< Psalms 4 >

1 Hear me when I call, O God of my righteousness: you have enlarged me when I was in distress; have mercy upon me, and hear my prayer.
Unijibu nikuitapo, Mungu wa haki yangu; uniokoe niwapo katika hatari. Unihurumie na usikie maombi yangu.
2 O all of you sons of men, how long will all of you turn my glory into shame? how long will all of you love vanity, and seek after leasing? (Selah)
Ninyi watu, mpaka lini mtaiabisha heshima yangu? Mpaka lini mtaendelea kupenda kile kisicho stahili na kutafuta uongo?
3 But know that the LORD has set apart him that is godly for himself: the LORD will hear when I call unto him.
Lakini mjue ya kuwa Yahweh huchagua watu wa kimungu kwa ajili yake. Nitakapo mwita Yahwe atasikia.
4 Stand in awe, and sin not: commune with your own heart upon your bed, and be still. (Selah)
Tetemekeni na kuogopa, lakini msitende dhambi! Tafakarini mioyoni mwenu kwenye vitanda vyenu na muwe kimya.
5 Offer the sacrifices of righteousness, and put your trust in the LORD.
Toeni matoleo ya haki na muweke imani yenu katika Yahweh.
6 There be many that say, Who will show us any good? LORD, lift you up the light of your countenance upon us.
Wengi husema, “Ni nani atakaye tuonyesha chochote kilicho kizuri?” Yahweh, utuangazie nuru ya uso wako.
7 You have put gladness in my heart, more than in the time that their corn and their wine increased.
Umeupa moyo wangu furaha kuu kuliko wao wanapozidishiwa nafaka na divai mpaya.
8 I will both lay me down in peace, and sleep: for you, LORD, only make me dwell in safety.
Ni amani kuwa nitajilaza na kusinzia, kwako pekee, Yahweh, nifanye kuwa salama kabisa.

< Psalms 4 >