< Wimbo wa Sulemani 1 >

1 Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
The Song of Songs, which is Solomon's.
2 O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
Oh, that he would kiss me with the kisses of his mouth, The woman speaking to the man for your love is better than wine.
3 Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
Your anointing oils have a delightful fragrance; your name is like flowing perfume, so the young women love you.
4 Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
Take me with you, and we will run. The woman speaking to herself The king has brought me into his rooms. The woman speaking to the man We are glad; We rejoice about you; let us celebrate your love; it is better than wine. It is natural for the other women to adore you.
5 Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
I am dark but lovely, you daughters of Jerusalem— dark like the tents of Kedar, lovely like the curtains of Solomon.
6 Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
Do not stare at me because I am dark, because the sun has scorched me. My mother's sons were angry with me; they made me keeper of the vineyards, but my own vineyard I have not kept.
7 Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
Tell me, you whom my soul loves, where do you feed your flock? Where do you rest your flock at noontime? Why should I be like someone who wanders beside the flocks of your companions?
8 Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
If you do not know, most beautiful among women, follow the tracks of my flock, and pasture your young goats near the shepherds' tents.
9 Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
I compare you, my love, to a mare among Pharaoh's chariot horses.
10 Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
Your cheeks are beautiful with ornaments, your neck with strings of jewels.
11 Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
We will make for you gold ornaments with silver studs.
12 Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
While the king lay on his couch, my nard emitted its fragrance.
13 Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
My beloved is to me like a bag of myrrh that spends the night lying between my breasts.
14 Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
My beloved is to me like a cluster of henna flowers in the vineyards of En Gedi.
15 Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
Listen, you are beautiful, my love; listen, you are beautiful; your eyes are doves.
16 Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
Listen, you are handsome, my beloved, how handsome. The lush plants are our bed.
17 Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.
The beams of our house are cedars; our rafters are firs.

< Wimbo wa Sulemani 1 >