< Yohana 1 >

1 Hapo mwanzo alikuwako Neno, huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
MAJAN kotier ni tapi o, a majan kotier ren Kot, a majan me udan Kot.
2 Tangu mwanzo huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu.
I me kotikot ren Kot ni tapi o.
3 Vitu vyote viliumbwa kwa yeye, wala pasipo yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho kimeumbwa.
I me dipijou karoj tapi kidar, o jota man meakot mia, me kaidin i kotin wiadar
4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima na huo uzima ulikuwa nuru ya watu.
Maur mi re a; o iei maur o marain en aramaj.
5 Nuru hungʼaa gizani nalo giza halikuishinda.
A marain o me dakarada rotorot, a rotorot jota linan kila.
6 Alikuja mtu mmoja aliyetumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.
Aramaj amen me pakadarador jan ren Kot ad a loanej!
7 Alikuja kama shahidi apate kuishuhudia hiyo nuru, ili kwa kupitia kwake watu wote waweze kuamini.
I me pwara don kadede, pwen kadede marain o pwe karoj en pojon pweki i.
8 Yeye mwenyewe hakuwa ile nuru, bali alikuja kuishuhudia hiyo nuru.
Kaidin i me marain o, a a kin kadede marain o.
9 Kwamba nuru halisi, imwangaziayo kila mtu ilikuwa inakuja ulimwenguni.
Iei marain melel, me pwara don jappa, ap kamaraini aramaj karoj.
10 Huyo Neno alikuwako ulimwenguni na ingawa ulimwengu uliumbwa kupitia kwake, haukumtambua.
I me kotier jappa, o i me jappa tapi kidar, a jappa jaja i.
11 Alikuja kwa walio wake, lakini wao hawakumpokea.
A koti don udan japwilim a, a japwilim a kan me jan i.
12 Bali wote waliompokea, aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake.
Karoj, me kajamo i, a kotiki on ir manaman, en wiala jeri en Kot, ir, me pojon mar a,
13 Hawa ndio wasiozaliwa kwa damu, wala kwa mapenzi ya mwili au kwa mapenzi ya mtu, bali kwa mapenzi ya Mungu.
Me kaidin ipwidi jan nta, de inon en uduk, de inon en ol o, pwe ipwidier jan ren Kot.
14 Neno alifanyika mwili, akakaa miongoni mwetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli.
Majan me wia uduk ala okotikot re atail, o kitail kilaner a linan, linan dueta linan en leroj eu jan ren Jam o, me dir en mak melel.
15 Yohana alishuhudia habari zake, akapaza sauti, akisema, “Huyu ndiye yule niliyewaambia kwamba, ‘Yeye ajaye baada yangu ni mkuu kuniliko mimi, kwa kuwa alikuwepo kabla yangu.’”
loanej me kadede i nil laudeda indada: lei i, me i padaki wei: Me pan kotido mur i, iei me mier mo i, pwe a kotikotier mo i.
16 Kutokana na ukamilifu wake, sisi sote tumepokea neema juu ya neema.
Pwe kitail karoj ale jan nan audepa a mak japan potopot.
17 Kwa kuwa sheria ilitolewa kwa mkono wa Mose, lakini neema na kweli imekuja kupitia Yesu Kristo.
Pwe kapun me kokido jan Mojej, a mak o melel jan Iejuj Krijtuj.
18 Hakuna mtu yeyote aliyemwona Mungu wakati wowote, ila ni Mungu Mwana pekee, aliye kifuani mwa Baba ndiye ambaye amemdhihirisha.
Jota me kilaner Kot kokodo, o ieroj ta, me kin kotikot pan kupur en Jam o, i me kotin kajaledar i.
19 Huu ndio ushuhuda wa Yohana wakati Wayahudi walipowatuma makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu kumuuliza, “Wewe ni nani?”
A met en Ioanej a kadede, ni men Juj kadarala jan Ierujalem jamero o lepit oko, pwen idok re a: Ij koe
20 Yohana alikiri waziwazi pasipo kuficha akasema, “Mimi si Kristo.”
I ari kotin kadede; a jota likam; a kotin kadede: Kaidin Krijtuj nai.
21 Wakamuuliza, “Wewe ni nani basi? Je, wewe ni Eliya?” Yeye akajibu, “Hapana, mimi siye.” “Je, wewe ni yule Nabii?” Akajibu, “Hapana.”
Irail idok re a: A ij? Eliaj komui? A majani: Kaidin nai i. Komui jaukop o? A japen: Kaidin.
22 Ndipo wakasema, “Basi tuambie wewe ni nani ili tupate jibu la kuwapelekea wale waliotutuma. Wewe wasemaje juu yako mwenyewe?”
Irail ap indan i: A ij komui? Pwe jen japen irail me kadar kit dor. Da me komui kadedeki pein komui?
23 Akawajibu kwa maneno ya nabii Isaya, akisema, “Mimi ni sauti ya mtu aliaye nyikani, ‘Yanyoosheni mapito ya Bwana.’”
A majani: Nai nil eu, me likelikwir jili nan jap tan: Kaineneda al en Kaun o, duen jaukop Iejaia majanier!
24 Basi walikuwa wametumwa watu kutoka kwa Mafarisayo
A irail pakadaradoer jan ren Parijar akan.
25 wakamuuliza, “Kama wewe si Kristo, wala si Eliya na wala si yule Nabii, kwa nini basi unabatiza?”
Irail ap idok re a indada: Da me komui wia paptaijiki, ma komui kaidin Krijtuj, o kaidin Eliaj, o pil kaidin jaukop o?
26 Yohana akawajibu, “Mimi ninabatiza kwa maji, lakini katikati yenu yupo mtu msiyemjua.
Ioanej japen irail majani: Nai me paptaijiki pil, a amen kin kotikot nan pun omail, me komail jaja.
27 Yeye ajaye baada yangu, sistahili hata kufungua kamba za viatu vyake.”
lei i me kotido mur i, me nai jowar on, en lapwada jal en japwilim a jut.
28 Mambo haya yote yalitukia huko Bethania, ngʼambo ya Mto Yordani, mahali Yohana alipokuwa akibatiza.
Mepukat wiauier Petapara palilan Iordan, waja Ioanej kin wia paptaij ia.
29 Siku iliyofuata, Yohana alimwona Yesu akimjia akasema, “Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu aichukuaye dhambi ya ulimwengu!
Mandan ran o a majani Iejuj a koti don i ap majani: Kilan Jippul en Kot, me kin wawei dip en jappa!
30 Huyu ndiye yule niliyewaambia kwamba, ‘Mtu anakuja baada yangu ambaye ni mkuu kuniliko mimi, kwa kuwa alikuwepo kabla yangu.’
lei i, me i padaki wei: ol amen pan kotido mur i iei, me mier mo i, pwe a kotikotier mo i.
31 Mimi mwenyewe sikumfahamu, lakini sababu ya kuja nikibatiza kwa maji ni ili yeye apate kufunuliwa kwa Israeli.”
A nai jo aja i, a pwe i en janjal don Ijrael, iei me i kokido paptaijiki pil.
32 Kisha Yohana akatoa ushuhuda huu: “Nilimwona Roho akishuka kutoka mbinguni kama hua, akakaa juu yake.
A Ioanej kadede majani: I kilaner Nen o kotidido jan nanlan ni mom en muroi kotikot re a.
33 Mimi nisingemtambua, lakini yeye aliyenituma nibatize kwa maji alikuwa ameniambia, ‘Yule mtu utakayemwona Roho akimshukia na kukaa juu yake, huyo ndiye atakayebatiza kwa Roho Mtakatifu.’
A nai jo aja i, a me porone ia don wia paptaijiki pil, iei me kotin majani on ia: Me koe pan kilan. Nen piridi jok poa, o kotikoteta re a, iei i, me kin wia paptaijiki Nen jaraui.
34 Mimi mwenyewe nimeona jambo hili na ninashuhudia kuwa huyu ndiye Mwana wa Mungu.”
A i kilanadar ap kadedeki, me iei Japwilim en Kot.
35 Siku iliyofuata, Yohana alikuwa huko tena pamoja na wanafunzi wake wawili.
Mandan ran o Ioanej pil kotida waja o, o na tounpadak riamen ian i.
36 Alipomwona Yesu akipita, akasema, “Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu!”
A ni a udial Iejuj kotikot kokodo, ap majani: Kilan Jippul en Kot!
37 Wale wanafunzi wawili walipomsikia Yohana akisema haya, wakamfuata Yesu.
A tounpadak riamen ronadar a majan, ap idauen wei Iejuj.
38 Yesu akageuka, akawaona wakimfuata akawauliza, “Mnataka nini?” Wakamwambia, “Rabi,” (maana yake Mwalimu), “Unaishi wapi?”
Iejuj ap kotin jaupeido majani ara idedauen, ap kotin majani on ira: Da me koma rapaki? Ira potoan on: Rapi (iet wewe: Jaunpadak), ia waja re kin kotikot ia?
39 Yesu akawajibu, “Njooni, nanyi mtapaona!” Hivyo wakaenda na kupaona mahali alipokuwa anaishi, wakakaa naye siku ile, kwa kuwa ilikuwa yapata saa kumi.
A kotin majani on ira: Kodo kilan! Ira ap poto don kilaner waja, me a kotikot ia, ap mimieta re a ni ran o. Mepukat wiauier impan auer kaeijok.
40 Andrea nduguye Simoni Petro, alikuwa mmoja wa wale wawili waliosikia yale Yohana aliyokuwa amesema, naye ndiye alimfuata Yesu.
Andreaj, ri en Jimon Petruj amen re ra, me ronadar jan ren Ioanej ap idedauen i.
41 Kitu cha kwanza Andrea alichofanya ni kumtafuta Simoni nduguye na kumwambia, “Tumemwona Masiya” (yaani, Kristo).
I me diaradar maj udan ri a Jimon, indai on i: Je diaradar Mejiaj (iet wewe: Krijtuj).
42 Naye akamleta kwa Yesu. Yesu akamwangalia na kusema, “Wewe ni Simoni mwana wa Yohana. Utaitwa Kefa” (ambalo limetafsiriwa Petro).
I ap kalualan i ren Iejuj. A Iejuj lao majani i, ap majani: Jimon, koe nain Iona, koe nok adaneki Kepaj (iet wewe: Paip).
43 Siku iliyofuata Yesu aliamua kwenda Galilaya. Akamkuta Filipo, akamwambia, “Nifuate.”
Mandan ran o a pan kotilan Kalilaa, Iejuj ap kotin diaradar Pilipuj, majani on i: Idauen ia do!
44 Basi Filipo alikuwa mwenyeji wa Bethsaida, mji alikotoka Andrea na Petro.
Pilipuj men Petjaida, kanim en Andreaj o Petruj.
45 Filipo naye akamkuta Nathanaeli na kumwambia, “Tumemwona yeye ambaye Mose aliandika habari zake katika Sheria na ambaye pia manabii waliandika kumhusu, yaani, Yesu wa Nazareti, mwana wa Yosefu.”
Pilipuj diaradar Natanael, ap indan i: Je diaradar i, duen me Mojej intiniedier nan puk en kapun o jaukop akan: Iejuj men Najaret, japwilim en Iojep.
46 Nathanaeli akauliza, “Nazareti! Je, kitu chochote chema chaweza kutoka Nazareti?” Filipo akamwambia, “Njoo uone.”
A Natanael indai on i: Pala maukot pan kak pwarada jan Najaret? Pilipuj indan i: Kodo kilan!
47 Yesu alipomwona Nathanaeli anakaribia, akanena habari zake akasema, “Tazama huyu ni Mwisraeli kweli kweli; hana hila ndani yake.”
Iejuj kotin majani Natanael koko don i, ap majani duen i: Kilan, ol melel en Ijrael amen, me jota kin widin.
48 Nathanaeli akamuuliza, “Umenifahamuje?” Yesu akamjibu, “Nilikuona ulipokuwa bado uko chini ya mtini, kabla hata Filipo hajakuita.”
Natanael potoan on i: Re kotin mani ia jan ia? Iejuj kotin japen majani on i: Mon Pilipuj a eker uk edo, ni om mod pan tuka pik o, I kilan uk ada.
49 Nathanaeli akamwambia, “Rabi, wewe ni Mwana wa Mungu! Wewe ni Mfalme wa Israeli!”
Natanael japen potoan on i: Rapi, ir me Japwilim en Kot, ir me Nanmarki en Ijrael.
50 Yesu akamwambia, “Unaamini kwa kuwa nilikuambia nilikuona ulipokuwa bado uko chini ya mtini? Basi utaona mambo makuu zaidi kuliko hilo.”
Iejuj kotin japen majani on i: Pweki I indai on uk, me I kilan uk ada pan tuka pik o, iei me koe pojonki, a koe nok kilan me lapa jan mepukat.
51 Ndipo akawaambia, “Amin, amin nawaambia, ninyi mtaona mbingu ikifunguka na malaika wa Mungu wakipanda na kushuka juu ya Mwana wa Adamu.”
A kotin majani on i: Melel, melel I indai on komail, jan met komail pan kilan nanlan a ritida o tounlan en Kot akan dauda o daudi pwarado ren Nain aramaj.

< Yohana 1 >