< 1 Timothawus 5 >

1 Na uwa boro ukune iyizi ba, fwanghe acara naco ucif, mino uzaman nafo nuana fin.
Usimkemee mzee kwa ukali bali umshawishi kama vile angekuwa ni baba yako. Uwatendee vijana kama vile ndugu zako;
2 Zazina awani akukune nafo annah, nuan nishono nafo nuan nishono, nin kibinayi kilau vat.
nao wanawake wazee uwatendee kama mama zako, na wanawake vijana kama dada zako, katika usafi wote.
3 Zazina awani ale na ales mine namo kuzu, ale na imal kunju.
Waheshimu wanawake wajane ambao ni wajane kweli kweli.
4 Andi uwani ulle na ules me na kú, dumun nono nin nayalang, na icizin udursuzu nlanzu fiu Kutellẹ nan nya lilari mine. Na ibiya acif mine, bara na Kutellẹ din lanzu nmang nani.
Kama mjane ana watoto ama wajukuu, hawa inawapasa awali ya yote wajifunze kutimiza wajibu wao wa kumcha Mungu katika matendo kwa kuwatunza wale wa jamaa zao wenyewe, na hivyo wawarudishie wema waliowatendea wazazi wao, kwa kuwa hivi ndivyo impendezavyo Mungu.
5 Ame unan diru nles ulle na amẹ nkuno, na aceo kibinai me kiti Kutellẹ. Ashon liti nan nya nfo nacara kitik nin lirin.
Mwanamke ambaye ni mjane kweli kweli, yaani, yeye aliyebaki peke yake huweka tumaini lake kwa Mungu naye hudumu katika maombi usiku na mchana akimwomba Mungu ili amsaidie.
6 Ame ulle na aceo kibanai me nlanzu nmang ame nkú, a ayita nin lai.
Lakini mjane aishiye kwa anasa amekufa, ingawa anaishi.
7 Ta isu illẹ imone, bara iwa se imon nvurzu.
Wape watu maagizo haya pia, ili asiwepo yeyote wa kulaumiwa.
8 Nanere ulle na amin kilari mẹ nin li uana ba, anari uyinnu sa uyenu, akanti kulumai nin nanzang.
Kama mtu hawatunzi wale wa jamaa yake, hasa wale wa nyumbani mwake mwenyewe, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko yeye asiyeamini.
9 Na iwa nyertin lissa nmon uwani unan dirun les, na akus me darni akut kutocin ba, uwani nles urum.
Mjane yeyote asiwekwe kwenye orodha ya wajane isipokuwa awe ametimiza umri wa miaka sitini, na ambaye alikuwa mke wa mume mmoja,
10 Na iyininghe nin katuwa kacind, assa ana min nono gegeme, ayita washalang, asa ana kuzuzu abunu namara, asa ana buzuno nikimon, asa ana suzu imon vat nin likara.
awe ameshuhudiwa kwa matendo yake mema, aliyewalea watoto wake vizuri, aliye mkarimu, aliyewanawisha watakatifu miguu, aliyewasaidia wenye shida na aliyejitolea kwa ajili ya matendo mema ya kila namna.
11 Nanere alle na ales mine na kuzu ana isa kunjo ba, na iwa yertin tisa mine ba. Bara kubi ko na usu kidowon nkata likara minẹ, asa ipizira usu nilugma.
Lakini kwa habari za wajane vijana usiwaweke kwenye orodha hiyo, maana tamaa zao za kimaumbile zikizidi kule kujitoa kwao kwa Kristo, watataka kuolewa tena.
12 Nan nya nlo libauwe, idinin shara natimine bara na inari uyinnu sa uyenu mine un burne.
Nao kwa njia hiyo watajiletea hukumu kwa kukiuka ahadi yao ya kwanza.
13 Bara nani asa iso agballa. Nin dortu nilari nilari. Na asa iso agballa cas ba, asa iso anan kubellum. Ibelle ile imon na icaun ibellu ba.
Zaidi ya hayo, wajane kama hao huwa na tabia ya uvivu wakizurura nyumba kwa nyumba, wala hawawi wavivu tu, bali pia huwa wasengenyaji, wajiingizao katika mambo yasiyowahusu na kusema mambo yasiyowapasa kusema.
14 Bara nani ndinin su awani abebene ale na ales mine na kuzu isu ilugma, imacu nono, imin nilari, na iwa ni shitan ku nfwang nnanzu katuwa bit ba.
Hivyo nawashauri wajane vijana waolewe, wazae watoto na wasimamie nyumba zao, wasije wakampa adui nafasi ya kutushutumu.
15 Nene wang, among mine nlasina idofino shitan ku.
Kwa maana kwa kweli wajane wengine wamepotoka ili kumfuata Shetani.
16 Assa uwani ule na adinin yinnu sa uyenu, adinin nawani ale na alles mine na kuzu, na abun nani, bara katawe wa ti kutyin lire kadiawe, bara ina buno anan diru nales alle na ikunjo.
Lakini kama mwanamke yeyote aaminiye ana wajane katika jamaa yake, inampasa awasaidie wala si kuwaacha wakililemea kanisa, ili kanisa liweze kuwasaidia wale ambao ni wajane kweli kweli.
17 Na adidya ale na ina ghatin nani acara kutyin nlira, asa idin cinu nin nanit gegeme na ipatin uzazunu ulenge na iba ninani, umunu alenge na idin bellu idursuzo uliru Kutellẹ.
Wazee wa kanisa wanaoongoza shughuli za kanisa vizuri wanastahili heshima mara mbili, hasa wale ambao kazi yao ni kuhubiri na kufundisha.
18 Uliru Kutellẹ nworo, ''Na uwa nazu finafe nin nimoli kubi katwa ba,'' tutung ''Unan katuwa uwesu tinonto me.''
Kwa maana Maandiko husema, “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka,” tena, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”
19 Kpada anan su nalapi nbun nanit, ngisine nan lanza fiu.
Usiendekeze mashtaka dhidi ya mzee isipokuwa yawe yameletwa na mashahidi wawili au watatu.
20 Asa na ulanza nnu nan waba sa awatat ba, na uwa yinnin nin vuru liti ndia kutyẹn lira ule na ina tarda ghe uchara ba.
Wale wanaodumu katika dhambi uwakemee hadharani, ili wengine wapate kuogopa.
21 Ntafi ubun Kutellẹ, nin Yisa Kristi, a nono kadura Kutellẹ allege na ina fere nani, su ille imone, na uwa feru ba, yenje uwa su imomon nin su liti.
Ninakuagiza mbele za Mungu na mbele za Kristo Yesu na mbele za malaika wateule, shika maagizo haya pasipo ubaguzi wala upendeleo.
22 Na uwa tarda unit achara dsddei ba, bara uwa ti acara nan nya kulapin nmong, nafe litife so lau.
Usiwe na haraka kumwekea mtu mikono wala usishiriki dhambi za watu wengine. Jilinde nafsi yako uwe safi.
23 Na uwa so nmyen cas ba, kpina kamyen kagbagbai bara ukonu liburi nin nyeneyi kidowo fe.
Acha kunywa maji peke yake, tumia divai kidogo kwa sababu ya tumbo lako na maumivu yako ya mara kwa mara.
24 Alapi na mong anit di kanang, idin cinu nbun udu kitin shara, among dorto kidung.
Dhambi za watu wengine ni dhahiri nazo zinawatangulia kwenda hukumuni; na dhambi za watu wengine zinawafuata nyuma yao.
25 Nanere tutun nituwa nicine di kanang, ni nin nanẹ wang na ni nyeshi ba.
Vivyo hivyo, matendo mema yako dhahiri, na hata yale ambayo si mema hayawezi kufichika.

< 1 Timothawus 5 >