< San Mateo 25 >

1 AYO nae y raenon langet parejo yan dies na bitgen, ni jachule y lamparañija ya manmapos para ujatagam y nobio.
“Wakati huo, Ufalme wa mbinguni utafanana na wasichana kumi waliochukua taa zao, wakaenda kumlaki bwana arusi.
2 Ya y sinco guiya sija manmejnalom, ya y sinco manaetiningo.
Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.
3 Y manaetiningo, jachule y lamparañija, ya ti manmañule laña.
Wale wapumbavu walichukua taa zao, lakini hawakuchukua akiba ya mafuta.
4 Lao y manmejnalom manmañule laña gui baso, yan y lamparañija.
Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.
5 Ya anae atrasasao y nobio, manmatujog todo sija, ya manmaego.
Kwa kuwa bwana arusi alikawia kuja, wale wanawali wote wote walisinzia, wakalala.
6 Ya y tatalopuenge majungog un inagang, na ilegña: Estagüe y nobio na mamamaela! fanjuyong ya inresibe!
Usiku wa manane kukawa na kelele: Haya, haya! Bwana arusi anakuja; nendeni kumlaki.
7 Ayo nae todo y bitgen sija mangajulo ya jafamauleg y lamparañija.
Hapo wale wanawali wote wakaamka, wakazitayarisha taa zao.
8 Ya y manaetiningo ilegñija ni manmejnalom: Naejam gui lañanmiyo sa y lamparanmame manmatae.
Wale wapumbavu wakawaambia wale wenye busara: Tupeni mafuta yenu kidogo maana taa zetu zinazimika.
9 Ya y manmejnalom manmanope ilegñija: Munga sa ti mannajongjit; lao janao fanmalag y manmanbebende ya infanmamajan para jamyo namaesa.
Lakini wale wenye busara wakawaambia, Hayatatutosha sisi na ninyi! Afadhali mwende dukani mkajinunulie wenyewe!
10 Ya anae manmapos sija para ufanmamajan, mato y nobio; ya y estaba manlisto manjalom yan güiya gui guipot umasagua; ya majuchom y petta.
Basi, wale wanawali wapumbavu walipokwenda kununua mafuta, bwana arusi akafika, na wale wanawali waliokuwa tayari wakaingia pamoja naye katika jumba la arusi, kisha mlango ukafungwa.
11 Despues manmato y palo na bitgen ya ilegñija: Señot, Señot, babayejam.
Baadaye wale wanawali wengine wakaja, wakaita: Bwana, bwana, tufungulie!
12 Lao güiya manope, ilegna; Magajet jusangane jamyo na ti jutungo jamyo.
Lakini yeye akawajibu, Nawaambieni kweli, siwajui ninyi.”
13 Fanmagmata sa ti intingo y jaane ni y ora.
Kisha Yesu akasema, “Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.
14 Sa uguaja parejo yan un taotao ni jumanao chago na tano, ya jaagang antes y tentagoña sija, ya jaentrega sija ni güinajaña.
“Itakuwa kama mtu mmoja aliyetaka kusafiri ng'ambo: aliwaita watumishi wake, akawakabidhi mali yake.
15 Ya y uno janae sinco talento, ya y otro dos, ya y otro uno; ya cada uno taemano y guinefuloña; ya enseguidas mapos.
Alimpa kila mmoja kadiri ya uwezo wake: mmoja sarafu tano za fedha ziitwazo talanta, mwingine talanta mbili na mwingine talanta moja, kisha akasafiri.
16 Ya y rumesibe y sinco na talento, janacometsio, ya jagana talo sinco na talento.
Mara yule aliyekabidhiwa talanta tano akafanya kazi nazo akapata faida talanta tano.
17 Parejo locue yan y rumesibe dos, mangana talo dos.
Hali kadhalika na yule aliyekabidhiwa talanta mbili akapata faida talanta mbili.
18 Lao y rumesibe y uno, jumuyong ya jaguadog y eda, ya janaatog y salape y senotña.
Lakini yule aliyekabidhiwa talanta moja akaenda akachimba shimo ardhini, akaificha fedha ya bwana wake.
19 Despues di apmam na tiempo, mato y señot ayo sija na tentago, ya manacuentas yan sija.
“Baada ya muda mrefu, yule bwana alirudi, akaanza kukagua hesabu ya matumizi na mapato ya fedha yake.
20 Ya mato ayo y rumesibe sinco na talento, yan mañuñule talo sinco talento, ya ilegña: Señot, sinco na talento unnaeyo; estagüe talo sinco na junafangana.
Mtumishi aliyekabidhiwa talanta tano akaja amechukua zile talanta tano faida, akamwambia, Bwana, ulinikabidhi talanta tano, hapa pana talanta tano zaidi faida niliyopata.
21 Y senotña ilegña nu güiya: Mauleg chechomo, jago mauleg na tentago yan guesmanosguejao: guine unfatinas mauleg gui didide, bae jupoluyejao megae: jalom gui minagof y señotmo.
Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako.
22 Mato locue ayo y rumesibe dos na talento, ya ilegña: Señot, dos na talento unnaeyo; estagüe talo dos talento na junafangana.
“Mtumishi aliyekabidhiwa talanta mbili akaja, akatoa talanta mbili faida, akisema, Bwana, ulinikabidhi talanta mbili. Chukua talanta mbili zaidi faida niliyopata.
23 Y señotña ilegña nu güiya: Mauleg chechomo, jago mauleg na tentago yan guesmanosguejao: guine unfatinas mauleg gui didide, bae jupoluyejao megae; jalom gui minagof y señotmo.
Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo, nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako.
24 Mato locue ayo y rumesibe un talento, ya ilegña: Señot, guajo jutungo na jago majetogjao na taotao; sa mangongoco jao gui anae ti mananom jao, ya manrecocoje jao gui anae ti mañalapon jao;
“Lakini yule aliyekabidhiwa talanta moja akaja, akasema, Bwana, najua wewe ni mtu mgumu; wewe huvuna pale ambapo hukupanda, na kukusanya pale ambapo hukutawanya.
25 Ya maañaoyo, ya maposyo ya junaatog y talentomo gui jalom y tano: estagüe ni iyomo.
Niliogopa, nikaificha fedha yako katika ardhi. Chukua basi mali yako.
26 Lao y señotña inepe güe ilegña: Taelayejao na tentago yan gago. Untungoja na mangongoco yo gui anae ti mananom yo, ya manrecocoje yo gui anae ti mañalapon yo;
“Bwana wake akamwambia, Wewe ni mtumishi mwovu na mvivu! Unajua kuwa mimi huvuna mahali ambapo sikupanda, na hukusanya pale ambapo sikutawanya.
27 Enao mina jago nesesita unnae y banquero sija ni salapejo, ya yaguin matoyo, juresibe y iyoco yan ganansia.
Ilikupasa basi, kuiweka fedha yangu katika benki, nami ningelichukua mtaji wangu na faida yake!
28 Enao mina umanajanao ayo na talento guiya güiya, ya umannae ayo y guaja dies na talento.
Basi, mnyang'anyeni hiyo fedha mkampe yule mwenye talanta kumi.
29 Sa jayeja y guaja, umannae güe, ya uguaja megae; lao y taya iyoña, achogja guaja güinajaña umanajanao.
Maana, aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
30 Ya y taebalenña na tentago, yute juyong gui jalom jomjom, ayo nae uguaja tumanges yan chegcheg nifen.
Na kuhusu huyu mtumishi asiye na faida, mtupeni nje gizani! Huko kutakuwa na kilio na kusaga meno.
31 Yaguin y Lajin taotao mato gui minalagña, yan todo y angjetña sija, ayo nae ufatachong gui jilo y tachong y minalagña;
“Wakati Mwana wa Mtu atakapokuja katika utukufu wake na malaika wote wakiwa pamoja naye, hapo ataketi juu ya kiti chake cha enzi kitukufu,
32 Ya umanafandaña gui menaña todo y nasion sija; ya umanafañajnge y uno gui otro, calang y pastot yan janasajnge y quinilo sija gui chiba;
na mataifa yote yatakusanyika mbele yake, naye atawatenganisha watu kama mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.
33 Ya japolo y quinilo sija gui agapaña, ya y chiba gui acagüeña.
Atawaweka kondoo upande wake wa kulia na mbuzi upande wake wa kushoto.
34 Ayo nae y ray ualog ni mangaegue gui agapaña: Maela jamyo mandichoso gui Tatajo, ya inereda y raeno ni esta listo para jamyo desde y mafatinas y tano;
“Kisha Mfalme atawaambia wale walio upande wake wa kulia, Njoni enyi mliobarikiwa na Baba yangu; pokeeni Ufalme mliotayarishiwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
35 Sa anae ñalangyo, innachocho yo; anae majoyo, innaguimen yo; anae taotaojuyong yo, innajalom yo;
Maana nilikuwa na njaa nanyi mkanipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi mkanipa maji; nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;
36 Anae taya magagojo, innaminagago yo. Anae malangoyo, inbesita yo; anae gaegue yo gui calaboso, manmato jamyo guiya guajo.
nilikuwa uchi, mkanivika; nilikuwa mgonjwa nanyi mkaja kunitazama; nilikuwa gerezani nanyi mkaja kunitembelea.
37 Ayo nae y manunas manmanope güe ilegñija: Señot, ngaean nae inliijao ñalang, ya innachocho jao? pat majo, ya innaguimen jao?
Hapo, hao watu wema watamjibu mfalme Bwana, ni lini tulikuona mwenye njaa nasi tukakupa chakula, au ukiwa na kiu nasi tukakunywesha maji?
38 Ngaean nae inliijao taotaojuyong, ya innajalom jao? pat anae taya magagomo, ya innaminagago jao?
Ni lini tulikuona ukiwa mgeni nasi tukakukaribisha, au bila nguo nasi tukakuvika?
39 Pat ñgaean nae inliijao malango, pat y calaboso, ya manmatojam guiya jago?
Ni lini tulikuona ukiwa mgonjwa au mfungwa nasi tukaja kukutazama?
40 Y ray ujaope ilegña nu sija: Magajet jusangane jamyo, taemanoja na y infatinas ni uno güine gui mandiquique na mañelujo, infatinasja locue nu guajo.
Mfalme atawajibu, Kweli nawaambieni, kila kitu mlichomtendea mmojawapo wa hawa ndugu zangu wadogo, mlinitendea mimi.
41 Ayo nae ilegña locue ni y mangaegue gui acagüeña: Fanjanao guiya guajo, jamyo matdito, fanmalag y taejinecog na guafe, ni esta manalisto ni anite yan y anjetña sija; (aiōnios g166)
“Kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto, Ondokeni mbele yangu enyi mliolaaniwa! Nendeni katika moto wa milele aliotayarishiwa Ibilisi na malaika wake. (aiōnios g166)
42 Sa anae ñalangyo, ti innachocho yo; anae majoyo, ti innaguimen yo;
Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji.
43 Anae taotaojuyong yo, ti innajalom yo; anae taya magagojo, ti innaminagago yo; malangoyo, yan gaegue yo gui calaboso, lao ti inbesita yo.
Nilikuwa mgeni nanyi hamkunikaribisha; nilikuwa mgonjwa na mfungwa nanyi hamkuja kunitazama.
44 Ayo nae ufanmanope locue sija, ilegñija: Señot, ngaean nae inliijao ñalang, pat majo, pat taotaojuyong, pat taya magagomo, pat malango, pat gui calaboso, ya ti insetbejao?
“Hapo nao watajibu, Bwana, ni lini tulikuona ukiwa na njaa au kiu, ukiwa mgeni au bila nguo, ukiwa mgonjwa au mfungwa, nasi hatukuja kukuhudumia?
45 Ayo nae ujaope sija, ilegña: Magajet jusangane jamyo, na taemanoja ti infatinas nu uno güine gui mas mandiquique, ti infatinas nu guajo.
Naye atawajibu, Nawaambieni kweli, kila mlipokataa kumtendea mambo haya mmojawapo wa hawa wadogo, mlikataa kunitendea mimi.
46 Ya esta sija manmapos para y taejinecog na minasapet; lao y manunas para y taejinecog na linala. (aiōnios g166)
Basi, hawa watakwenda kwenye adhabu ya milele, lakini wale waadilifu watakwenda kwenye uzima wa milele.” (aiōnios g166)

< San Mateo 25 >