< Imbombo 4 >

1 Unsiki uPetro nhu Yohana vyalya vijova name Vanuatu, avatekesi nhu n'sikali wa nyumba inyimike ijakufunyila mu sadukayo valyavalutile.
Wakati Petro na Yohana walipokuwa wakizungumza na watu, makuhani na mlinzi wa hekalu na masadukayo waliwaendea.
2 Valyakalile fijo ulwakuva uPetro nhu Yohana valyale vikuvulanisia avanhu piti uYesu name pikuvavulanisia avasyoke avamwene kuhuma kuvafue.
Walikuwa wameudhika sana kwa sababu Petro na Yohana walikuwa wanawafundisha watu kuhusu Yesu na kutangaza juu ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu.
3 Valyavakolile nakuvavika mukipatalamukipatala unsiki ghwa palwakilo pakighono kikafwatile, kikale kisiki jikava vwilile.
Waliwakamata na kuwaweka gerezani hadi asubuhi iliyofuata, kwani tayari ilikuwa jioni.
4 Ikighelelo kya vaghosi valyaghelanisivue valyale imbilima ihano ndiki.
Lakini watu wengi waliokuwa wamesikia ujumbe waliamini; na idadi ya wanaume waliokuwa wameamini walikadiliwa kuwa elfu tano.
5 yejfikile ilwakilo ijakighono kind kikafwatile, piti avagoyo vavanave name vaghogholo navalembi, palkimo vyalyakong'anike palikimo muyerusalemu.
Hata ilipofika asubuhi siku iliyofuata, kwamba wakuu wao, wazee na waandishi, kwa pamoja walikusanyika Yerusalemu.
6 uAnasi alyale n'tekesi ngoyo, nhu Kayafa, nhu Yohana, nhu Iskanda, vanilla valyale vanyalukolo va n'tekesi ungoyo.
Anasi kuhani mkuu alikuwepo, na Kayafa, na Yohana, na Iskanda, na wote waliokuwa ni ndugu wa kuhani mkuu.
7 Yevavikile uPetro nhu Yohana pakate pavanave, vakaaposia, “Mungufu nyiki, Kane mulitavua lyani muvomba iili?”
Walipokuwa wamewaweka Petro na Yohana katikati yao, waliwauliza, “Kwa uwezo gani, au kwa jina gani mmefanya hili?”
8 Niiki uPetro yeah amemile uMhepo umwimike, akavavula, umwe me vagoyo vavanhu, na vaghogholo,
Kisha, Petro, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, akawaambia, “Ninyi wakuu wa watu, na wazee,
9 Ndavule usyue ikighono kyamusiughu tuposevua vwimila vwa mbombo inofu jino tumbombile umunhu un'tamu uuju-lwandani umunhu uuju avuuvuke?
kama sisi siku ya leo tunahojiwa kuhusu tendo jema lililofanywa kwa mtu huyu mgonjwa - kwa namna gani mtu huyu alifanywa mzima?
10 Leka livonekaghe iliio name kuvanhu voni name Islaeli Joni, Katie mulitavua ilya Yesu kilisite ughwa Nazarethi, Juno mkakolile, Juno uNguluve akasyusisyie kuhuma kuhuma kuvafue, vwimila vwa Silas Jack mwene kuti umunhu uuju imile pavulongolo pa maaso ghinu yeah nkafu.
Hebu lijulikane hilo kwenu na kwa watu wote katika Israel, kwamba kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, ambaye mlimsulibisha, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, ni kwa njia yake kwamba mtu huyu anasimama hapa mbele yenu akiwa mwenye afya.
11 UYesu kilisite lyelivue lino umweumwe mwe va lengaji mukalisyojule, lyelinolyelino livikilue kuva livue likome lya muulubale.
Yesu Kristo ni jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilidharau, lakini ambalo limefanywa kuwa jiwe kuu la pembeni.
12 Nakulivuvangi Kwa munhu ujunge Juno avesaghe. Ulwakuva nakwelile ilinge ilitavua pasi pavulanga lino vapelilue avanhu, vwimila vwa ilio likagwile tuvanguka.”
Hakuna wokovu katika mtu mwingine awaye yote. Kwa maana hakuna jina jingine chini ya mbingu walilopewa watu, ambalo kwa hilo tunaweza kuokolewa.”
13 Niike ye vavuvwene uvukangafu uvwa Petrol nhu Yohana, people vakakagula kuuti Vanuatu va vulevule vano name vimbi, pe vakadegha, vakakagula kuti uPetro nhu Yohana vakale palikimo nhu Yesu.
Sasa walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na wakagundua kwamba walikuwa ni watu wakawaida wasio na elimu, walishangaa, wakafahamu kwamba Petro na Yohana wamekuwa pamoja na Yesu.
14 Ulwakuva vakabwene umunu Juno avuvusivue imiile palikimo name Vene, no valyale ni sa kujova kange.
Kwa sababu walimwona yule mtu aliyeponywa amesimama pamoja nao, hawakuwa na kitu cha kusema dhidi ya hili.
15 Loli ye vupile ululaghilo avasung'wua vavuke pavulongolo pa lukong'ano lwa kivighiili pe vakajovagha vavuo Kwan vavuo.
Lakini walipokuwa wamekwisha kuwaamuru mitume waondoke mbele ya mkutano wa baraza, walizungumza wao kwa wao.
16 Vakajovagha, tukuvavomba kiiki avanhu ava? Sakyang'ani ikidegho kya kudegha kivombike kukilila muvanave lulipavuvalafu kuvanhu voni vano vikukala mhu Yerusalemu natungakane ilio.
Walisema, tutawafanyaje watu hawa? Ni kweli kwamba muujiza wa ajabu umefanyika kupitia wao unajulikana na kila mmoja anayeishi Yerusalemu; hatuwezi kulikataa hilo.
17 Loli ulwakutiulwakuti imola iiji jileke pikwila mhu vanhu voni, isagha tuvapavile valajova Kwan jumonga mhu litavua iili.
Lakini, ili kwamba jambo hili lisienee miongoni mwa watu, hebu tuwaonye wasinene tena kwa mtu yeyote kwa jina hili.
18 Vakavakemela u Petrol nhu Yohana mun'kate name pikuva laghila kuti nambe lusiku valajovagha nambe lusiku kuvulanisia mhu litavua lya Yesu.
Waliwaita Petro na Yohana ndani na kuwaamuru kamwe wasinene wala kufundisha kwa jina la Yesu.
19 Loli uPetro nhu Yohana vakavamula name pikuvavula, “Nave lunofu pa Maso gha Nguluve pikuvapulikisia umwe kukila uNguluve, umue mhuhighaghe jumue.
Lakini Petro na Yohana walijibu na kuwaambia, “Kama ni sahihi machoni pa Mungu kuwatii ninyi kuliko Mungu, hukumuni wenyewe.
20 Ulwakuva usue natungabuhile kujova imola sino tusaghile name pikusipulika.”
Maana sisi hatuwezi kuacha kuyanena mambo ambayo tumeyaona na kuyasikia.”
21 Ye vavapavile kyiongo u Petrol nhu Yohana, pevakavalekesia valutaghe. Navakalyaghile limonga ilyakuti me vavakungile, ulwakuva avanhu voni valyale vikumughinia uNguluveuNguluve kuluno valya vombilelue.
Baada ya kuwaonya sana Petro na Yohana, waliwaacha waende. Hawakuweza kupata sababu yoyote ya kuwaadhibu, kwa sababu watu wote walikuwa wakimsifu Mungu kwa kile kilichokuwa kimetendeka.
22 Umunhu Jula Juno alya vuvusivue alyale name make ifijigho fine.
Mtu aliyekuwa amepokea muujiza wa uponyaji alipata kuwa na umri zaidi ya miaka arobaini.
23 Yevavalekisie uPetro nhu Yohana vakisa ku vanhu avuoavuo na kuvavula soni iisio sino avatekesi avavaha na vaghogholo ghano valya vavulile.
Baada ya kuwaacha huru, Petro na Yohana walikuja kwa watu wao na kuwataarifu yote ambayo makuhani wakuu na wazee walikuwa wamewaambia.
24 Ye vaghapulike, vakavela kyingo palikimo Kwa Nguluve vakati, Mutwa uve ulyapelile uvulanga night iisi night nyanja night finhu fyoni mun'kate mhusene.
Walipoyasikia, walipaza sauti zao kwa pamoja kwa Mungu na kusema, “Bwana, wewe uliyeumba mbingu na dunia na bahari na kila kitu ndani yake,
25 Uve wejuno, mhepo mwimike, kukila mumolomo gown Nata ghitu Daudi, um'bombi ghwako, ulyajovile, lwakiki avanhu avapanji vikutupumusia, avanhu VA ghanilwe isio sino nasinoghile?
wewe ambaye, kwa Roho Mtakatifu, kwa kinywa cha baba yetu Daudi, mtumishi wako, ulisema, “Kwanini watu wa mataifa wamefanya ghasia, na watu wametafakari mambo yasiyofaa?
26 Avatua va muiisi valyang'alisie palikimo, na vaTemi valyakong'anile palikimo ulwa Mutwa nhu mesiia ghwamwene.
Wafalme wa dunia wamejipanga pamoja, na watawala wamekusanyika kwa pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya masihi wake.”
27 Sakyang'ani, voni u Herode nhu Pontro Pilato, palikimo name vanhu avapanji na vanhu VA isilaeli, vakakng'anavakakng'ana palikimo mulikaja iili ilya n'sung'ua uYesu kilisitekilisite Juno alyampakile imono.
Ni hakika, wote Herode na Pontio Pilato, pamoja na watu wa mataifa na watu wa Israeli, walikusanyika kwa pamoja katika mji huu dhidi ya mtumishi wako mtakatifu Yesu, ambaye ulimpaka mafuta.
28 Valyakong'anile palikimo kuvomba soni sino uluvoko lwako nhu vughane vwako vulyalighile kutengulila pakale yeah nasihumile iisi.
Walikusanyika kwa pamoja kufanya yote ambayo mkono wako na mapenzi yako yaliyaamuru tangu awali kabla hayajatokea.
29 Lino Mutwa, usilolaghe inyoghofio save, uvapele ingufu avavombi vako kukulijova ilisio liako night ngufungufu soni.
Sasa, Bwana, yaangalie matisho yao, na ukawajaalie watumishi wako kulinena neno lako kwa ujasiri wote. Ili
30 Ulwakuti pano ghugholosia uluvoko lwako kuvuvusia, ifidegho ifyakudegha fikagule kuvoneka vwimila vwa m'bombi ghwako uYesu mwimike.
kwamba unaponyosha mkono wako kuponya, ishara na maajabu viweze kutokea kupitia jina la mtumishi wako mtakatifu Yesu.”
31 Yevamalile pikufunya pano valyakong'anile palikimo pepakasenyeneka, Nike voni vakamema umhepo umwmike, vakajova iliisio lya Nguluve ningufu soni.
Walipomaliza kuomba, eneo ambalo walikusanyika kwa pamoja likatikiswa, na wote wakajazwa na Roho Mtakatifu, na walinena neno la Mungu kwa ujasili.
32 Ikipugha kya voni vano vakamwitike vyalyale nhe numbula jimo nhu mwojo ghomo: na kwalyiale nambe jumonga Juno akafisagha fioni finalinafyo fyamwene jujuuo, vwimila lwa uluouluo valiale ni fine fyoni palikimo.
Idadi kubwa ya wale walioamini walikuwa na moyo mmoja na roho moja: na hakuna hata mmoja wao aliyesema kwamba chochote alichomiliki kilikuwa cha kwake mwenyewe; badala yake walikuwa na vitu vyote shirika.
33 Kungufu soni vakapulisiagha uvwolesi vwave uvwa kusiuka uMutwa uYesu, lusungu uluvaha lulyale pavene voni.
Kwa nguvu kubwa mitume walikuwa wakiutangaza ushuhuda wao kuhusu ufufuo wa Bwana Yesu, na neema kubwa ilikuwa juu yao wote.
34 Napaliale name jumbo Juno alyaghilue name fimonga fino akafilondagha, ulwakuva avanhu voni vano valiale nikarata sa fivanja nambe nyumba, valyaghusiagha name kuieta indalama soni kufioni fino valyaghusiagha
Hapakuwa na mtu yeyote miongoni mwao aliyepungukiwa na mahitaji, kwa sababu watu wote waliokuwa na hati za viwanja au nyumba, waliviuza na kuleta pesa ya vitu waliyokuwa wameuza
35 vakafibikagha pasi pamaghulu ghavusung'ua. Pevakamughavilagha umunhu ghweni Juno aliale mwitike, vakampelagha Kira munhu ndavule ilonda.
na kuviweka chini ya miguu ya mitume. Na mgawanyo ulifanywa kwa kila muumini, kulingana na kila mmoja alivyokuwa na hitaji.
36 Yusufu, Malawi, umunhu umuma ku Kipro, akapelua ilitavua lya Balinaba (lilyaghanulivue mwana ghwa lutengano).
Yusufu, mlawi, mtu kutoka Kipro, alipewa jina la Barnabasi na mitume (hiyo ikitafasiriwa, ni mwana wa faraja).
37 Alyale nhu mughunda, alyaghusisie pe akaleta indalama soni, akasivika pasi pamaghulu gha vusung'ua.
Akiwa na shamba, aliliuza na akaleta fedha, akaziweka chini ya miguu ya mitume.

< Imbombo 4 >