< Isaya 28 >

1 Ole kwa taji la kiburi ambalo huvaliwa na kila mlevi wa Efraimu, na ua linalofifia la utukufu wa uzuri wake, ua lililowekwa kichwani mwa bonde linalostawi na hao wanoshindwa na nvinyo!
Woe to the proud garland crown that is worn by each of the drunkards of Ephraim, and to the fading flower of its glorious beauty, the garland that is set on the head of the lush Valley of those who are overcome with wine!
2 Tazama Bwana anamtuma aliye hodari na nguvu; kama dhoruba ya mvua ya mawe na upepo mkali unaoharibu, na atatupa kila taji la ua chini kwenye aridhi.
Behold, the Lord sends one who is mighty and strong; like a storm of hail and a destructive windstorm, like a driving rain and overflowing waters; and he will throw each garland crown down to the ground.
3 Taji ya kiburi ya walevi wa Efraimu lililoko chini ya paa.
The proud garland of the drunkards of Ephraim will be trodden underfoot.
4 Ua lililofifia la utukufu wa uzuri wake, juu ya kichwa cha bonde la utajiri, itakuwa kama tunda lililoiva mtini kabla ya maji yake, kwamba, wakati mtu anapoliona tunda, wakati likiwa bado mikononi mwake, analigugumia chini.
The fading flower of his glorious beauty, that is on the head of the rich valley, will be as the first ripe fig before the summer, that, when someone sees it, while it is yet in his hand, he gulps it down.
5 Katika siku hiyo Yahwe wa majeshi atakuwa taji nzuri na taji ya uzuri kwa watu wake waliobakia,
In that day Yahweh of hosts will become a beautiful crown and a diadem of beauty for the remainder of his people,
6 roho ya haki kwa yeye aliyekaa katika hukumu, nguvu kwa wale waliobadilisha adui zao katika malango yao.
a spirit of justice for him who sits in judgment, and strength for those who turn back their enemies at their gates.
7 Lakini wale wanaoyumbayumba kwa ajili ya mvinyo, na wanojikongoja kwa ajili ya pombe kali. Kuhani na nabii watayumbayuma kwa ajili ya pombe kali, na watamezwa na mvinjo. Watajikongoja kwa ajili ya pombe kali, Kujikongoja katika maono na kuyumbayuma katika maamuzi.
But even these reel with wine, and stagger with strong drink. The priest and the prophet reel with strong drink, and they are swallowed up by wine. They stagger with strong drink, staggering in vision and reeling in decision.
8 Hakika, meza zote zimejaa matapishi. Hivyo basi hakuna sehemu iliyosafi.
Truly, all tables are covered with vomit, so that there is no clean place.
9 Ni nani atakaye tufundisha maarifa, na nani atayetuelezea ujumbe? Kwa walioachishwa maziwa au kwa wanonyonya?
To whom will he teach knowledge, and to whom will he explain the message? To those who are weaned from milk or to those just taken from the breasts?
10 Maana ni amri juu ya amri, utawala juu ya utawala; na hapa kidogo na pale kidogo.
For it is command upon command, command upon command; rule upon rule, rule upon rule; here a little, there a little.
11 Kweli, kwa mdomo wa dharau na lugha za kigeni atazungumza na watu wake.
Indeed, with mocking lips and a foreign tongue he will speak to this people.
12 Wakati uliopita aliwambia, '''Hawa ni wengine, wape punziko walio choka; maana huku ni kujifurahisha,'' lakini hawakusikiliza.
In the past he said to them “This is the rest, give rest to him who is weary; and this is the refreshing,” but they would not listen.
13 Hivyo basi neno la Yahwe litakuwa kwao amri juu ya amri, amri juu ya amri, utawala juu ya utawala; na kidogo hapa na kidogo pale, ili waende na kuanguka nyuma, na kuvunjwa, kutegwa, na kukamatwa.
So the word of Yahweh will be to them command upon command, command upon command; rule upon rule, rule upon rule; here a little, there a little; so that they may go and fall backward, and be broken, ensnared, and captured.
14 Hivyo basi sikiliza neno la Yahwe, yeyote afaanyae maskhara, wewe unaowaongoza watu hawa ambao wako Yerusalemu.
So listen to the word of Yahweh, you who mock, you who rule over this people who are in Jerusalem.
15 Hii itatokea kwa sababu umesema, '' Tumefannya magano na kifo; maana kuzimu wameyafikia makubaliano. Hivyo basi hukumu itakapopitishwa kwa wingi, haitatufika sisi, maana tumefanya maneno ya uongo kuwa kimbilio letu, na uongo kuwa makazi yetu. (Sheol h7585)
This will happen because you said, “We have made a covenant with death, and with Sheol we have reached an agreement. So when the overwhelming whip passes through, it will not reach us. For we have made a lie our refuge, and taken shelter in falsehood.” (Sheol h7585)
16 Hivyo basi Bwana Yahwe asema hivi, ''Ona: Nitaiwekea Sayuni msingi wa mawe, jiwe la kujaribu, jiwe la pembeni lenye samani, msingi wa uhakika. Na yeyote atayeuamini ataaibika kamwe.
Therefore the Lord Yahweh says, “See, I will lay in Zion a foundation stone, a tried stone, a precious cornerstone, a sure foundation. He who believes will not be ashamed.
17 Nitafanya haki kuwa fimbo ya usawa, na kuwa haki pima maji. Atasafishia mbali kimbilio la waongo, na mafuriko yatajaa balaa katika mahali pa siri.
I will make justice the measuring stick, and righteousness the plumbline. Hail will sweep away the refuge of lies, and the floodwaters will overwhelm the hiding place.
18 Agano lako na kifo litafutwa, na makubaliano yako na kuzimu hayatasimama. Pindi mafuriko makali yatapta, yatawazomba njie. (Sheol h7585)
Your covenant with death will be dissolved, and your agreement with Sheol will not stand. When the raging flood passes through, you will be overwhelmed by it. (Sheol h7585)
19 Maana pindi yatakopita, yatawazomba nyie yatapita asubuhi na asubuhi, na yatapita tena mchana na usiku utafika. Pale ujumbe utakapofika utasababisha hofu.
Whenever it passes through, it will overwhelm you, and morning by morning it will pass through and by day and night it will come. When the message is understood, it will cause terror.
20 Maana kitanda ni kifupi kwa mtu kunyoosha mkono wake nje, na blangeti ni jembamba kwa yeye kujizungushia ndani''
For the bed is too short for a man to stretch out on, and the blanket too narrow for him to wrap himself in.”
21 Yahwe atanyanyuka kama mlima Perazimu; Atawahimiza yeye mwenye kufanya kazi yake katika bonde la Gibeoni, kazi ya ajabu, na kufanya matendo ya ajabu.
Yahweh will rise up as on Mount Perazim; he will rouse himself as in the Valley of Gibeon to do his work, his strange work, and perform his strange deed.
22 Hivyo sasa msifanye maskhara, dhamana yako itakazwa, Nimesikia kutoka kwa Bwana, Yahwe wa majeshi, amri ya kuiharibu nchi.
Now therefore do not mock, or your bonds will be tightened. I have heard from the Lord Yahweh of hosts, a decree of destruction on the earth.
23 Kuwa tayari na sikiliza saut yangu; kuwa makini na sikiliza maneno yangu.
Pay attention and listen to my voice; be attentive and listen to my words.
24 Je mkulima anayelima siku zote kwa ajili ya kupanda, analima tu kwenye aridhi? Je anaendelea kulima shamba lake pasipo kupanda?
Does a farmer who plows all day to sow, only plow the ground? Does he continually break up and harrow the field?
25 Pindi anapolindaa shamba lake, Je hatawanji jira ya mbegu, anapanda jira, anaweka ngano katika mstari, shairi katika mahali pake, na yameandikw sehemu mbili?
When he has prepared the ground, does he not scatter caraway seed, sow the cumin, put in the wheat in rows and the barley in the right place, and the spelt at its edges?
26 Mungu wake amemuelekeza; anamfuundisha yeye kwa busara.
His God instructs him; he teaches him wisely.
27 Zaidi ya hayo, jira zile hazipuruliwi kwa chombo kikali; wala gurudumu la kukatia linalozunguka juu ya jira; lakini jira linapigwa kwa fimbo, na jira kwa fimbo.
Moreover, the caraway seed is not threshed with a sledge, nor is a cartwheel rolled over the cumin; but caraway is beaten with a stick, and cumin with a rod.
28 Nafaka ni mwanzo mkate lakini ni laini sana, japo gurudumu la gari lake na farasi wamezitawanya, na farasi wake hawajaiponda ponda.
Grain is ground for bread but not too finely, and though the wheels of his cart and his horses scatter it, his horses do not crush it.
29 Haya yanatoka kwa Yahwe wa majeshi, yeye aliye mshauri wa ajabu na na mwenye ubara wa hekima.
This too comes from Yahweh of hosts, who is wonderful in instruction and excellent in wisdom.

< Isaya 28 >