< 1 Chronicles 1 >

1 Adam, Sheth, Enosh,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenan, Mahalaleel, Jered,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Henoch, Methuselah, Lamech,
Henoko, Methusela, Lameki.
4 Noah, Shem, Ham, and Japheth.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 The sons of Japheth; Gomer, and Magog, and Madai, and Javan, and Tubal, and Meshech, and Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 And the sons of Gomer; Ashchenaz, and Riphath, and Togarmah.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 And the sons of Javan; Elishah, and Tarshish, Kittim, and Dodanim.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 The sons of Ham; Cush, and Mizraim, Put, and Canaan.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 And the sons of Cush; Seba, and Havilah, and Sabta, and Raamah, and Sabtecha. And the sons of Raamah; Sheba, and Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 And Cush brings forth Nimrod: he began to be mighty upon the earth.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 And Mizraim brings forth Ludim, and Anamim, and Lehabim, and Naphtuhim,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 And Pathrusim, and Casluhim, (of whom came the Philistines, ) and Caphthorim.
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 And Canaan brings forth Zidon his firstborn, and Heth,
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 The Jebusite also, and the Amorite, and the Girgashite,
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 And the Hivite, and the Arkite, and the Sinite,
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 And the Arvadite, and the Zemarite, and the Hamathite.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 The sons of Shem; Elam, and Asshur, and Arphaxad, and Lud, and Aram, and Uz, and Hul, and Gether, and Meshech.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 And Arphaxad brings forth Shelah, and Shelah brings forth Eber.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 And unto Eber were born two sons: the name of the one was Peleg; because in his days the earth was divided: and his brother's name was Joktan.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 And Joktan brings forth Almodad, and Sheleph, and Hazarmaveth, and Jerah,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoram also, and Uzal, and Diklah,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 And Ebal, and Abimael, and Sheba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 And Ophir, and Havilah, and Jobab. All these were the sons of Joktan.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Shem, Arphaxad, Shelah,
Shemu, Arfaksadi, Sala,
25 Eber, Peleg, Reu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nahor, Terah,
Serugi, Nahori, Tera,
27 Abram; the same is Abraham.
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 The sons of Abraham; Isaac, and Ishmael.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 These are their generations: The firstborn of Ishmael, Nebaioth; then Kedar, and Adbeel, and Mibsam,
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Mishma, and Dumah, Massa, Hadad, and Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Naphish, and Kedemah. These are the sons of Ishmael.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 Now the sons of Keturah, Abraham's concubine: she bare Zimran, and Jokshan, and Medan, and Midian, and Ishbak, and Shuah. And the sons of Jokshan; Sheba, and Dedan.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 And the sons of Midian; Ephah, and Epher, and Henoch, and Abida, and Eldaah. All these are the sons of Keturah.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 And Abraham brings forth Isaac. The sons of Isaac; Esau and Israel.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 The sons of Esau; Eliphaz, Reuel, and Jeush, and Jaalam, and Korah.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 The sons of Eliphaz; Teman, and Omar, Zephi, and Gatam, Kenaz, and Timna, and Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 The sons of Reuel; Nahath, Zerah, Shammah, and Mizzah.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 And the sons of Seir; Lotan, and Shobal, and Zibeon, and Anah, and Dishon, and Ezar, and Dishan.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 And the sons of Lotan; Hori, and Homam: and Timna was Lotan's sister.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 The sons of Shobal; Alian, and Manahath, and Ebal, Shephi, and Onam. and the sons of Zibeon; Aiah, and Anah.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 The sons of Anah; Dishon. And the sons of Dishon; Amram, and Eshban, and Ithran, and Cheran.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 The sons of Ezer; Bilhan, and Zavan, and Jakan. The sons of Dishan; Uz, and Aran.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Now these are the kings that reigned in the land of Edom before any king reigned over the children of Israel; Bela the son of Beor: and the name of his city was Dinhabah.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 And when Bela was dead, Jobab the son of Zerah of Bozrah reigned in his position.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 And when Jobab was dead, Husham of the land of the Temanites reigned in his position.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 And when Husham was dead, Hadad the son of Bedad, which stroke Midian in the field of Moab, reigned in his position: and the name of his city was Avith.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 And when Hadad was dead, Samlah of Masrekah reigned in his position.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 And when Samlah was dead, Shaul of Rehoboth by the river reigned in his position.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 And when Shaul was dead, Baalhanan the son of Achbor reigned in his position.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 And when Baalhanan was dead, Hadad reigned in his position: and the name of his city was Pai; and his wife's name was Mehetabel, the daughter of Matred, the daughter of Mezahab.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 Hadad died also. And the dukes of Edom were; duke Timnah, duke Aliah, duke Jetheth,
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 Duke Aholibamah, duke Elah, duke Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 Duke Kenaz, duke Teman, duke Mibzar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 Duke Magdiel, duke Iram. These are the dukes of Edom.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.

< 1 Chronicles 1 >