< Imbombo 11 >

1 Avasung'ua navanyalukolo Valarie vano valyale ukuo ku Yudea valyapulike kuuti avapanji vupili ilisio ilya Nguluve.
Mitume na ndugu wale waliokuwa huko Yudea walisikia kuwa wamataifa wamelipokea neno la Mungu.
2 U Petro ye isile ukuo ku Yerusalemu, ikipugha kila ikya vanhu vanovalyahinjilue vakatengula kukum'beda, vakajova,
Petro alipokuja huko Yerusalemu, lile kundi la watu waliotahiriwa wakaanza kumkosoa, Wakisema,
3 “Ukolile na vanhu vano navahinjilue nakulia naveve!”
“Umeshikamana na watu wasiotahiriwa na kula nao!”
4 Looli u Petro alyatenguile kujova ikituko kind kilimunkate; akati,
Lakini Petro alianza kueleza tukio kwa kina; akisema,
5 “NIlyale nikufunya mulikaja ilya Yafa, nikasaghile inyisaghilo isakyombo kikwika pasi ndavule umwenda u n'kome ghukwika kuhuma kukyanya imbaleimbale sake sooni ine. Kikika kulyune.
“Nilikuwa naomba katika mji wa Yafa, na nikaona maono ya chombo kikishuka chini kama nguo kubwa ikishuka kutoka mbinguni katika pembe zake zote nne. Kikashuka kwangu.
6 Nilyakilolile nakusagha pa mwene. NikafyaghilaNikafyaghila ifidimua ifinyamaghulu ghane finofikukala mu iisi, nifidimua ifya mulisoli, nifidimua fino fikwafula nifijuni ifyakuvulanga.
Nilikitazama na kufikiri juu yake. Nikaona wanyama wenye miguu minne waishio katika nchi, na wanyama wa polini na wanyama watambaao na ndege wa angani.
7 nge nilyapulike ilisio lijova nuune, “Sisimuka, Petrol, hinja ulie!”
Kisha nikasikia sauti ikisema nami, “Amka, Petro, chinja naj ule!”
8 Nikajova, “Naluliinala, Mutwa, mumulomo ghwango nakighelile kukwingila ikinu kye kyoni kill kind na kyimike nambe kivivi”
Nikasema, “Siyo hivyo, Bwana, mdomoni mwangu hakujawahi kuingia kitu chochote kisicho kitakatifu au kichafu”
9 Loli ilisio likamula kange kuhuma kukyanya, kila kino uNguluve alyapulisie kuuti kinofu, nungakikemelaghe vulamafu,
Lakini sauti ikajibu tena kutoka Mbinguni, kile Mungu alichokitangaza kuwa ni safi, usikiite najisi,
10 Ulululyahumile katatu, kange Kira kiinu kikatolilue kukyanya.
Hii ilitokea mara tatu, na kila kitu kikachukuliwa mbinguni tena.
11 Lolagha, unsiki ghughuo avanhu vatatu vimile pavulongolo pa nyumba jino tuliale; vomolivue kuhuma ku Kaisaria kukwisa kulyune.
Tazama, wakati huo watu watatu walikuwa wamesimama mbele ya nyumba ile tulimokuwa; wametumwa kutoka Kaisaria kuja kwangu.
12 U Mhepo akambulile kuluta nave, nasingahwananaghe nave. Ava ghosi ntanda vakaluta palikimo nuune tukaluta munyumba jamunhu jumo.
Roho akaniambia kwenda nao, na nisitofautiane nao. Hawa wanaume sita wakaenda pamoja na mimi na tuliende kwenye nyumba ya mtu mmoja.
13 Alyatuvulile ndavule alya mbwene unyamola imile munkate munyumba jamwene ijova, “Unyomole ku Yafa nikantole u Simoni juno ilitavua lya mwene ilinge ghwe Petro.
Alituambia vile alivyomwona malaika amesimama ndani ya nyumba yake akisema, “Nitume Yafa nikamlete simoni ambaye jina lake lingine ni Petro.
14 Ilijova imola mulyuve mu uluo kuuti kuvanguka uve munyumba jako Joni.”
Atasema ujumbe kwako katika huo utaokoka wewe na nyumba yako yote.”
15 Pe alyatenguile kujova navope, u Mhepo Mwimike akisa kuvanave ndavule ye isile pa vwasio.
Nilipoanza kusema nao, Roho mtakatifu akaja juu yao kama alivyokuja kwetu mwanzoni.
16 Nikumbuka amasio gha Mutwa ghanoalyajovile, u Yohana alyofuighe namalenga; looli mukwofughua nu Mhepo u Mwimike.”
Nakumbuka maneno ya Bwana, alivyosema, “Yohana alibatiza kwa maji; lakini mtabatizwa katika Roho mtakatifu.”
17 Ndavule u Nguluve ahumisie uluvonolo ndavule silo alyatupelile usue panoramic tulitike kwa Mutwa Yesu kilisite, une nene veni, kuuti sighwesia kukun'kana u Nguluve?
Pia kama Mungu ametoa zawadi kama alizotupa sisi tulipoamini katika Bwana Yesu Kristo, mimi ni nani, kwamba naweza kumpinga Mungu?
18 Ye vapulike amasio agha, navakagomwisie, looli vakamongisie u Nguluve na kuuti, “U Nguluve ahumisie vwumila kange muvapanji”
Waliposikia mambo haya, hawakurudisha, bali walimsifu Mungu na kusema, “Mungu ametoa toba kwa ajili ya wa mataifa pia”
19 Kange avitiki vino valyale mu mumuko sino silyatengulile mu vufue vya Stephano valyapalasine kuhuma ku Yerusalemu -avitiki ava valyalutile kuvutali, umpaka kuvusililo ku Foinike, Kipro naku Antiokia. Valyavavulile imola kuuti u Yesu jujuo mwene kuva Yahudi nambe kwa munhu ghweni.
Basi waamini ambao mateso yalianzia kwenye kifo cha Stephano walitawanyika kutoka Yerusalemu-waamini hawa walienda mbali, hadi mpaka Foinike, Kipro na Antiokia. Waliwaambia ujumbe kuhusu Yesu peke yake kwa wayahudi na si kwa mwingine awaye yote.
20 Looli avanhu vamo kuhuma ku kipro na ku Krene, valisile ku Antiokia nakujova nava Yunani nakumpulisia u Yesu.
Lakini baadhi yao ni watu kutoka Kipro na Krene, walikuja Antiokia na kusema na wayunani na kumhubiri Bwana Yesu.
21 Nuluvoko ulwa Mutwa tulyale palikimo nu mwene, navanhu vinga valyiitike nakusyentukila u Mutwa.
Na mkono wa Bwana ulikuwa pamoja nao, na watu wengi waliamini na kumgeukia Bwana.
22 Imola sivanave sikavafikile mu mbughulutu munyumba ija ku Yerusalemu: navakamwomwile u Barnaba alute mpaka kuvusililo uvwa Antiokia.
Habari zao zikafikia masikioni mwa kanisa la Yerusalem: na wakamtuma Barnaba aende mpaka Antiokia.
23 Ye isile nakukivona ikipelua ikya Nguluve alyahovwike; kange akavamemia ingufu munumbula save kujigha nu Mutua kumojo aghavanave.
Alipokuja na kuona karama ya Mungu alifurahi; na aliwatia moyo wote kubaki na Bwana katika mioyo yao.
24 Ulwakuva alyale munhu nofu kange amemesivue nu Mhepo Mwimike nu lwitiko ulwa vanhu vinga vakongelela mwa Mutwa.
Kwa sababu alikuwa mtu mwema na amejazwa na Roho Mtakatifu na imani na watu wengi wakaongezeka katika Bwana.
25 Pa uluo u Barnaba akalutile ku Tarso kukumwagha u Sauli.
Baadaye Barnaba alienda Tarso kumwona Sauli.
26 Ye amwaghile akantwala ku Antiokia. Lukale amaka ghoni valyakong'anile munyumba ja kufunyila nakuvavulanisia avanhu vinga. Navavulanesivua vakatambulivua vakilisite ulwa kwasia ukuo ku Antiokia.
Alipompata, akamleta Antiokia. Ikawa kwa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi wakaitwa wakristo kwa mara ya kwanza huko Antiokia.
27 Mufighono ifi avavili vakika kuhuma ku Yerusalemu umpaka ku Antiokia.
Na katika siku hizi manabii wakashuka kutoka Yerusalemu mpaka Antiokia.
28 Jumonga muvanave ghwe Agabo lyelitavua lya mwene, akiima akasonua nu Mhepo kuuti injala ng'ali jihumila mu iisi joni. Ulu lulyahumile munsiki ughwa fighono ifya Klaudio.
Mmoja wao ni Agabo ndilo jina lake, akasimama akiashiriwa na Roho kuwa njaa kali itatokea ulimwenguni mwote. Hii ilitokea wakati wa siku za Klaudio.
29 Lino, vavulanesivua, ndavule jumo juno apatile, valyalamwile kutwaala inangilo kuvanyalukolo vano valikuvu Yahudi.
Kwa hiyo, wanafunzi, kila mmoja alivyo fanikiwa, waliamua kupeleka misaada kwa ndugu walioko Uyahudi.
30 Valyavombile anala; Vakomola indalama muluvoko ulwa Barnaba nu Sauli.
Walifanya hivi; Walituma pesa kwa mkono wa Barnaba na Sauli.

< Imbombo 11 >