< Psalms 146 >

1 Alleluia, of Aggeus and Zacharias.
Msifuni Bwana! Ee nafsi yangu, umsifu Bwana,
2 Praise the Lord, O my soul, in my life I will praise the Lord: I will sing to my God as long as I shall be. Put not your trust in princes:
Nitamsifu Bwana maisha yangu yote; nitamwimbia Mungu wangu sifa wakati wote niishipo.
3 In the children of men, in whom there is no salvation.
Usiweke tumaini lako kwa wakuu, kwa wanadamu ambao hufa, ambao hawawezi kuokoa.
4 His spirit shall go forth, and he shall return into his earth: in that day all their thoughts shall perish.
Roho yao itokapo hurudi mavumbini, siku hiyo hiyo mipango yao yote hukoma.
5 Blessed is he who hath the God of Jacob for his helper, whose hope is in the Lord his God:
Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake ni katika Bwana, Mungu wake,
6 Who made heaven and earth, the sea, and all things that are in them.
Muumba wa mbingu na nchi, na bahari na vyote vilivyomo ndani yake: Bwana anayedumu kuwa mwaminifu milele na milele.
7 Who keepeth truth for ever: who executeth judgment for them that suffer wrong: who giveth food to the hungry. The Lord looseth them that are fettered:
Naye huwapatia haki walioonewa na kuwapa wenye njaa chakula. Bwana huwaweka wafungwa huru,
8 The Lord enlighteneth the blind. The Lord lifteth up them that are cast down: the Lord loveth the just.
Bwana huwafumbua vipofu macho, Bwana huwainua waliolemewa na mizigo yao, Bwana huwapenda wenye haki.
9 The Lord keepeth the strangers, he will support the fatherless and the widow: and the ways of sinners he will destroy.
Bwana huwalinda wageni na kuwategemeza yatima na wajane, lakini hupinga njia za waovu.
10 The Lord shall reign for ever: thy God, O Sion, unto generation and generation.
Bwana atamiliki milele, Mungu wako, ee Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Bwana.

< Psalms 146 >