< Psalms 120 >

1 A song of ascents. In distress I cried to the Lord, and he answered me.
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
2 ‘Deliver me, Lord, from the lip that is false and the tongue that is crafty.’
Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
3 What shall he give to you, you tongue that is crafty? What yet shall he give to you?
Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4 Arrows of warrior, sharpened, with glowing broom coals together.
Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
5 Woe is me that I sojourn in Meshech, that I live by the tents of Kedar.
Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
6 Already too long have I dwelt among those who hate peace.
Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
7 I am for peace: but when I speak of it, they are for war.
Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.

< Psalms 120 >