< Luka 24 >

1 Mnamo siku ya kwanza ya juma, alfajiri na mapema, wale wanawake walichukua yale manukato waliyokuwa wameyaandaa, wakaenda kaburini.
A NIN tapin wik, nin joran kaualap re pwara don joujou o, wado potik kai me re kaonopadar;
2 Wakakuta lile jiwe limevingirishwa kutoka kwenye kaburi,
Irail ari diaradar, me takai o kadapura jan joujou o,
3 lakini walipoingia ndani, hawakuuona mwili wa Bwana Yesu.
O irail lao pedelon on lole, ap jota diarada kalep en Kaun Iejuj.
4 Walipokuwa wanashangaa juu ya jambo hili, ghafula watu wawili waliokuwa wamevaa mavazi yanayongʼaa kama umeme wakasimama karibu nao.
Kadekadeo irail lao injenjued kidar, kilan, ol riamen, me likau kida likau linan, ap pwara don irail.
5 Wale wanawake, wakiwa na hofu, wakainamisha nyuso zao mpaka chini. Lakini wale watu wakawaambia, “Kwa nini mnamtafuta aliye hai miongoni mwa wafu?
Irail lao majapwekadar o ikiokidi nan pwel, ira ap majani on irail: Da me komail raparapaki me maur amen ren me melar akan?
6 Hayuko hapa; amefufuka! Kumbukeni alivyowaambia alipokuwa bado yuko pamoja nanyi huko Galilaya kwamba:
A joer kotikot met, a iajadar. Tamanda, me a kotin majani on komail ni a kotikoteta Kalilaa,
7 ‘Ilikuwa lazima Mwana wa Adamu atiwe mikononi mwa watu wenye dhambi na waovu ili asulubiwe, na siku ya tatu afufuke.’”
Mamajani: Nain aramaj pan panalan ni pa en me dipan akan, o lopuela, o ni ran kajilu a pan iajada.
8 Ndipo wakayakumbuka maneno ya Yesu.
Ir ari tamanda a majan akan.
9 Waliporudi kutoka huko kaburini, wakawaeleza wale wanafunzi kumi na mmoja pamoja na wengine wote mambo haya yote.
O purodo jan nin joujou o, ap kaireki mepukat on ekamen ko o on me tei kan karoj.
10 Basi Maria Magdalene, Yoana, na Maria mama yake Yakobo, pamoja na wanawake wengine waliofuatana nao ndio waliwaelezea mitume habari hizi.
Maria men Makdala, o Ioana, o Maria in en Iokopuj, o me tei ko me ian irail, me kaireki mepukat on wanporon akan.
11 Lakini hawakuwasadiki hao wanawake, kwa sababu maneno yao yalionekana kama upuzi.
A arail kajoi likamata kajoi likam pot re’rail, ap jota kamelele.
12 Hata hivyo, Petro akainuka na kukimbia kwenda kule kaburini. Alipoinama kuchungulia, akaona vile vitambaa vya kitani, ila hakuona kitu kingine. Naye akaenda zake akijiuliza nini kilichotokea.
Petruj ap uda tanalan joujou o, rukedi on lole, ap diarada, me likau linen akan ta wonon waja kij, ap purodo jan o puriamui kida me wiauier.
13 Ikawa siku iyo hiyo, wanafunzi wawili wa Yesu walikuwa njiani wakienda kijiji kilichoitwa Emau, yapata maili saba kutoka Yerusalemu.
A kilan ni ran ota riamen re’rail momaitelan kijin kanim eu ad a Emaulj; a doo jan lerujalem mail wonu de iju.
14 Walikuwa wakizungumza wao kwa wao kuhusu mambo yote yaliyotukia.
Ira ari kajokajoi penaer duen mepukat karoj.
15 Walipokuwa wakizungumza na kujadiliana, Yesu mwenyewe akaja akatembea pamoja nao,
Kadekadeo ni ara kajokajoi o idedok pena, pein Iejuj ap kotin pwara don ira o ian ira kotila.
16 lakini macho yao yakazuiliwa ili wasimtambue.
A maj ara me atiat, pwe re de aja i.
17 Akawauliza, “Ni mambo gani haya mnayozungumza wakati mnatembea?” Wakasimama, nyuso zao zikionyesha huzuni.
I ari kotin majani on ira: Da me koma kajokajoi pena ni oma alialu, o da me koma injenjued kila?
18 Mmoja wao, aliyeitwa Kleopa, akamuuliza, “Je, wewe ndiye peke yako mgeni huku Yerusalemu ambaye hufahamu mambo yaliyotukia humo siku hizi?”
Amen ira, me ad a Kleopaj, ap japen indan i: Koe men wai ta men nan lerujalem, me jaja, me wiauier waja o ni ran pukat?
19 Akawauliza, “Mambo gani?” Wakamjibu, “Mambo ya Yesu wa Nazareti. Yeye alikuwa nabii, mwenye uwezo mkuu katika maneno yake na matendo yake, mbele za Mungu na mbele ya wanadamu wote.
A kotin majani on ira: Pwe dakot? Ira ap indan i: Duen Iejuj en Najaret, me jaukop manaman amen ni a wiawia o majan akan mon Kot o aramaj karoj.
20 Viongozi wa makuhani na viongozi wetu walimtoa ahukumiwe kufa, nao wakamsulubisha.
O duen jamero lapalap o atail jaumaj akan ar panala i pwen pakadeikada on matala o kalopuela i.
21 Lakini tulikuwa tumetegemea kwamba yeye ndiye angelikomboa Israeli. Zaidi ya hayo, leo ni siku ya tatu tangu mambo haya yatokee.
A je kiki on, me a pan kotin kamaioda wein Ijrael. Ari ran wet pon jili pon murin mepukat wiauier.
22 Isitoshe, baadhi ya wanawake katika kundi letu wametushtusha. Walikwenda kaburini leo alfajiri,
O pil kij at li akai kamajak kin kit ar pwaralan joujou o jankonai.
23 lakini hawakuukuta mwili wake. Walirudi wakasema wameona maono ya malaika ambao waliwaambia kwamba Yesu yu hai.
Ni ar jota diar kalep a, rap puredo indada, me re diaradar janjal en tounlan kai, me katitiki, me a iajadar,
24 Kisha baadhi ya wenzetu walikwenda kaburini wakalikuta kama vile wale wanawake walivyokuwa wamesema, lakini yeye hawakumwona.”
O kij at kai kolan joujou o, ap diaradar, duen li oko kajoka joida, a i me re jota diarada.
25 Yesu akawaambia, “Ninyi ni wajinga kiasi gani, nanyi ni wazito mioyoni mwenu kuamini mambo yote yaliyonenwa na manabii!
A kotin majani on ira: O koma meid lolepon o pwand nan monion omail, en kamelele meakan, me jaukop akan kopadar.
26 Je, haikumpasa Kristokuteswa kwa njia hiyo na kisha aingie katika utukufu wake?”
Kaidin i, me udan Krijtuj en kalokolok ap kodalan a linan?
27 Naye akianzia na Sheria ya Mose na Manabii wote, akawafafanulia jinsi Maandiko yalivyosema kumhusu yeye.
A ap kotin kawewe on ira kijin likau kan duen pein i, tapiada ni Mojej kokodo lel jaukop akan.
28 Nao walipokaribia kile kijiji walichokuwa wakienda, Yesu akawa kama anaendelea mbele.
Irail ap koren ion kanim, me irail koko on. I ari kajonejon ira, dene a pan kotin daulul.
29 Lakini wao wakamsihi sana akae nao, wakisema, “Kaa hapa nasi, kwa maana sasa ni jioni na usiku unaingia.” Basi akaingia ndani kukaa nao.
Ira ap nidinidiki i potoan on: Kom kotikoteta re at, pwe a pan waja ponier o ran wet koren ion imwijokela. A ap kotilon on nan im o, pwen mimieta re ra.
30 Alipokuwa mezani pamoja nao, akachukua mkate, akashukuru, akaumega, akaanza kuwagawia.
Kadekadeo ni a kotin ian ira ni tepel o, a kotin limada prot, laolaoki, a lao pilitiki pena, a kotiki on ira.
31 Ndipo macho yao yakafumbuliwa, nao wakamtambua, naye akatoweka machoni pao. Hawakumwona tena.
Maj ara ap pad pajaner, ira ap aja i. A ap kotin joredi jan mo’ra.
32 Wakaulizana wao kwa wao, “Je, mioyo yetu haikuwakawaka kwa furaha ndani yetu alipokuwa anazungumza nasi njiani na kutufafanulia Maandiko?”
Ira ap inda nan pun ara: Monion ata jota mokimokid ni a kotin mamajani on kita pon al o, ni a kotin kawewe on kita kijin likau kan?
33 Wakaondoka mara, wakarudi Yerusalemu. Wakawakuta wale wanafunzi kumi na mmoja na wale waliokuwa pamoja nao, wamekusanyika
Ira ari uda ni auer ota o purelan lerujalem, o diarada ekamen ko, o me ian ir, kot pena waja takij,
34 wakisema, “Ni kweli! Bwana amefufuka, naye amemtokea Simoni.”
Katitiki: Nan melel Kauno kotin iajadar o pwara don Jimon,
35 Kisha wale wanafunzi wawili wakaeleza yaliyotukia njiani na jinsi walivyomtambua Yesu alipoumega mkate.
Ira ap kajokajoi, me wiauier nani al o, o duen ara ajaki i a pilitiki pajan prot.
36 Walipokuwa bado wanazungumza hayo, Yesu mwenyewe akasimama katikati yao, akasema, “Amani iwe nanyi!”
A ni ar majan pena mepukat, pein Iejuj ap kotin pwara don nan pun arail majani on ir: Komail popol!
37 Wakashtuka na kuogopa wakidhani kwamba wameona mzuka.
Irail ari majapwekadar o wapondar, o re kiki on, me ani men, me re udial.
38 Lakini Yesu akawauliza, “Kwa nini mnaogopa? Kwa nini mna shaka mioyoni mwenu?
A kotin majani on irail: Da me komail majak ki? O menda lamelam pukat mi nan monion omail?
39 Tazameni mikono yangu na miguu yangu, mwone kuwa ni mimi hasa. Niguseni mwone; kwa maana mzuka hauna nyama na mifupa, kama mnionavyo kuwa navyo.”
Komail kilan pa i kat o nai kat, pwe pein nai ta. Doke ia o kilan, pwe ani jota kin uduk o ti, duen omail kilan ia.
40 Aliposema haya, akawaonyesha mikono na miguu yake.
A lao majani mepukat, ap kajale on irail lim a o aluwilu a kan.
41 Wakashindwa kuamini kwa ajili ya furaha na mshangao waliokuwa nao. Akawauliza, “Mna chakula chochote hapa?”
A ni ar jota non kamelele pweki ar peren o puriamuiki, ap kotin majani on irail: Jota kan omail met?
42 Wakampa kipande cha samaki aliyeokwa,
Rap ki on i kijan mam inin o onik.
43 naye akakichukua na kukila mbele yao.
I ari konot mo’rail.
44 Akawaambia, “Haya ndiyo yale niliyowaambia nilipokuwa bado niko pamoja nanyi, kwamba yote yaliyoandikwa kunihusu mimi katika Sheria ya Mose, Manabii na Zaburi hayana budi kutimizwa.”
A kotin majani on irail: I majan akan, me I ki on komail er, ni ai mimieta re omail, pwe karoj en pwaida, me intinidier duen nai nan kapun en Mojej, o jaukop akan, o pjalm akan.
45 Ndipo akafungua fahamu zao ili waweze kuyaelewa Maandiko.
I ap kotin kalolikoni irail, pwe ren dedeki kijin likau kai.
46 Akawaambia, “Haya ndiyo yaliyoandikwa: Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka kwa wafu.
O kotin majani on irail Iduen a intinidier, o iduen udan kalokolok en Krijtuj, ap maureda jan ren me melar akan ni ran kajilu,
47 Toba na msamaha wa dhambi zitatangaziwa mataifa yote kupitia jina lake kuanzia Yerusalemu.
O padapadaki on wei karoj ni mar a, ren kalula, pwe dip akan en lapwada, a pan tapida nan Ierujalem.
48 Ninyi ni mashahidi wa mambo haya.
A komail me jaunkadede en mepukat.
49 “Tazama nitawatumia ahadi ya Baba yangu; lakini kaeni humu mjini hadi mtakapovikwa uwezo utokao juu.”
A kilan, I pan kadara don komail, me Jam ai inaukidar. A komail pan mimieta nan kanim o, komail lao audaudekier manaman jan poa.
50 Akiisha kuwaongoza mpaka kwenye viunga vya Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.
A kotin kalua ir alan Petanien, kotikida lim a, kapai irail ada.
51 Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.
Kadekadeo ni a kotin kapal ir ada, a kotiwei jan irail, kotidala nanlan.
52 Kisha wakamwabudu na kurudi Yerusalemu wakiwa wamejawa na furaha kuu.
Irail ari kaudok on i, ap pure don Ierujalem perenda kaualap;
53 Nao wakadumu ndani ya Hekalu wakimtukuza Mungu. Amen.
O re potopot nan im en kaudok kapina o kaudok on Kot.

< Luka 24 >