< Nehemiah 7 >

1 Nowe when the wall was builded, and I had set vp the doores, and the porters, and the singers and the Leuites were appointed,
Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
2 Then I commanded my brother Hanani and Hananiah the prince of the palace in Ierusalem (for he was doubtlesse a faithfull man, and feared God aboue many)
nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
3 And I saide vnto them, Let not the gates of Ierusalem be opened, vntill the heate of the sunne: and while they stande by, let them shut the doores, and make them fast: and I appointed wardes of the inhabitants of Ierusalem, euery one in his warde, and euery one ouer against his house.
Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
4 Nowe the citie was large and great, but the people were few therein, and the houses were not buylded.
Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
5 And my God put into mine heart, and I gathered the princes, and the rulers, and the people, to count their genealogies: and I found a booke of the genealogie of them, which came vp at the first, and found written therein,
Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
6 These are the sonnes of the prouince that came vp from the captiuitie that was caried away (whome Nebuchadnezzar King of Babel had caryed away) and they returned to Ierusalem and to Iudah, euery one vnto his citie.
Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
7 They which came with Zerubbabel, Ieshua, Nehemiah, Azariah, Raamiah, Nahamani, Mordecai, Bilshan, Mispereth, Biguai, Nehum, Baanah. This is the nomber of the men of the people of Israel.
Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
8 The sonnes of Parosh, two thousande an hundreth seuentie and two.
Wana wa Paroshi, 2, 172.
9 The sonnes of Shephatiah, three hundreth seuentie and two.
Wana wa Shefatia, 372.
10 The sonnes of Arah, sixe hundreth fiftie and two.
Wana wa Ara, 652.
11 The sonnes of Pahath Moab of ye sonnes of Ieshua, and Ioab, two thousand, eight hundreth and eighteene.
Wana wa Pahath Moabu,
12 The sonnes of Elam, a thousand, two hundreth fiftie and foure.
kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
13 The sonnes of Zattu, eight hundreth and fiue and fourtie.
Wana wa Elamu, 1, 254.
14 The sonnes of Zacchai, seuen hundreth and three score.
Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
15 The sonnes of Binnui, sixe hundreth and eight and fourtie.
Wana wa Binnui, 648.
16 The sonnes of Bebai, sixe hundreth and eight and twentie.
Wana wa Bebai, 628.
17 The sonnes of Azgad, two thousand, three hundreth and two and twentie.
Wana wa Azgadi, 2, 322.
18 The sonnes of Adonikam, sixe hundreth three score and seuen.
Wana wa Adonikamu, 667.
19 The sonnes of Biguai, two thousand three score and seuen.
Wana wa Bigwai, 2, 067.
20 The sonnes of Adin, sixe hundreth, and fiue and fiftie.
Wana wa Adini, 655.
21 The sonnes of Ater of Hizkiah, ninetie and eight.
Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
22 The sonnes of Hashum, three hundreth and eight and twentie.
Wana wa Hashumu, 328.
23 The sonnes of Bezai, three hundreth and foure and twentie.
Wana wa Besai, 324.
24 The sonnes of Hariph, an hundreth and twelue.
Wana wa Harifu, 112.
25 The sonnes of Gibeon, ninetie and fiue.
Wana wa Gibeoni, 95.
26 The men of Beth-lehem and Netophah, an hundreth foure score and eight.
Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
27 The men of Anathoth, an hundreth and eight and twentie.
Watu wa Anathothi, 128.
28 The me of Beth-azmaueth, two and fourty.
Watu wa Beth Azmaweth, 42.
29 The men of Kiriath-iearim, Chephirah and Beeroth, seuen hundreth, and three and fourtie.
Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
30 The men of Ramah and Gaba, sixe hundreth and one and twentie.
Watu wa Rama na Geba, 621.
31 The men of Michmas, an hundreth and two and twentie.
Watu wa Mikmasi, 122.
32 The men of Beth-el and Ai, an hundreth and three and twentie.
Watu wa Betheli na Ai, 123.
33 The men of the other Nebo, two and fifty.
Watu wa Nebo, 52.
34 The sonnes of the other Elam, a thousand, two hundreth and foure and fiftie.
Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
35 The sonnes of Harim, three hundreth and twentie.
Watu wa Harimu, 320.
36 The sonnes of Iericho, three hundreth and fiue and fourtie.
Watu wa Yeriko, 345.
37 The sonnes of Lod-hadid and Ono, seuen hundreth and one and twentie.
Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
38 The sonnes of Senaah, three thousand, nine hundreth and thirtie.
Watu wa Senaa, 3, 930.
39 The Priestes: the sonnes of Iedaiah of the house of Ieshua, nine hundreth seuentie and three.
makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
40 The sonnes of Immer, a thousand and two and fiftie.
Wana wa Imeri, 1, 052.
41 The sonnes of Pashur, a thousande, two hundreth and seuen and fourtie.
Wana wa Pashuri, 1, 247.
42 The sonnes of Harim, a thousande and seuenteene.
Wana wa Harimu, 1, 017.
43 The Leuites: the sonnes of Ieshua of Kadmiel, and of the sonnes of Hodiuah, seuentie and foure.
Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
44 The singers: the children of Asaph, an hundreth, and eight and fourtie.
Waimbaji wana wa Asafu; 148.
45 The porters: the sonnes of Shallum, the sonnes of Ater, the sonnes of Talmon, the sonnes of Akkub, the sonnes of Hatita, the sonnes of Shobai, an hundreth and eight and thirtie.
Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
46 The Nethinims: the sonnes of Ziha, the sonnes of Hashupha, the sonnes of Tabaoth,
Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
47 The sonnes of Keros, the sonnes of Sia, the sonnes of Padon,
wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
48 The sonnes of Lebana, the sonnes of Hagaba, the sonnes of Shalmai,
wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
49 The sonnes of Hanan, the sonnes of Giddel, the sonnes of Gahar,
wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
50 The sonnes of Reaiah, the sonnes of Rezin, the sonnes of Nekoda,
Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
51 The sonnes of Gazzam, ye sonnes of Vzza, the sonnes of Paseah,
wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
52 The sonnes of Besai, the sonnes of Meunim, the sonnes of Nephishesim,
wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
53 The sonnes of Bakbuk, the sonnes of Hakupha, the sonnes of Harhur,
Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
54 The sonnes of Bazlith, the sonnes of Mehida, the sonnes of Harsha,
wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
55 The sonnes of Barkos, the sonnes of Sissera, the sonnes of Tamah,
wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
56 The sonnes of Neziah, the sonnes of Hatipha,
wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
57 The sonnes of Salomons seruantes, the sonnes of Sotai, the sonnes of Sophereth, ye sonnes of Perida,
Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
58 The sonnes of Iaala, the sonnes of Darkon, the sonnes of Giddel,
wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
59 The sonnes of Shephatiah, the sonnes of Hattil, the sonnes of Pochereth of Zebaim, the sonnes of Amon.
wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
60 All the Nethinims, and the sonnes of Salomons seruantes were three hundreth, ninetie and two.
Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
61 And these came vp from Tel-melah, Tel-haresha, Cherub, Addon, and Immer: but they could not shewe their fathers house, nor their seede, or if they were of Israel.
Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
62 The sonnes of Delaiah: the sonnes of Tobiah, the sonnes of Nekoda, six hundreth and two and fourtie.
wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
63 And of the Priestes: the sonnes of Habaiah, the sonnes of Hakkoz, the sonnes of Barzillai, which tooke one of the daughters of Barzillai the Gileadite to wife, and was named after their name.
Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
64 These sought their writing of the genealogies, but it was not founde: therefore they were put from the Priesthood.
Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
65 And the Tirshatha sayd vnto them, that they should not eate of the most holy, till there rose vp a Priest with Vrim and Thummim.
Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
66 All the Congregation together was two and fourtie thousand, three hundreth and threescore,
Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
67 Besides their seruantes and their maydes, which were seuen thousand, three hundreth and seuen and thirtie: and they had two hundreth and fiue and fourtie singing men and singing women.
isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
68 Their horses were seuen hundreth and sixe and thirtie, and their mules two hundreth and fiue and fourtie.
Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
69 The camels foure hundreth and fiue and thirtie, and sixe thousande, seuen hundreth and twentie asses.
ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
70 And certaine of the chiefe fathers gaue vnto the worke. The Tirshatha gaue to the treasure, a thousand drammes of golde, fiftie basins, fiue hundreth and thirtie Priests garments.
Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
71 And some of the chiefe fathers gaue vnto the treasure of the worke, twentie thousand drams of golde, and two thousande and two hundreth pieces of siluer.
Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
72 And the rest of the people gaue twentie thousand drammes of golde, and two thousande pieces of siluer, and three score and seuen Priestes garments.
Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
73 And the Priestes, and Leuites, and the porters and the singers and the rest of the people and the Nethinims, and all Israel dwelt in their cities: and when the seuenth moneth came, the children of Israel were in their cities.
Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”

< Nehemiah 7 >