< San Lucas 19 >

1 YA jumalom si Jesus, ya malofan inanaco Jerico.
Yesu aliingia mjini Yeriko, akawa anapita katika njia za mji huo.
2 Ya, estagüe, güije un taotao na y naanña si Saqueo, magas y publicano, na rico güe.
Kulikuwa na mtu mmoja mjini, jina lake Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri.
3 Ya jaquequeliija jaye si Jesus; lao ti siña, pot y linajyan taotao, yan pot y etigo güe.
Alitaka kuona Yesu alikuwa nani, lakini kwa sababu ya umati wa watu, na kwa vile alikuwa mfupi, hakufaulu.
4 Ya malago mona, ya umeculo gui trongcon sicomoro para ulie: sa nesesita na ufapos güije.
Hivyo, alitangulia mbio, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona Yesu, kwa maana alikuwa apitie hapo.
5 Ya anae mato si Jesus güije na lugat, manatan julo, ya ilegña nu güiya: Saqueo, tunog lasajyao, sa pago na, jaane nesesita na jusaga gui guimamo.
Basi, Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, “Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.”
6 Ya sumajyao papa, ya jaresibe güe yan y minagofña.
Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha.
7 Ya anae malie este, todos mangonggong, ilegñija: Mapos, para usaga gui isao na taotao.
Watu wote walipoona hayo, wakaanza kunung'unika wakisema, “Amekwenda kukaa kwa mtu mwenye dhambi.”
8 Ya si Saqueo tumojgue ya ilegña ni y Señot: Estagüe, Señot, y lamita gui güinajajo junae y mamobble sija; ya yanguin guaja chinelejo pot finababa bae junae cuatro talo.
Lakini Zakayo akasimama akamwambia Yesu, “Sikiliza Bwana! Mimi nitawapa maskini nusu ya mali yangu, na kama nimenyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne.”
9 Ya ilegña si Jesus nu güiya: Pago na jaane mato y satbasion güine na guma; sa güiya locue Lajin Abraham.
Yesu akamwambia, “Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa vile huyu pia ni wa ukoo wa Abrahamu.
10 Sa y Lajin taotao mato para ualigao, yan usatba y manmalingo.
Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”
11 Ya mientras majujungog este sija, jaaumenta ya jasangan un acomparasion, sa pot y esta jijijot Jerusalem, yan pot y jinasonñija na enseguidas ufato y raenon Yuus.
Wakati watu walipokuwa bado wanasikiliza hayo, Yesu akawaambia mfano. (Hapo alikuwa anakaribia Yerusalemu, na watu wale walidhani kwamba muda si muda, Ufalme wa Mungu ungefika.)
12 Pot este na ilegña: Un taotao na magas, jumanao para y chago na tano para uresibe y raeno, yan para utaloja guato.
Hivyo akawaambia, “Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa kifalme aliyefanya safari kwenda nchi ya mbali ili apokee madaraka ya ufalme, halafu arudi.
13 Ya jaagang y dies na tentagoña, ya jaentrega dies na minan moneda, ya ilegña nu sija: Nafangagana asta qui ufato.
Basi, kabla ya kuondoka aliwaita watumishi wake kumi, akawapa kiasi cha fedha kila mmoja na kumwambia: Fanyeni nazo biashara mpaka nitakaporudi.
14 Lao y taotaoña gui güije na tano machatlie güe, ya manmanago un compañia guato guiya güiya, ilegñija: Mungajam na ufangobietna este na taotao gui jilo mame.
Lakini wananchi wenzake walimchukia na hivyo wakatuma wajumbe waende wakaseme: Hatumtaki huyu atutawale.
15 Ya susede anae esta jaresibe y raeno, tumalo guato, ya manago na ufanmaagange y tentago sija ni y janae ni y salape, para utungo cuanto cada uno güinanaña.
“Huyo mtu mashuhuri alirudi nyumbani baada ya kufanywa mfalme, na mara akaamuru wale watumishi aliowapa zile fedha waitwe ili aweze kujua kila mmoja amepata faida gani.
16 Ya anae mato y finenana, ilegña: Señot, y minamo mangana dies na mina mas.
Mtumishi wa kwanza akatokea, akasema: Mheshimiwa, faida iliyopatikana ni mara kumi ya zile fedha ulizonipa.
17 Ya ilegña nu güiya: Mauleg na finatinasmo, mauleg jao na tentago. Pot y tunas jao gui didide, guaja ninasiñamo gui jilo y dies na siuda.
Naye akamwambia: Vema; wewe ni mtumishi mwema. Kwa kuwa umekuwa mwaminifu katika jambo dogo, utakuwa na madaraka juu ya miji kumi!
18 Ya anae mato y mina dos, ilegña: Señot, y minamo mangana sinco na mina.
Mtumishi wa pili akaja, akasema: Mheshimiwa, faida iliyopatikana ni mara tano ya zile fedha ulizonipa.
19 Ya locue ilegña nu güiya: Jago gui jilo sinco na siuda.
Naye akamwambia pia: Nawe utakuwa na madaraka juu ya miji mitano.
20 Ya mato y otro ilegña: Señot, estagüe y minamo na juadaje ya jupolo gui jalom y setbiyetas:
“Mtumishi mwingine akaja, akasema: Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa,
21 Sa maañaoyo nu jago, sa recto jao na taotao: unchuchule y ti unpolo, ya uncococo y ti untanom.
kwa maana niliogopa kwa sababu wewe ni mtu mkali. Wewe ni mtu ambaye huchukua yasiyo yako, na huchuma ambacho hukupanda.
22 Ya ilegña nu güiya: Taelaye jao na tentago, y guinin y pachotmo nae jujusga jao. Untungoja na recto yo na taotao, juchuchuleja y ti jupolo, ya jucococoja y ti jutanme:
Naye akamwambia: Nakuhukumu kutokana na msemo wako, ewe mtumishi mbaya! Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali, ambaye huchukua yasiyo yangu na kuchuma nisichopanda.
23 Jafa na ti unpolo y salapejo gui banco; sa para yanguin matoyo jugagao yan y ganansia?
Kwa nini basi, hukuiweka fedha yangu benki, nami ningeichukua pamoja na faida baada ya kurudi kwangu?
24 Ya ilegña nu ayo sija y manotojgue gui oriya: Nasuja guiya güiya y minan moneda ya umanae ayo y guaja dies na mina.
Hapo akawaambia wale waliokuwa pale: Mnyang'anyeni hizo fedha, mkampe yule aliyepata faida mara kumi.
25 Ya ilegñija nu güiya: Señot, guajaja güe dies na mina.
Nao wakamwambia: Lakini Mheshimiwa, huyo ana faida ya kiasi hicho mara kumi!
26 Sa jusangane jamyo, na masqueseaja jaye y guaja iyoña, umanae; lao y taya iyoña, achogja y guajaña umanasuja guiya guiya.
Naye akawajibu: Kila aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
27 Lao aya sija y enemigujo, ni y ti manmalago na jufangobietna gui jiloñija, cone mague, ya ufanmadegüeya gui menajo.
Na sasa, kuhusu hao maadui wangu ambao hawapendi niwe mfalme wao, waleteni hapa, mkawaue papa hapa mbele yangu.”
28 Ya anae munjayan jasangan este, malag y sumanmena, ya cajulo Jerusalem.
Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.
29 Ya susede anae esta jijot Betfage, yan Betania, gui egso ni y mafanaan ogso Olibo, jatago dos gui disipuluña,
Alipokaribia kufika Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
30 Ilegña: Janao fanmalag esta mona y sengsong; ya an manjalom jamyo güije, inseda un patgon bulico na magogode, na taya ni un taotao tumachojnge: pula ya inquene mague.
akawaambia: “Nendeni katika kijiji kilicho mbele yenu. Mtakapokuwa mnaingia kijijini, mtamkuta mwana punda amefungwa ambaye hajatumiwa na mtu. Mfungeni, mkamlete hapa.
31 Ya yanguin jaye na taotao fumaesen jamyo: Jafa miña inpila? Sangane taegüine: Sa janesesita y Señot.
Kama mtu akiwauliza, kwa nini mnamfungua, mwambieni, Bwana ana haja naye.”
32 Ya manjanao ayo sija y manmatago, ya jasoda jaftaemano y mansinangane sija.
Basi, wakaenda, wakakuta sawa kama alivyowaambia.
33 Ya anae mapupula y patgon bulico, ilegña y gaega nu sija: Jafa muna inpípila y patgon bulico.
Walipokuwa wanamfungua yule mwana punda, wenyewe wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua mwana punda huyu?”
34 Ya ilegñija: Janesesita y Señot.
Nao wakawajibu, “Bwana anamhitaji.”
35 Ya macone guato gui as Jesus: ya japolo y magagoñija gui jilo y patgon bulico, ya manmaudae si Jesus,
Basi, wakampelekea Yesu yule mwana punda. Kisha wakatandika mavazi yao juu yake wakampandisha Yesu.
36 Ya anae jumajanao, jababa y magagoñija gui chalan.
Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
37 Ya anae esta jijijot, esta tumutunog gui egso Olibo, todo y manadan disipulo matutujon manmagof ya maalaba si Yuus, yan dangculo inagang, pot y liniiñija todo ni y finatinas namanman.
Alipofika karibu na Yerusalemu, katika mteremko wa mlima wa Mizeituni, umati wote na wanafunzi wake, wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona;
38 Ylegñija: Dichoso y Ray ni y mato pot y naan y Señot: pas gui langet, yan minalag guiya jululo.
wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!”
39 Ya palo gui Fariseo sija, manestaba gui entalo y linajyan taotao ilegñija nu güiya: Maestro, reprende y disipulumo sija.
Hapo baadhi ya Mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu, wakamwambia Yesu, “Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!”
40 Ya manope ilegña: Jusangane jamyo, na yanguin manmamatquilo este sija, y acho enseguidas ufanagang.
Yesu akawajibu, “Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, hakika hayo mawe yatapaza sauti.”
41 Ya anae esta jijot, ya jalile y siuda, ninacasao pot güiya.
Alipokaribia zaidi na kuuona ule mji, Yesu aliulilia
42 Ylegña: Yanguin untungo, pago gui jaanimo, jagoja, y güinaja ni y iyon y pas! lao pago esta maatogüe y atadogmo.
akisema: “Laiti ungelijua leo hii yale yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako.
43 Sa ufanmato jaane guiya jago, na y enemigumo sija utanmancolat oda gui oriyamo, ya unmaoriyaye, ya unmaadaje cada banda,
Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote.
44 Ya umayute papa gui jilo oda yan y famaguonmo ni y mangaegue gui sumanjalommo; ya ti unmapoluye un acho gui jilo y otro; sa ti untungo y tiempon y mabisitamo.
Watakupondaponda wewe pamoja na watoto wako ndani ya kuta zako; hawatakuachia hata jiwe moja juu jingine, kwa sababu hukuutambua wakati Mungu alipokujia kukuokoa.”
45 Ya jumalom gui templo, ya jatutujon yumute juyong todo ayo sija y manmanbebende güije;
Kisha, Yesu aliingia Hekaluni, akaanza kuwafukuzia nje wafanyabiashara
46 Ya ilegña nu sija: Esta matugue: Y gumajo, uguma manaetae; lao jamyo infaliyang saque.
akisema, “Imeandikwa: Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala; lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi.”
47 Ya mamanagüe gui templo cada jaane. Lao y magas mamale sija, yan y escriba, yan y manmagas y taotao sija, maaliligao para umaqueyulang.
Yesu akawa anafundisha kila siku Hekaluni. Makuhani wakuu, walimu wa Sheria na viongozi wa watu walitaka kumwangamiza,
48 Ya ti jajulat sumoda jafa ujachogüe: sa todo y taotao gumeguesecungog güe.
lakini hawakuwa na la kufanya, maana watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini kabisa.

< San Lucas 19 >