< Ulusetulilo 18 >

1 Ye fikilile fyoni ifi nikabwene umunyamola ujunge ikwika paasi kuhuma kukyanya. Umwene alyale nuvutavulilua uvuvaha, na ji iisi jikamulikue nhu vwimike vwaa mwene.
Baada ya vitu hivi nilimwona malaika mwingine akishuka chini kutoka mbinguni. Yeye alikuwa na mamlaka kuu, na nchi iliangazwa kwa utukufu wake.
2 Alyalilile nilisio ilivaha, akajova, “Ghughwile, ghughwile, ilikaja ilivaha ilya Babeli! Ulivukale vwa Mipepo, kange panosikukala imhepo indamafu soni, kange napano vikukala avanyali voni nikijuni kino kikalasia.
Alilia kwa sauti kuu, akisema, “Umeanguka, umeanguka, ule mji mkuu Babeli! Umekuwa sehemu yakaapo mapepo, na sehemu ikaapo kila roho chafu, na sehemu akaapo kila mchafu na ndege achukizaye.
3 Ulwakuva ifisina fyooni finywile uluhuje nhuvunoghelua vwea vuvwafu vwamweene vuno vukum'pelelela ing'alasi. Avatua va mu iisi va vwafuike naghwoope. Navanyaduka vooni vooni va mu iisi vakavile uvuvwafu ku ngufu sa mikalile gha mwene gha vunoghelua.”
Kwa kuwa mataifa yote yamekunywa mvinyo ya tamaa ya uasherati wake ambayo humletea ghadhabu. Wafalme wa nchi wamezini naye. Wafanyabiashara wa nchi wamekuwa matajiri kwa nguvu ya maisha yake ya anasa.”
4 Kange nikapulika ilisio ilinge kuhuma kukyanya liiti, “Vukagha kwa mwene mwe vaanhu vango, ulwakuuti mulihasing'ana mumakole gha mwene, ulwakuuti muleke pikuvupila imumuko sa mwene sooni.
Kisha nilisikia sauti nyingine kutoka mbinguni iikisema, “Tokeni kwake watu wangu, ili msije mkashiriki katika dhambi zake, na ili msije mkapokea mapigo yake yoyote.
5 Inyali sa mwene simemeleng'ine kukyanya heene vulanga, naju Nguluve asikumbwike imbombo sa mwene imbivi.
Dhambi zake zimerundikana juu kama mbingu, na Mungu ameyakumbuka matendo yake maovu.
6 Mumombaghe ndavule akavahombile avange, kange muhombaghe mugomokaghe kaviili ndavule akavombile; mukikombe kino akahasing'inie, mumanikiiaghe kaviili ulwa mweene.
Mlipeni kama alivyowalipa wengine, na mkamlipe mara mbili kwa jinsi alivyotenda; katika kikombe alichokichanganya, mchanganyishieni mara mbili kwa ajili yake.
7 Ndavule akighinisie jujuo mwene, kange akikalile nulunomo, mum'pelaghe imumuko nyinga na kusukunala. Ulwakuva ijova mu mwoojo ghwa mwene, nikalile hwene minja Ntua; kange nanilimfwile, nambe na kwande nikukwagha kulila.'
Kama alivyojitukuza yeye mwenyewe, na aliishi kwa anasa, mpeni mateso mengi na huzuni. Kwa kuwa husema moyoni mwake, 'Nimekaa kama malkia; wala siyo mjane, na wala sitaona maombolezo.'
8 Pa uluobmu n'kate mukighono kimo imumuko sa mwene sikumulemagha: Vufue, ikililo, nhi njala, itangukagha nu mwooto, ulwakuva u Mutwa u Nguluve ghwe nyangufu, kange ghwe mighi ghwa mwene.”
Kwa hiyo ndani ya siku moja mapigo yake yatamlemea: kifo, maombolezo, na njaa. Atateketezwa kwa moto, kwa kuwa Bwana Mungu ni mwenye nguvu, na ni mhukumu wake.”
9 Avatua va iisi vano vakavwafwike na kuhasiling'ana palikimo nu mwene viliilagha na pikung'ulasia pano kwande vikulivona ilyosi ilyakupia umweene.
Wafalme wa nchi waliozini na kuchanganyikiwa pamoja naye watalia na kumwombolezea watakapouona moshi wa kuungua kwake.
10 Vikwima patali numwene, ku vwoghofi vwa vuvafi vwa mwene vitisagha, “Iiga, iiga kulikaja ilivaha, Babeli, ilikaja ilinyangufu! Ku kivalilo kimo uluhighilo lwako lwisile.”
Watasimama mbali naye, kwa hofu ya maumivu yake wakisema, “Ole, ole kwa mji mkuu, Babeli, mji wenye nguvu! Kwa saa moja hukumu yako imekuja.”
11 Vanyaduka va iisi mulilaghe na pikung'ulasia vwimila u mwene, ulwakuva nakwale nambe jumo juno ighula ifinu fya mwene kange -
Wafanyabiashara wa nchi lieni na kuomboleza kwa ajili yake, kwa kuwa hakuna hata mmoja anunuaye bidhaa zake tena -
12 ifiinu ifya sahabu, indalama, amavue agha lutogo, lulu, ugolole um'balafu, izambalau, umwene nda ghuno ghutetema, ndangali, amapiki ghoni ghono ghinukila vunofu, ifivombelo fyoni ifya mapembe gha jungua, ifyombo fyoni fino fitendilue namapiki gha lutogo, shahaba, kyuma, ilivue,
bidhaa za dhahabu, fedha, mawe ya thamani, lulu, kitani nzuri, zambarau, hariri, nyekundu, aina zote za miti ya harufu nzuri, kila chombo cha pembe za ndovu, kila chombo kilichotengenezwa kwa miti ya thamani, shaba, chuma, jiwe,
13 Mdalasini, ifilungo, vufumba, manemane, vubani, uluhuje, amafuta, uvutine uvunono, ingano, ing'ombe ni ng'olo, ifarasi ni gale, na vakami, ni numbula sa vaanhu.
mdalasini, viungo, uvumba, manemane, ubani, mvinyo, mafuta, unga mzuri, ngano, ng'ombe na kondoo, farasi na magari, na watumwa, na roho za watu.
14 Imeke sino ukasinoghilue ni ngufu saako sivukile kuhuma kulyuve. Uvunoghelua vwaako vwooni nhu vunonofivikile, nafilavoneka kange.
Matunda uliyoyatamani kwa nguvu zako yameondoka kutoka kwako. Anasa zako zote na mapambo yametoweka, hayatapatikana tena.
15 Vano vighusia ifiinu ifi vano vakavile uvumofu muvughane vwamwene vikwimagha kuvutali kuhuma kwa mwene vwimila vwa vwoghofi vwa mumuko saa mwene, vilila nilisio lya kung'ulasia.
Wafanyabiashara wa vitu hivi waliopata utajiri kwa mapenzi yake watasimama mbali kutoka kwake kwa sababu ya hofu ya maumivu yake, wakilia na sauti ya maombolezo.
16 Viiti, “Iga, iga kulikaja ilivaha ghwe juno ifwikilue ugolole unono, sambalau, ni ndangali, na kunosevua ni sahabu, ni finu ifya lutogo ni lulu!”
Wakisema, “Ole, ole mji ule mkuu uliovikwa kitani nzuri, zambarau, na nyekundu, na kupambwa kwa dhahabu, na vito vya thamani na lulu!”
17 Mun'kate mu sala jimo uvumofu vwooni uvuo vukikalile. Avaghendesia meli vooni, kange avoghelelelaji va mubahari na vooni vano vivomba imbombo mu nyanja, valyimile patali.
Ndani ya saa moja utajiri wote huo ulitoweka. Kila nahodha wa meli, kila baharia, na wote wanamaji, na wote wafanyao kazi baharini, walisimama mbali.
18 Valyalilile ye vikulivona ilyosi ilyakupia umwene. Vakaati, “Likaja liliku lino liwanana nilikaja iili ilivaha?”
Walilia walipouona moshi wa kuungua kwake. Walisema, “Ni mji gani unafanana na mji huu mkubwa?”
19 Vakitaghile iling'undi pa matu gha vanave, pe vakalila, vakahumagha amahosi na pikung'ulisia, “Iiga, iiga ghwelikaja ilivaha mwonimwoni vano valyale ni meli saave mu nyanja valyale vamofu vwimila vwa kyuma kya mwene. Mun'kate mu sala jimo vitipulue.”
Walitupa mavumbi juu ya vichwa vyao, na walilia, wakitokwa machozi na kuomboleza, “Ole, ole mji mkubwa mahali wote waliokuwa na meli zao baharini walikuwa matajiri kutokana na mali zake. Ndani ya saa moja umeangamizwa.”
20 “Mukelaghe khu lwa mwene, vulanga, umwue vitiki, mweva sun'gua navavili, ulwakuva u Nguluve aletile uluhighilo lwa mwene pa ulu!”
“Furahini juu yake, mbingu, ninyi waumini, mitume, na manabii, kwa maana Mungu ameleta hukumu yenu juu yake!”
21 Umunyamola unyangufu alyanyanywile ilivue hweene livuhe ilivaha ilya kuhavulila kange akatagha mu nyanja, akaatisagha, “Kusila iiji, Babeli, ilikaja ilivaha liila, ghutaghua pasi kuvu lefi nulavoneka kange.
Malaika mwenye nguvu aliinua jiwe kama jiwe kuu la kusagia na alilitupa baharini, akisema, “Kwa njia hii, Babeli, ule mji mkuu, utatupwa chini kwa ukatili na hautaonekana tena.
22 Amasio gha finanda, avanyanyimbo, avaseja pilimbi, nulu kelema navalapulika kange kulyumue. Nambe avamang'ani vooni navalavoneka kulyumue. Nambe ilitavua lya lituule nalilapulikika kange kulyumue.
Sauti ya vinanda, wanamuziki, wacheza filimbi, na tarumbeta hawatasikika tena kwenu. Wala fundi wa aina yoyote hataonekana kwenu. Wala sauti ya kinu haitasikika tena kwenu.
23 Ulumuli lwa tala nalulamulika mulyuve. Ilisio lya nyavutolani umughosi nu nyavutolani umu mama nalilapulikika kange mulyuve, ulwakuuva avaghusia fiinu vako valyale vavaha va mu iisi, kange vafisikina, vasyangilue nuvuhavi vwako.
Mwanga wa taa hautaangaza ndani yako. Sauti ya bwana harusi na bibi harusi hazitasikiwa tena ndani yako, maana wafanyabiashara wako walikuwa wakuu wa nchi, na wa mataifa, wamedanganywa kwa uchawi wako.
24 Mun'kate mwa mwene idanda ja vaviili na vitiki jilya vonike, ni danda ja vooni vano valya m'budilue mu iisi.”
Ndani yake damu ya manabii na waamini ilionekana, na damu ya wote waliouawa juu ya nchi.”

< Ulusetulilo 18 >