< Ayubu 41 >

1 Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
Vytáhneš-liž velryba udicí, aneb provazem pohříženým až k jazyku jeho?
2 Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
Zdali dáš kroužek na chřípě jeho, aneb hákem probodneš čelist jeho?
3 Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
Zdaž se obrátí k tobě s prosbami, aneb mluviti bude tobě lahodně?
4 Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
Učiní-liž smlouvu s tebou? Přijmeš-liž jej za služebníka věčného?
5 Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
Zdaž budeš s ním hráti jako s ptáčkem, aneb přivážeš jej dětem svým?
6 Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
Přistrojí-liž sobě hody z něho společníci, a rozdělí-liž jej mezi kupce?
7 Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
Zdaž naplníš háky kůži jeho, a vidlicemi rybářskými hlavu jeho?
8 Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
Vztáhni jen na něj ruku svou, a neučiníš zmínky o boji.
9 Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
Aj, naděje o polapení jeho mylná jest. Zdaž i k spatření jeho člověk nebývá poražen?
10 Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
Není žádného tak smělého, kdo by jej zbudil, kdož tedy postaví se přede mnou?
11 Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
Kdo mne čím předšel, abych se jemu odplacel? Cožkoli jest pode vším nebem, mé jest.
12 Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
Nebudu mlčeti o údech jeho, a o síle výborného sformování jeho.
13 Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
Kdo odkryl svrchek oděvu jeho? S dvojitými udidly svými kdo k němu přistoupí?
14 Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
Vrata úst jeho kdo otevře? Okolo zubů jeho jest hrůza.
15 Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
Šupiny jeho pevné jako štítové sevřené velmi tuze.
16 Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
Jedna druhé tak blízko jest, že ani vítr nevchází mezi ně.
17 Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
Jedna druhé se přídrží, a nedělí se.
18 Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
Od kýchání jeho zažžehá se světlo, a oči jeho jsou jako záře svitání.
19 Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
Z úst jeho jako pochodně vycházejí, a jiskry ohnivé vyskakují.
20 Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
Z chřípí jeho vychází dým, jako z kotla vroucího aneb hrnce.
21 Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
Dýchání jeho uhlí rozpaluje, a plamen z úst jeho vychází.
22 Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
V šíji jeho přebývá síla, a před ním utíká žalost.
23 Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
Kusové masa jeho drží se spolu; celistvé jest v něm, aniž se rozdrobuje.
24 Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
Srdce jeho tuhé jest jako kámen, tak tuhé, jako úlomek zpodního žernovu.
25 Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
Vyskýtání jeho bojí se nejsilnější, až se strachem i vyčišťují.
26 Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
Meč stihající jej neostojí, ani kopí, šíp neb i pancíř.
27 Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
Pokládá železo za plevy, ocel za dřevo shnilé.
28 Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
Nezahání ho střela, v stéblo obrací se jemu kamení prakové.
29 Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
Za stéblo počítá střelbu, a posmívá se šermování kopím.
30 Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
Pod ním ostré střepiny, stele sobě na věci špičaté jako na blátě.
31 Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
Působí, aby vřelo v hlubině jako v kotle, a kormoutilo se moře jako v moždíři.
32 Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
Za sebou patrnou činí stezku, až sezdá, že propast má šediny.
33 Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
Žádného není na zemi jemu podobného, aby tak učiněn byl bez strachu.
34 Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”
Cokoli vysokého jest, za nic pokládá, jest králem nade všemi šelmami.

< Ayubu 41 >