< Yeremia 45 >

1 Hili ndilo nabii Yeremia alilomwambia Baruku mwana wa Neria katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, baada ya Baruku kuandika katika kitabu maneno ambayo yalitoka kinywani mwa Yeremia wakati ule:
La parole que Jérémie le Prophète dit à Baruc fils de Nérija, quand il écrivait dans un livre ces paroles-là, de la bouche de Jérémie, en la quatrième année de Jéhojakim fils de Josias Roi de Juda, disant:
2 “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe Baruku:
Ainsi a dit l'Eternel, le Dieu d'Israël, touchant toi, Baruc.
3 Ulisema, ‘Ole wangu! Bwana ameongeza huzuni juu ya maumivu yangu, nimechoka kwa kulia kwa uchungu wala sipati pumziko.’”
Tu as dit: malheur à moi! car l'Eternel a ajouté la tristesse à ma douleur; je me suis lassé dans mon gémissement, et je n'ai point trouvé de repos.
4 Bwana akasema, “Mwambie hivi: ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Nitakibomoa kile nilichokijenga, na kungʼoa kile nilichokipanda katika nchi yote.
Tu lui diras ainsi: ainsi a dit l'Eternel: voici, je m'en vais détruire ce que j'ai bâti, et arracher ce que j'ai planté, [savoir] tout ce pays-ci.
5 Je, utajitafutia mambo makubwa kwa ajili yako mwenyewe? Usiyatafute hayo. Kwa kuwa nitaleta maangamizi juu ya watu wote, asema Bwana, lakini popote utakapokwenda, nitayaokoa maisha yako.’”
Et toi te chercherais-tu des grandeurs? Ne les cherche point; car voici, je m'en vais faire venir du mal sur toute chair, dit l'Eternel; mais je te donnerai ta vie pour butin, dans tous les lieux où tu iras.

< Yeremia 45 >