< Psalms 59 >

1 To him that excelleth. Destroy not. A Psalme of David on Michtam. When Saul sent and they did watch the house to kill him. O my God, deliuer mee from mine enemies: defend me from them that rise vp against me.
Uniokoe dhidi ya adui zangu, Mungu wangu; uniweke mahali pa juu mbali na wale wanaoinuka dhidi yangu.
2 Deliuer me from the wicked doers, and saue me from the bloody men.
Uniweke salama mbali na wafanyao kazi ya uovu, na uniokoe dhidi ya watu wenye kiu ya damu.
3 For loe, they haue layd waite for my soule: the mightie men are gathered against me, not for mine offence, nor for my sinne, O Lord.
Maana, tazama, wanasubiria uvamizini waniue. Wafanya maovu wenye nguvu hujikusanya wenyewe pamoja dhidi yangu, lakini sio kwa sababu ya makosa yangu au dhambi yangu, Yahwe.
4 They runne and prepare themselues without a fault on my part: arise therefore to assist me, and beholde.
Wao wanajiandaa kunikimbiza ingawa sina kosa; amka unisaidie na unitazame.
5 Euen thou, O Lord God of hostes, O God of Israel awake to visit all the heathen, and be not merciful vnto all that transgresse maliciously. (Selah)
Ewe, Yahwe Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, inika uwaadhibu mataifa yote; usiwe na huruma kwa mhalifu mwovu yeyote. (Selah)
6 They goe to and from in the euening: they barke like dogs, and goe about the citie.
Wao wanarudi jioni, wanabweka kama mbwa na kuuzungukia mji.
7 Behold, they brag in their talke, and swords are in their lips: for, Who, say they, doeth heare?
Tazama, wanapiga kelele mbaya kwa midomo yao; panga ziko kwenye midomo yao, maana wanasema, “Ni nani anaye tusikia?”
8 But thou, O Lord, shalt haue them in derision, and thou shalt laugh at all the heathen.
Lakini wewe, Yahwe, utawacheka; wewe huwadhihaki mataifa yote.
9 He is strong: but I will waite vpon thee: for God is my defence.
Mungu, nguvu yangu, nitakuwa msikivu kwako; wewe ni mnara wangu mrefu.
10 My mercifull God will preuent me: God wil let me see my desire vpon mine enemies.
Mungu atakutana nami akiwa na uaminifu wa agano lake; Mungu atanifanya nione shauku yangu juu ya adui zangu.
11 Slay them not, least my people forget it: but scatter them abroad by thy power, and put them downe, O Lord our shield,
Usiwaue, hivyo watu watasahau. Uwatawanye kwa nguvu zako na uwaangushe, Bwana ngao yetu.
12 For the sinne of their mouth, and the words of their lips: and let them be taken in their pride, euen for their periurie and lies, that they speake.
Kwa ajili ya dhambi za midomo yao na maneno ya midomo yao, wakamatwe katika majivuno yao, na kwa laana na uongo ambao wao huelezea.
13 Consume them in thy wrath: consume them that they be no more: and let them knowe that God ruleth in Iaakob, euen vnto the ends of the world. (Selah)
Uwamalize katika gadhabu yako, uwamalize ili kwamba wasiwepo tena; wajue kuwa Mungu anatawala katika Yakobo na mwisho wa nchi. (Selah)
14 And in the euening they shall go to and from, and barke like dogs, and go about the citie.
Wakati wa jioni wao hurudi, wakibweka kama mbwa wakiuzungukia mji.
15 They shall runne here and there for meate: and surely they shall not be satisfied, though they tary all night.
Wanatangatanga wakitafuta chakula na wanabweka kama mbwa kama hawajatosheka.
16 But I wil sing of thy power, and will prayse thy mercy in the morning: for thou hast bene my defence and refuge in the day of my trouble.
Lakini nitaimba kuhusu nguvu zako, na asubuhi nitaimba kuhusu upendo wako imara! maana umekuwa mnara wangu mrefu na kimbilio la usalama katika siku ya taabu.
17 Vnto thee, O my Strength, wil I sing: for God is my defence, and my mercifull God.
Kwako, nguvu yangu, nitaimba sifa; kwa kuwa Mungu ni mnara wangu mrefu, Mungu wa uaminifu wa agano.

< Psalms 59 >