< Psalms 120 >

1 A song of degrees. I called vnto the Lord in my trouble, and hee heard me.
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
2 Deliuer my soule, O Lord, from lying lippes, and from a deceitfull tongue.
Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
3 What doeth thy deceitfull tongue bring vnto thee? or what doeth it auaile thee?
Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4 It is as the sharpe arrowes of a mightie man, and as the coales of iuniper.
Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
5 Woe is to me that I remaine in Meschech, and dwell in the tentes of Kedar.
Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
6 My soule hath too long dwelt with him that hateth peace.
Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
7 I seeke peace, and when I speake thereof, they are bent to warre.
Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.

< Psalms 120 >