< Psalms 114 >

1 When Israel went out of Egypt, and the house of Iaakob from the barbarous people,
Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
2 Iudah was his sanctification, and Israel his dominion.
Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
3 The Sea sawe it and fled: Iorden was turned backe.
Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
4 The mountaines leaped like rams, and the hils as lambes.
Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
5 What ailed thee, O Sea, that thou fleddest? O Iorden, why wast thou turned backe?
Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
6 Ye mountaines, why leaped ye like rams, and ye hils as lambes?
Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
7 The earth trembled at the presence of the Lord, at the presence of the God of Iaakob,
Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
8 Which turneth the rocke into waterpooles, and the flint into a fountaine of water.
Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.

< Psalms 114 >