< Imbombo 3 >

1 Lino u Petro nhu Yohana yevalungumile munyumba imbaha inyimike ija kufunyila unsiki uwa kufunya, mukivalilo kya budika lubale.
Sasa Peter na Yohana walikuwa wanaelekea katika hekalu wakati wa maombi, saa tisa.
2 Umunhu jumonga, kivwale kuhuma iholua, alyale ipinduaipindua ifighono fioni valyale vikumughonia pamulyango ghwa nyumba imbaha inyimike ijakufunyila ghuno ghukatambulivuagha umuliango unono, ulwakuti akagule kusuma ikitekelo kuhuma kuvanhu Vene kulyalungime kunyimba imbaha inyimike ijakufunyila.
Mtu fulani, kiwete tangu kuzaliwa, alikuwa akibebwa kila siku na alikuwa akilazwa katika mlango wa hekalu uitwao mzuri, ili aweze kuomba sadaka kutoka kwa watu waliokuwa wakielekea hekaluni.
3 Ya vwene uPetro nhu Yohana valipipi kukwingila munyumba imbaha ijakufunyila, alyasumile ilitekelo.
Alipowaona Petro na Yohana wanakaribia kuingia hekaluni, aliomba sadaka.
4 Petro, akamulunguvalila amaso, palikimo nhu Yohana, akati, “tulolaghe usue.”
Petro, akimkazia macho, pamoja na Yohana, alisema,”tutazame sisi.”
5 Kivwale akavalola, akavahuvilagha kikava kimonga kuhuma kuvanave.
Kiwete akawatazama, akitazamia kupokea kitu fulani kutoka kwao.
6 Loli u Petro akajova, “indalama ni sahabu une nanilinafyo, loli kinonilinakyo nihumia kulyuve. Mhu litavua ilya Yes kilisite ughwa mhu Nazareth, ghendagha.”
Lakini Petro akasema, “fedha na dhahabu mimi sina, lakini kile nilichonacho nitatoa kwako. Katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth, tembea.”
7 U Petro akantola nhi kivoko kya mwene ikyandio, akamwinamula munkyanya: nakalingi amaghulu gha mwene nififughamilo fya mwene ni fijeghe fikapata ingufu.
Petro akamchukua kwa mkono wake wa kulia, na akamwinua juu: mara moja miguu yake na vifundo vya mifupa yake vikapata nguvu.
8 Akajumba mukyanya, umunhu kivwale pe akima pe akatengula kughenda, akingila munyumba imbaha inyimike ijakufunyila palikimo nhu Petro nhu Yohana, akaghenda, akajumba, napikumongesia u NGuluve.
Akiruka juu, mtu kiwete alisimama na akaanza kutembea; akaingia hekaluni pamoja na Petro na Yohana, akitembea, akiruka, na kumsifu Mungu.
9 Avanhu vooni vakambwene ighenda na pikumughinia uNguluve.
Watu wote walimwona akitembea na akimsifu Mungu.
10 Vakakagulu Kati ghwe jula juno alyale ikukala na kusuma ilitekelo pa muliango unono ughwa nyumba inyimike ijakufunyila; valyamemile kudegha name kudegha kyongo pakila kinokikahumile Kwa mwene.
Wakatambua kwamba alikuwa ni yule mtu ambaye alikuwa akikaa akiomba sadaka kwenye mlango mzuri wa hekalu; walijawa na mshangao na kustaajabu kwa sababu ya kile kilichotokea kwake.
11 Ndavule alyavakolelile uPetro nhu Yohana, avanhuavanhu voni vakakimbiliila muvukumbi vuno vatambulagha Sulemani, vakadeghagha kyingo.
Namna alivyokuwa amewashikilia Petro na Yohana, watu wote kwa pamoja wakakimbilia kwenye ukumbi uitwao wa Sulemani, wakishangaa sana.
12 U Petro Jeff alivwene iili, umwene akavamula avaanhu, “umue mwevanhu va much Israeli, kicking mudegha? Nakiki mulangamile amaso ghinu kulyusie, hence twesue tubombile uju ulwakuti aghendaghe ni ngufu siitu nhu vwitiki vwitu?
Petro alipoliona hili, yeye akawajibu watu, “Enyi watu wa Israel, kwa nini mnashangaa? Kwa nini mnayaelekeza macho yenu kwetu, kama kwamba tumemfanya huyu atembee kwa nguvu zetu wenyewe au uchaji wetu?”
13 U Nguleve ghwa Ibrahim, nhu ghwa Isaka, nhu ghwa Yakobo, Nguluve ghwa Va Nhataa viitu, amwimike um'bombi ghwa mwene u Yesu. uju ghwe mwene Juno umue mukafumbatisie na panoramic umwene alyale ilonda kumulekesia ave mwavuke.
Mungu wa Ibrahimu, na wa Isaka, na wa Yakobo, Mungu wa Baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu. Huyu ndiye ambaye ninyi mlimkabidhi na kumkataa mbele ya uso wa Pilato, japo yeye alikuwa ameamua kumwachia huru.
14 Mulyakanile umwike kange unyavwakang'ani, niki umue mukamolonda um'budighwe alekue ave mwavuke.
Mlimkataa Mtakatifu na Mwenye Haki, na badala yake mkataka muuaji aachwe huru.
15 Umue mulya m'budile untua ughwa vuumi, Juno u NgeluveNgeluve aliyah syusisie kuhuma ku vafue use tulivolesi va iliio.
Ninyi mlimuua Mfalme wa uzima, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu - Sisi ni mashahidi wa hili.
16 Lino mulwitiko mulitavua lya mwene, umunhu uju Juno mukam'bona napikagula, alyimikiluue kuvomba ningufu. Ulwitiko luno lukililakwa Yesu uvulamuke uvupesie, pavulongolo palyumue mwevoni.
Sasa, kwa imani katika jina lake, mtu huyu ambaye mnamwona na kujua, alifanywa kuwa na nguvu. Imani ambayo inapitia kwa Yesu imempa yeye afya hii kamilifu, mbele yenu ninyi nyote.
17 Lino, vanyalukolo, nikaguile kuti mulyavombile mhuvujasu, pe valyavombile vulevule avalongosi vinhu.
Sasa, Ndugu, najua kwamba mlitenda katika ujinga, ndivyo pia walivyofanya viongozi wenu.
18 Loli amasio ghino uNguluve aliyah vavulile nga'aani kukilila mumalomo agha vaviilivaviili voni, Katie ujuuju kilisite ilipumuka lino akwisisie.
Lakini mambo ambayo Mungu aliwaambia mapema kwa vinywa vya manabii wote, kwamba huyu Kristo atateseka, sasa ameyatimiza.
19 Lino, mulataghe, musyetuke, ulwakuti uvuhosi vwinu vuoni vuvusivie, ulwakuti ghuise unsiki ughwa kutengana vwimila nhu vutavulivua.
Kwa hiyo, tubuni na mgeuke, ili kwamba dhambi zenu ziweze kuondolewa kabisa, kusudi zije nyakati za kuburudika kutokana na uwepo wa Bwana;
20 Mulwakuti akagule pikumwomola kilisite Juno asalulivue vwimila umue, Yesu.
na kwamba aweze kumtuma Kristo ambaye ameshateuliwa kwa ajili yenu, Yesu.
21 Ujuo ghwe mwene uvulanga vumhupilile pano filava figomoka ifinhu fioni, silo u Nguluve alyasijovile pakali kukila mumalomo gha vaviili. (aiōn g165)
Yeye ndiye ambaye lazima mbingu zimpokee mpaka wakati wa kurejeshwa kwa vitu vyote, ambavyo Mungu alizungumzia zamani za kale kwa vinywa vya manabii watakatifu. (aiōn g165)
22 Sakyang'ani u Musa alyajovile, u Mutwa unguluve ikumwimiagha um'bili ndavule uneasy kuhuma munkate muvanyalukolo vitu. Mulikumpulikisyagha ifinhu fyoni fine ikuvavula umue.
Hakika Musa alisema, 'Bwana Mungu atainua nabii kama mimi kutoka katika ndugu zenu. Mtamsikiliza kila kitu ambacho atawaambia ninyi.
23 Lulihumila kuuti umunhu ghueni Juno naipulika Kwan m'biili ujuo ghwe itipulivuagha avuke pakate pa vannhu.
Itatokea kwamba kila mtu ambaye hasikilizi kwa nabii huyo ataangamizwa kabisa atoke kati ya watu.'
24 Ena, navavili voni kutengulila uSamweli navano valisile pambele pa mwene valyajovile kange vakapulisia ifighono ifi.
Ndiyo, na manabii wote tokea Samweli na wale waliofuata baada yake, walizungumza na walitangaza siku hizi.
25 Umwe mhu livana vavvili kange valufingo luno uNguluve alyafingine palikimo nava nyenya, ndavule alyajovile Kwan Abrahimu, 'Mhu mbeju Jakob ing'olo sooni isa mhu iisi sifunyuagha.
Ninyi ni wana wa manabii na wa agano ambalo Mungu alilifanya pamoja na mababu, kama alivyosema kwa Abrahamu, 'Katika mbegu yako familia zote za dunia zitabarikiwa.'
26 U Nguluve ya mwimisiemwimisie umbombi ghwake, alyamwomwile kulyumue tasi, ulwakuti avafunye umue ulwakushetuka kuhuma muvuhosi vwinhu.
Baada ya Mungu kumwinua mtumishi wake, alimtuma kwenu kwanza, ili awabariki ninyi kwa kugeuka kutoka katika uovu wenu.”

< Imbombo 3 >