< 1 Khokhuen 14 >

1 Tyre manghai Huram Khiram loh David taengla puencawn neh a im sak pah ham lamphai thing khaw, pangbueng dongkah kutthai khaw, thing dongkah kutthai khaw a pat.
Basi Hiramu mfalme wa Tiro akawatuma wajumbe kwa Daudi, wakiwa na magogo ya mierezi, waashi na maseremala ili kumjengea jumba la kifalme.
2 BOEIPA loh Israel soah manghai la anih a thoh te khaw, a pilnam Israel kong ah a ram so la a dangrhoek te khaw David loh a ming.
Naye Daudi akatambua kwamba Bwana amemwimarisha kuwa mfalme juu ya Israeli na kwamba ufalme wake umetukuzwa kwa ajili ya Israeli, watu wake.
3 David loh Jerusalem ah yuu koep a loh dongah David loh canu khaw capa khaw koep a sak.
Huko Yerusalemu Daudi akaoa wake wengine zaidi na akawa baba wa wana na mabinti wengi.
4 He rhoek he Jerusalem ah a sak tih amah taengah aka om rhoek kah a ming ni. Shammua, Shobab, Nathan neh Solomon.
Haya ndiyo majina ya watoto waliozaliwa kwake huko: Shamua, Shobabu, Nathani, Solomoni,
5 Ibhar, Elishua neh Eliphelet.
Ibihari, Elishua, Elpeleti,
6 Nogah, Nepheg neh Japhia.
Noga, Nefegi, Yafia,
7 Elishama, Beeliada neh Eliphelet.
Elishama, Beeliada na Elifeleti.
8 Israel boeih kah manghai la David a koelh te Philisti loh a yaak vaengah David tlap hamla Philisti pum loh cet uh. Tedae David loh a yaak coeng dongah amih mikhmuh la cet.
Wafilisti waliposikia kuwa Daudi ametiwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli yote, wakapanda na jeshi lao lote kwenda kumsaka, lakini Daudi akapata habari hizo, naye akatoka ili kwenda kukabiliana nao.
9 Philisti rhoek a pawk vaengah Rephaim kol la capit uh.
Basi Wafilisti walikuwa wameingia na kushambulia Bonde la Warefai,
10 Tedae David loh Pathen te a dawt tih, “Philisti taengla ka cet koinih Philisti te ka kut dongah nan tloeng aya?” a ti nah. Te dongah BOEIPA loh anih te, “Cet lamtah amih te na kut ah kan tloeng bitni,” a ti nah.
Hivyo Daudi akamuuliza Mungu: “Je, niende kuwashambulia hao Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Bwana akamjibu, “Nenda, nitawatia mikononi mwako.”
11 Te dongah Baalperazim la cet uh dae amih te David loh pahoi a ngawn. Te vaengah David loh, “Pathen loh ka thunkha te tui puut bangla kamah kut ah a va coeng,” a ti. Te dongah te hmuen ming te Baalperazim la a khue.
Hivyo Daudi pamoja na watu wake wakakwea mpaka Baal-Perasimu, akawashinda huko. Akasema, “Kama maji yafurikavyo, Mungu amewafurikia adui zangu kwa kutumia mkono wangu.” Kwa hiyo mahali pale pakaitwa Baal-Perasimu.
12 Te vaengah amamih kah pathen te pahoi a toeng uh coeng dongah David loh a ti nah bangla hmai neh a hoeh uh.
Wafilisti walikuwa wameacha miungu yao huko, Daudi akaamuru iteketezwe kwa moto.
13 Te phoeiah Philisti loh koep a khoep tih kol ah capit uh bal.
Kwa mara nyingine Wafilisti wakavamia lile bonde;
14 Te dongah David loh Pathen te koep a dawt tih, Pathen loh anih te, “Amih hnukah cet boeh. A so lamloh vael lamtah amih te tikti rhaldan ah cuuk.
hivyo Daudi akamuuliza Mungu tena, naye Mungu akamjibu, “Usiwapandie moja kwa moja, bali wazungukie na uwashambulie kutoka mbele ya hiyo miti ya miforosadi.
15 Tikti soi ah haeksak ol na yaak van neh caemtloek la thoeih uh. Philisti caem ngawn hamla nang hmai ah Pathen cet coeng,” a ti nah.
Mara usikiapo sauti ya kwenda juu ya hiyo miti ya miforosadi, hapo ndipo utoke upigane vita, kwa sababu hiyo itaonyesha kwamba Mungu amekutangulia ili kupiga jeshi la Wafilisti.”
16 David long khaw Pathen kah a uen bangla a saii tangloeng. Te dongah Philisti caem te Gibeon lamloh Gezer duela a ngawn uh.
Kwa hiyo Daudi akafanya kama alivyoagizwa na Mungu, wakalipiga jeshi la Wafilisti kuanzia Gibeoni hadi Gezeri.
17 Te dongah David ming te diklai pum ah thang. BOEIPA loh a birhihnah te namtom cungkuem soah a khueh.
Hivyo umaarufu wa Daudi ukaenea katika kila nchi, naye Bwana akayafanya mataifa yote kumwogopa Daudi.

< 1 Khokhuen 14 >