< Filibiya 4 >

1 Bara nani, nuwana nin alenge nan indi nin suu we ndi nin ghinu kibinei, anu ghe re liburi limang nin kitik tigo, nlo liboo we yisinan nin na kara nyan Cikilari, adondong nin anan suu.
Kwa hiyo, ndugu zangu, ninaowapenda na ambao ninawaonea shauku, ninyi mlio furaha yangu na taji yangu, hivi ndivyo iwapasavyo kusimama imara katika Bwana, ninyi wapenzi wangu.
2 Indin fo Eyudiya nin Sintiki ku acara imin kaa kibinei nyan Cikilari.
Nawasihi Euodia na Sintike wawe na nia moja katika Bwana.
3 Nya na adadu, indin fo minu acara anan kiden kataa ligowe nin mi, ibuun awani ale bara na ina su kataa nin me nkosu nliru umang ligowe nin Klement a ngisin na nan kataa we, ale natisamine din na nya ku takardan nlai.
Naam, nakusihi wewe pia, mwenzangu mwaminifu, uwasaidie hawa wanawake, kwa sababu walijitaabisha katika kazi ya Injili pamoja nami bega kwa bega, wakiwa pamoja na Klementi na watendakazi wenzangu ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima.
4 Suun liburi liboo na nya Cikilari kokishii. Tutung ima woru, suun liburi liboo.
Furahini katika Bwana siku zote, tena nasema furahini!
5 Na vat nanit yinin minu bara nshew mine. Cikilaren da duru.
Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana yu karibu.
6 Yenje iwa su ukpilizu ko nimong. Nnani, nyan nlira nin kuculu a ugodo nan Kutelle imon vat.
Msijisumbue kwa jambo lolote, bali katika kila jambo kwa kuomba na kusihi pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.
7 Nmang Kutelle, na mi katin uyinnu vat, ma yenju nibinei nin kpilizu mine nyan Kristi Yesu.
Nayo amani ya Mungu, inayopita fahamu zote, itailinda mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.
8 Nmalzine vat, linuwana, vat nile imon na kidegen nari, vat nile ile imon na igongong ghari, vat nile imon na idi dert, ile imon vat na idi lau, ile imon vat na in suu wari, ile imon vat na idi nin liru ucine, indi imomon duku na kaun, indi imon duku in liruu, kpilizan kitene ne le imone.
Hatimaye, ndugu zangu, mambo yote yaliyo ya kweli, yoyote yaliyo na sifa njema, yoyote yaliyo ya haki, yoyote yaliyo safi, yoyote ya kupendeza, yoyote yenye staha, ukiwepo uzuri wowote, pakiwepo chochote kinachostahili kusifiwa, tafakarini mambo hayo.
9 Imone na ina yinin inin sere inin lanza inin yene kitinin, suun ile imone. Kutellen mmang ma soo nanghinu.
Mambo yote mliyojifunza au kuyapokea au kuyasikia kutoka kwangu, au kuyaona kwangu, yatendeni hayo. Naye Mungu wa amani atakuwa pamoja nanyi.
10 Liganghe nene ndi nin liburi liboo gbardang na nya Cikilari bara na idursoi usuu. Kidegen ina mai udursui usuu, ama na ina se kubi ibuuni ba.
Nina furaha kubwa katika Bwana kwamba hatimaye mmeanza upya kushughulika tena na maisha yangu. Kweli mmekuwa mkinifikiria lakini mlikuwa hamjapata nafasi ya kufanya hivyo.
11 Nan din belu ile imone bara nan di nin suu nimomonari ba. Meng na yinin usoo nin liburi liboo nyan vat nile imon na idi.
Sisemi hivyo kwa vile nina mahitaji, la! Kwa maana nimejifunza kuridhika katika hali yoyote.
12 Nnyiru likimon, nnin kuru nyiro use. Kolome libau nin vat nin mon nyiru usiri nshitu caut so un soo nin kukpon, nin woro udumun gbardang sa udin piziru.
Ninajua kupungukiwa, pia ninajua kuwa na vingi. Nimejifunza siri ya kuridhika katika kila hali, wakati wa kushiba na wakati wa kuona njaa, wakati wa kuwa na vingi na wakati wa kupungukiwa.
13 Nyan suu imon vat na nya me ule na adin tiziyi akara.
Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.
14 Na nya nani wan, una su gegene kubi koo na nwadi na nya nijari.
Lakini, mlifanya vyema kushiriki nami katika taabu zangu.
15 Anun yiru, anun Anan Filibiya, nyan cizinu kadure kubi koo na nwa cin Umakaduniya, nan kon kutii kulau wa wutiyi kimal nyan ni nin seru ba sei anun cas.
Zaidi ya hayo, ninyi Wafilipi mnajua kwamba siku za kwanza nilipoanza kuhubiri Injili, nilipoondoka Makedonia, hakuna kanisa jingine lililoshiriki nami katika masuala ya kutoa na kupokea isipokuwa ninyi.
16 Udu kubi koo na nwa din Tassalunika, na so urum ari iwa tuu yi nin buunu ba.
Kwa maana hata nilipokuwa huko Thesalonike, mliniletea msaada kwa ajili ya mahitaji yangu zaidi ya mara moja.
17 Na ndin piziru nfilluere ba. Bara nani, nnaadin piziru kumatere na kudin kpizinu ulin ubun mine.
Si kwamba natafuta sana yale matoleo, bali natafuta sana ile faida itakayozidi sana kwa upande wenu.
18 Nna seru imon vat, nnin dumun gbardang. Nshito. Nna seru unuzu Epaproditus imone unuzu kitime. Kunye liin kang, kunin kun seruari imon nnakpu na idin puzu Kutelle liburi.
Nimelipwa kikamilifu hata na zaidi; nimetoshelezwa kabisa sasa, kwa kuwa nimepokea kutoka kwa Epafrodito vile vitu mlivyonitumia, sadaka yenye harufu nzuri, dhabihu inayokubalika na ya kumpendeza Mungu.
19 Tutung Kutelle nin ma shitu nin ghinu bara use me nyan gongong Kristi Yesu.
Naye Mungu wangu atawajaza ninyi na kila mnachohitaji kwa kadiri ya utajiri wake katika utukufu ndani ya Kristo Yesu.
20 Nene ngongong ghe min Kutelle nin Cif bit soo ligang saligang. Usoo nani. (aiōn g165)
Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen. (aiōn g165)
21 Lisso anan yinnu vat nan nyan Kristi Yesu. Linuwa na longo nalidi nin mi din lissu minu.
Msalimuni kila mtakatifu katika Kristo Yesu. Ndugu walioko pamoja nami wanawasalimu.
22 Anan yinnu vat kikane din lissu minu, masamman ananya kilarin Kaisariya.
Watakatifu wote wanawasalimu, hasa wale watu wa nyumbani mwa Kaisari.
23 Na ubolun Cikilari Yesu Kristi soo nan ruhu mine. Usoo nani.
Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

< Filibiya 4 >