< 1 Kronická 8 >

1 Beniamin pak zplodil Bélu, prvorozeného svého, Asbele druhého, Achracha třetího,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Nocha čtvrtého, Rafa pátého.
Noha, na Rafa.
3 Béla pak měl syny: Addara, Geru, Abiuda,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 Abisua, Námana, Achoacha,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 A Geru, Sefufana a Churama.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 Ti jsou synové Echudovi, ti jsou knížata čeledí otcovských, bydlících v Gabaa, kteříž je uvedli do Manáhat,
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 Totiž: Náman, a Achia a Gera. On přestěhoval je; zplodil pak Uza a Achichuda.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Sacharaim pak zplodil v krajině Moábské, když onen byl propustil je, s Chusimou a Bárou manželkami svými.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 Zplodil s Chodes manželkou svou Jobaba, Sebia, Mésa a Malkama,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Jehuza, Sachia a Mirma. Ti jsou synové jeho, knížata čeledí otcovských.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 S Chusimou pak byl zplodil Abitoba a Elpále.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 Synové pak Elpálovi: Heber, Misam a Semer. Ten vystavěl Ono a Lod, i vsi jeho.
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 A Beria a Sema. Ti jsou knížata čeledí otcovských, bydlících v Aialon; ti zahnali obyvatele Gát.
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 Achio pak, Sasák a Jeremot,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 Zebadiáš, Arad a Ader,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 Michael, Ispa a Jocha synové Beria.
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 A Zebadiáš, Mesullam, Chiski, Heber,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 Ismerai, Izliáš a Jobab synové Elpálovi.
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 A Jakim, Zichri a Zabdi.
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 Elienai, Ziletai a Eliel,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 Adaiáš, Baraiáš a Simrat synové Simei.
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 Ispan a Heber a Eliel,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 Abdon, Zichri a Chanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Chananiáš, Elam a Anatotiáš,
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 Ifdaiáš a Fanuel synové Sasákovi.
Ifdeia, na Penueli.
26 Samserai, Sechariáš a Ataliáš,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 Jaresiáš, Eliáš a Zichri synové Jerochamovi.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 Ta jsou knížata otcovských čeledí po rodinách svých, kterážto knížata bydlila v Jeruzalémě.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 V Gabaon pak bydlilo kníže Gabaon, a jméno manželky jeho Maacha.
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 A syn jeho prvorozený Abdon, Zur, Cis, Bál a Nádab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 Ale Gedor, Achio, Zecher.
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 A Miklot zplodil Simea. I ti také naproti bratřím svým bydlili v Jeruzalémě s bratřími svými.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Ner pak zplodil Cisa, a Cis zplodil Saule. Saul pak zplodil Jonatu, Melchisua, Abinadaba a Ezbále.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 Syn pak Jonatův Meribbál, Meribbál pak zplodil Mícha.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 Synové pak Míchovi: Piton, Melech, Tarea a Achaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 Achaz pak zplodil Jehoadu, Jehoada pak zplodil Alemeta, Azmaveta a Zimru. Zimri pak zplodil Mozu.
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 Moza pak zplodil Bina. Ráfa syn jeho, Elasa syn jeho, Azel syn jeho.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 Azel pak měl šest synů, jichž tato jsou jména: Azrikam, Bochru, Izmael, Seariáš a Abdiáš a Chanan. Všickni ti synové Azelovi.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 Synové pak Ezeka, bratra jeho: Ulam prvorozený jeho, Jehus druhý, a Elifelet třetí.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 A byli synové Ulamovi muži udatní a střelci umělí, kteříž měli mnoho synů a vnuků až do sta a padesáti. Všickni ti byli z synů Beniaminových.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Kronická 8 >