< Job 17 >

1 My breath is corrupt: my dayes are cut off, and the graue is readie for me.
Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
2 There are none but mockers with mee, and mine eye continueth in their bitternesse.
Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
3 Lay downe nowe and put me in suretie for thee: who is hee, that will touch mine hand?
Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
4 For thou hast hid their heart from vnderstanding: therefore shalt thou not set them vp on hie.
Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
5 For the eyes of his children shall faile, that speaketh flattery to his friends.
Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
6 Hee hath also made mee a byword of the people, and I am as a Tabret before them.
Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
7 Mine eye therefore is dimme for griefe, and all my strength is like a shadowe.
Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
8 The righteous shalbe astonied at this, and the innocent shalbe moued against ye hypocrite.
Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
9 But the righteous wil holde his way, and he whose hands are pure, shall increase his strength.
Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
10 All you therefore turne you, and come nowe, and I shall not finde one wise among you.
Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
11 My dayes are past, mine enterprises are broken, and the thoughts of mine heart
Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
12 Haue changed the nyght for the day, and the light that approched, for darkenesse.
Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
13 Though I hope, yet the graue shall bee mine house, and I shall make my bed in the darke. (Sheol h7585)
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
14 I shall say to corruption, Thou art my father, and to the worme, Thou art my mother and my sister.
tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
15 Where is then now mine hope? or who shall consider the thing, that I hoped for?
liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
16 They shall goe downe into the bottome of the pit: surely it shall lye together in the dust. (Sheol h7585)
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)

< Job 17 >