< Proverbs 9 >

1 Wisedome hath built her house, and hewen out her seuen pillars.
Hekima amejenga nyumba yake; amechonga nguzo saba kutoka katika miamba.
2 She hath killed her vitailes, drawen her wine, and prepared her table.
Ameandaa wanyama wake kwa chakula cha usiku; ameichanganya divai yake; na kuandaa meza yake.
3 She hath sent forth her maydens and cryeth vpon the highest places of the citie, saying,
Amewatuma watumishi wake kupeleka mialiko na kutoka mahali pa juu sana kwenye mji anaita:
4 Who so is simple, let him come hither, and to him that is destitute of wisedome, she sayth,
“Wale wasiofunzwa waje hapa!” anawaambia wale wasionaufahamu.
5 Come, and eate of my meate, and drinke of the wine that I haue drawen.
Njoo, ule chakula, na unywe divai nimeshaichanganya.
6 Forsake your way, ye foolish, and ye shall liue: and walke in the way of vnderstanding.
Acheni njia zenu za kijinga, na mkaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.
7 He that reproueth a scorner, purchaseth to himselfe shame: and he that rebuketh the wicked, getteth himselfe a blot.
Yeyote amrekebishaye mwenye dhihaka hukaribisha matusi na yeyote anayemshutumu mtu mbaya atapata madhara.
8 Rebuke not a scorner, least he hate thee: but rebuke a wise man, and he will loue thee.
Usimshutumu mwenye dhihaka, ama atakuchukia; mshutumu mtu mwenye busara, naye atakupenda.
9 Giue admonition to the wise, and he will be the wiser: teache a righteous man, and he will increase in learning.
Mpe mafundisho mtu mwenye busara, naye atakuwa na busara zaidi; mfundishe mtu mwenye haki, naye ataongeza elimu.
10 The beginning of wisedome is the feare of the Lord, and the knowledge of holy things, is vnderstanding.
Hofu ya Mungu ni chanzo cha hekima na maarifa ya Mtakatifu ni ufahamu.
11 For thy dayes shalbe multiplied by me, and the yeeres of thy life shalbe augmented.
Maana kwa njia yangu siku zako zitazidishwa na uzima wako utaongezewa miaka.
12 If thou be wise, thou shalt be wise for thy selfe, and if thou be a scorner, thou alone shalt suffer.
Kama unahekima, unahekima kwako mwenyewe, lakini ukidharau, utaibeba peke yako.
13 A foolish woman is troublesome: she is ignorant, and knoweth nothing.
Mwanamke mpumbavu anakelele nyingi- hajafunzwa wala haelewi chochote.
14 But she sitteth at the doore of her house on a seate in the hie places of the citie,
Anakaa kwenye mlango wa nyumba yake, kwenye kiti cha sehemu ya juu sana ya mji.
15 To call them that passe by the way, that go right on their way, saying,
Anawaita kwa sauti wanaopita karibu, watu wale wanaotembea wima katika njia zao.
16 Who so is simple, let him come hither, and to him that is destitute of wisedome, shee sayth also,
Wale ambao hamjafunzwa njoni hapa ndani!” anawaambia wale wasio na akili. “
17 Stollen waters are sweete, and hid bread is pleasant.
Maji ya kuiba ni matamu na mkate unaoliwa kwa siri unapendeza.”
18 But he knoweth not, that ye dead are there, and that her ghestes are in the depth of hell. (Sheol h7585)
Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol h7585)

< Proverbs 9 >