will not pity you or act mercifully toward you. I will surely punish you for your wicked behavior [DOU]. Then you will know that it is I, Yahweh, who have punished you.
Kwa kuwa jicho langu halitaona kwa huruma, sitakuharibu, kama ulivyofanya, nitafanya kwako; na machukizo yako yatakuwa katikati yako hivyo utajua kwamba ni mimi Yahwe, anayekuadhibu.
10 The [of your punishment] is here! It has arrived! Disasters have come.
Tazama, siku! Tazama, inakuja! Kifo kimetoka! fimbo ya kuadhibia imechanua, kiburi kimechipua!
11 People are acting violently and doing more wicked things. And nothing that belongs to those people will be left, none of their money, nothing that is valuable.
Udhalimu umekua kwenye fimbo ya udhaifu-hakuna kati yao, na hakuna katika ya kundi lao, hakuna katika utajiri wao, na hakuna wa muhimu wao atakaye baki!
12 Now is the time; that day has arrived.
Muda unakuja; siku imekaribia. Usimuache anayenunua shangwe, wala asihuzunike auzaye, kwa kuwa hasira yangu iko juu ya kikundi kizima!
13 People who buy things should not [because of buying things very cheaply], and those who sell things should not be [because they had to sell things cheaply], [Yahweh] will be punishing [MTY] everyone. During the rest of their lives, people who sell some of their property will never be able to buy it back, because I, Yahweh, will never change my mind about what I have declared; because of your sins, [I will destroy] all of you people.
Kwa kuwa muuzaji hatarudia kile kilichouzwa, kadiri wanapoendelea kuishi, kwa kuwa maono yako juu yako kikundi kizima. Hawatarudi, kwa kuwa hakuna mtu anayeishi kwenye dhambi atakayejitia nguvu!
14 Even though [soldiers] blow [to prepare for] a battle, no soldier will go into a battle, because I will have killed all of them.
Wamepiga tarumbeta na kufanya kila kitu tayari, lakini hakuna mtu anayeenda kupigana; kwa kuwa hasira yangu iko juu ya kundi zima.
15 [When those things happen, your enemies] will be [the city] with their swords, and there will be plagues and famines [the city]. [who flee from the city] into the countryside will be killed [their enemies’] swords, and those who stay in the city will die from famines and plagues.
Upanga uko nje, na tauni na njaa viko nje kwenye jengo. Wale walioko shambani watakufa kwa upanga, wakati njaa na tauni zitakapowala wale waliopo kwenye mji.
16 Those who survive and escape will flee to the mountains, and they all will moan like doves because of their sins.
Lakini watakao salia watatoroka kutoka miongoni mwao, na watakwenda kwenye milima. Kama hua wa mabondeni, wote watalia-kila mtu kwa ajili ya uovu wake.
17 [Because everyone will be very afraid, ] all the people’s hands will become limp and their knees will become very weak.
Kila mkono utasita na kila goti litakuwa dhaifu kama maji, na watavaa nguo za magunia, na hofu kuu itawafunika,
18 They will put on clothes made from rough cloth, and they will be terrified. Their faces will show that they are ashamed, and they will shave their [to show that they are very sad].
na aibu itakuwa juu ya kila uso, na upara juu ya vichwa vyao vyote.
19 They will throw their silver into the streets, and consider that their gold is only like [SIM] garbage, because they will realize that their silver and gold will not be able to rescue them when I, Yahweh, punish them. They will not be able to use their gold and silver to buy things to fill their stomachs, because having a lot of gold and silver has led them to sin.
Watatupa fedha yao kwenye mitaa na dhahabu yao itakuwa kama jalala. Fedha yao na dhahabu yao haitaweza kuwaokoa katika siku ya ghadhabu ya Yahwe. Maisha yao hayataokolewa, na njaa yao haitashiba, kwa sababu uovu wao umekuwa kizuizi.
20 They were proud of their beautiful jewelry, and they used it to make their detestable idols and disgusting [of their gods]. So I will cause them to be disgusted with those things.
Kwenye fahari yao walichukua kito yake nzuri za mapambo, pamoja nao wakatengeza sanamu zao za vinyago, na vitu vyao vichukizavyo. Kwa hiyo, nayabadilisha haya kuwa kitu najisi kwao.
21 I will give their silver and gold to foreigners who invade your country and take away your valuable treasures. I will give those things to wicked people, and they will do disgraceful things to those treasures that I give them.
Kisha nitawapatia hivyo vitu kwenye mikono ya wageni kama mateka na kwa waovu wa dunia kama mateka, na watapanajisi.
22 I will not (interfere with/stop) [IDM] robbers when they enter my sacred temple and desecrate it.
Kisha nitaugeuza uso wangu mbali kutoka kwao watakapo najisi mahali pangu pa siri; maharamia wataingia humo na kupanajisi.
23 Prepare chains to be fastened on you. People are being murdered [MTY] throughout the country, and people are acting violently throughout the city.
Tengeneza mnyororo, kwa sababu nchi imejaa hukumu ya damu, na mji umejaa udhalimu.
24 So I will bring armies of the nations whose people are extremely wicked to occupy the houses of the Israeli people. I will cause Israeli [who think that they] are [IRO] strong/mighty to no longer be proud. Your enemies will cause your places of worship to no longer be acceptable to be used.
Hivyo nitaleta waovu wengi wa mataifa, na watamilki nyumba zao, na nitaleta mwisho kwenye fahari ya uweza, kwenda mahali pao patakatifu patanajisiwa!
25 When your enemies cause you to be terrified, you will plead for them to make peace, but there will be no peace.
Hofu itakuja! Wataitafuta amani, lakini haitakuwepo.
26 You will experience many disasters, and you will continually hear [about disasters that are happening in other places]. People will plead with prophets to tell them what visions they have received, [but the prophets will not have received any visions]. Priests will no longer teach people the [that I gave to Moses].
Majanga juu ya majanga yatakuja juu yangu, na kutakuwa na tetesi juu ya tetesi. Kisha watatafuta ono moja kutoka kwa nabii, lakini sheria itawaangamiza kutoka kwa kuhani na shauri kutoka kwa wazee.
27 Your king will mourn, and his son will no [longer] [that good things will happen]. The hands of people throughout the country will tremble. And I will do to them what they deserve for their wicked behavior. I will [and condemn] them the same way they have [and condemned] others. Then they will know that I, Yahweh, [have the power to do what I say that I will do].”
Mfalme ataomboleza na mwana wa mfalme atakata tamaa, wakati mikono ya watu wa nchi itatetemeka kwa hofu. Kulingana na njia zao wenyewe nitafanya hivi kwao! Nitawahukumu sawa sawa na wanavyostahili hadi watakapojua yakwamba mimi ni Yahwe.'”

< Ezekiel 7 >