< Job 33 >

1 Čuj dakle, Jobe, što ću ti kazati, prikloni uho mojim besjedama.
“Lakini Ayubu, sasa, sikiliza maneno yangu; zingatia kila kitu nitakachosema.
2 Evo, usta sam svoja otvorio, a jezik riječi pod nepcem mi stvara.
Karibu nitafungua kinywa changu; maneno yangu yapo katika ncha ya ulimi wangu.
3 Iskreno će ti zborit' srce moje, usne će čistu izreći istinu.
Maneno yangu yanatoka katika moyo mnyofu; midomo yangu hunena kwa uaminifu yale niyajuayo.
4 TÓa i mene je duh Božji stvorio, dah Svesilnoga oživio mene.
Roho wa Mungu ameniumba; pumzi ya Mwenyezi hunipa uhai.
5 Ako uzmogneš, ti me opovrgni; spremi se da se suprotstaviš meni!
Unijibu basi, kama unaweza; jiandae kunikabili mimi.
6 Gle, kao i ti, i ja sam pred Bogom, kao i ti, od gline bjeh načinjen;
Mimi ni kama wewe mbele za Mungu; mimi pia nimetolewa kwenye udongo.
7 zato ja strahom tebe motrit' neću, ruka te moja neće pritisnuti.
Huna sababu ya kuniogopa, wala mkono wangu haupaswi kukulemea.
8 Dakle, na moje uši rekao si - posve sam jasno tvoje čuo riječi:
“Lakini umesema nikiwa ninakusikia, nami nilisikia maneno yenyewe:
9 'Nedužan sam i bez ikakva grijeha; prav sam i nema krivice na meni.
‘Mimi ni safi na sina dhambi; mimi ni safi na sina hatia.
10 Al' On izlike protiv mene traži i za svojeg me drži dušmanina.
Lakini bado Mungu amepata dosari kwangu, naye ananiona kama adui yake.
11 Noge je moje u klade metnuo, nad svakim mojim on pazi korakom.'
Ananifunga miguu kwa pingu, tena anaziangalia njia zangu zote kwa karibu.’
12 Ovdje, kažem ti, u pravu ti nisi, jer s Bogom čovjek mjerit' se ne može.
“Lakini mimi ninakuambia, katika jambo hili wewe una makosa, kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mwanadamu.
13 Pa zašto s njime zamećeš prepirku što ti na svaku riječ ne odgovara?
Kwa nini unamlalamikia kwamba yeye hamjibu mwanadamu?
14 Bog zbori nama jednom i dva puta, al' čovjek na to pažnju ne obraća.
Kwa kuwa Mungu husema, wakati huu kwa njia moja, au wakati mwingine kwa njia nyingine, ingawa mwanadamu anaweza asielewe.
15 U snovima, u viđenjima noćnim, kada san dubok ovlada ljudima i na ležaju dok tvrdo snivaju,
Mungu husema na mwanadamu katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito uwaangukiapo wanadamu wasinziapo vitandani mwao,
16 tad on govori na uho čovjeku i utvarama plaši ga jezivim
anaweza akasemea masikioni mwao, na kuwatia hofu kwa maonyo,
17 da ga od djela njegovih odvrati, da u čovjeku obori oholost,
ili kumgeuza mtu kutoka kwenye kutenda mabaya na kumwepusha na kiburi,
18 da dušu njegovu spasi od jame i život mu od puta u Podzemlje.
kuiokoa nafsi yake na shimo, uhai wake usiangamizwe kwa upanga.
19 Bolešću on ga kara na ležaju kad mu se kosti tresu bez prestanka,
Mtu anaweza kutiwa adabu kwa maumivu kitandani mwake, kwa dhiki za mfululizo katika mifupa yake,
20 kad se kruh gadi njegovu životu i ponajbolje jelo duši njegovoj;
kiasi kwamba maisha yake yenyewe yanakataa chakula nayo nafsi yake ikakichukia kabisa hata chakula kizuri.
21 kada mu tijelo gine naočigled i vide mu se kosti ogoljele,
Nyama ya mwili wake huisha kwa kukonda, nayo mifupa yake ambayo mwanzoni ilikuwa imefichika, sasa inatokeza nje.
22 kad mu se duša približava jami a život njegov boravištu mrtvih.
Nafsi yake inakaribia kaburi, nao uhai wake karibu na wajumbe wa kifo.
23 Ako se uza nj nađe tad anđeo, posrednik jedan između tisuću, da čovjeka na dužnost opomene,
“Kama bado kuna malaika upande wake kama mtetezi, mmoja miongoni mwa elfu, wa kumwambia mwanadamu lililo jema kwake,
24 pa se sažali nad njim i pomoli: 'Izbavi ga da u jamu ne ide; za život njegov nađoh otkupninu!
kumwonea huruma na kusema, ‘Mwokoe asije akatumbukia shimoni; nimepata ukombozi kwa ajili yake’:
25 Neka mu tijelo procvate mladošću, nek' se vrati u dane mladenačke!'
ndipo nyama ya mwili wake hufanywa mpya kama ya mtoto; hurudishwa upya kama siku za ujana wake.
26 Vapije k Bogu i Bog ga usliša: radosno On ga pogleda u lice; vrati čovjeku pravednost njegovu.
Humwomba Mungu, akapata kibali kwake, huuona uso wa Mungu na kushangilia kwa furaha; Mungu humrudisha katika hali yake ya uadilifu.
27 Tada čovjek pred ljudima zapjeva: 'Griješio sam i pravo izvrtao, ali mi Bog zlom nije uzvratio.
Ndipo huja mbele za watu na kusema, ‘Nilitenda dhambi na kupotosha kilichokuwa haki, lakini sikuadhibiwa kama nilivyostahili.
28 On mi je dušu spasio od jame i život mi se veseli svjetlosti.'
Alinikomboa nafsi yangu nisitumbukie shimoni, nami nitaishi ili kuufurahia mwanga.’
29 Gle, sve to Bog je spreman učiniti do dva i do tri puta za čovjeka:
“Mungu hufanya haya yote kwa mwanadamu; mara mbili hata mara tatu,
30 da dušu njegovu spasi od jame i da mu život svjetlošću obasja.
ili aigeuze nafsi yake toka shimoni, ili nuru ya uzima imwangazie.
31 Pazi dÓe, Jobe, dobro me poslušaj; šuti, jer nisam sve još izrekao.
“Ayubu, zingatia, nisikilize mimi; nyamaza, nami nitanena.
32 Ako riječi još imaš, odvrati mi, zbori - rado bih opravdao tebe.
Kama unalo lolote la kusema, unijibu; sema, kwa maana ninataka uonekane huna hatia.
33 Ako li nemaš, poslušaj me samo: pazi, rad bih te poučit' mudrosti.”
Lakini kama huna la kusema, basi nisikilize mimi; nyamaza, nami nitakufundisha hekima.”

< Job 33 >