< Yeremia 37 >

1 Sedekia mwana wa Yosia akafanywa kuwa mfalme wa Yuda na Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye akatawala mahali pa Yehoyakini mwana wa Yehoyakimu.
Sédécias, fils de Josias, régna à la place de Chonia, fils de Jéhojakim, et fut établi roi sur le pays de Juda, par Nébucadnetsar, roi de Babylone.
2 Lakini sio Sedekia, wala watumishi wake, wala watu wa nchi walisikiliza maneno ya Bwana aliyonena kupitia kwa nabii Yeremia.
Mais ni lui, ni ses serviteurs, ni le peuple du pays n'écoutèrent les paroles que l'Éternel avait prononcées par Jérémie, le prophète.
3 Hata hivyo, Mfalme Sedekia akamtuma Yehukali mwana wa Shelemia, pamoja na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwa nabii Yeremia na ujumbe huu: “Tafadhali utuombee kwa Bwana, Mungu wetu.”
Toutefois le roi Sédécias envoya Jéhucal, fils de Shélémia, et Sophonie, fils de Maaséja, le sacrificateur, vers Jérémie, le prophète, pour lui dire: Intercède pour nous auprès de l'Éternel, notre Dieu.
4 Wakati huu Yeremia alikuwa huru kuingia na kutoka katikati ya watu, kwa sababu alikuwa bado hajatiwa gerezani.
Or Jérémie allait et venait parmi le peuple, et on ne l'avait pas encore mis en prison.
5 Jeshi la Farao lilikuwa limetoka Misri, nao Wakaldayo waliokuwa wameuzunguka Yerusalemu kwa majeshi waliposikia taarifa kuhusu jeshi hilo walijiondoa Yerusalemu.
L'armée de Pharaon était sortie d'Égypte, et les Caldéens qui assiégeaient Jérusalem, ayant appris cette nouvelle, s'étaient éloignés de Jérusalem.
6 Ndipo neno la Bwana likamjia nabii Yeremia kusema:
Alors la parole de l'Éternel fut adressée à Jérémie, le prophète, en ces mots:
7 “Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: Mwambie mfalme wa Yuda aliyekutuma uniulize mimi, ‘Jeshi la Farao lililotoka kuja kukusaidia litarudi katika nchi yake yenyewe, yaani Misri.
Ainsi a dit l'Éternel, le Dieu d'Israël: Vous direz ainsi au roi de Juda, qui vous a envoyés vers moi pour me consulter: Voici, l'armée de Pharaon, qui est sortie à votre secours, va retourner chez elle, en Égypte.
8 Kisha Wakaldayo watarudi na kushambulia mji huu, watauteka na kuuchoma moto.’
Et les Caldéens reviendront assiéger cette ville, et la prendront, et la brûleront par le feu.
9 “Hili ndilo Bwana asemalo: Msijidanganye wenyewe mkifikiri, ‘Hakika Wakaldayo watatuacha na kwenda zao.’ Hakika hawatawaacha!
Ainsi a dit l'Éternel: Ne vous abusez point vous-mêmes, en disant: “Les Caldéens s'en iront loin de nous; “car ils ne s'en iront point.
10 Hata kama mngelishinda jeshi lote la Wakaldayo linalowashambulia ninyi, na wakawa ni watu waliojeruhiwa tu waliobaki kwenye mahema yao, wangetoka na kuuchoma mji huu moto.”
Et même quand vous auriez défait toute l'armée des Caldéens qui combattent contre vous, et quand il n'en resterait que des blessés, ils se relèveraient chacun dans sa tente, et brûleraient cette ville par le feu.
11 Baada ya jeshi la Wakaldayo kujiondoa kutoka Yerusalemu kwa sababu ya jeshi la Farao,
Or, quand l'armée des Caldéens se fut retirée de devant Jérusalem, à cause de l'armée de Pharaon,
12 Yeremia akaanza kuondoka mjini ili kwenda nchi ya Benyamini ili akapate sehemu yake ya milki miongoni mwa watu huko.
Il arriva que Jérémie sortit pour s'en aller de Jérusalem au pays de Benjamin, en se glissant de là parmi le peuple.
13 Lakini alipofika kwenye Lango la Benyamini, mkuu wa walinzi, ambaye jina lake lilikuwa Iriya mwana wa Shelemia mwana wa Hanania, akamkamata Yeremia na kusema, “Wewe unakwenda kujiunga na Wakaldayo!”
Mais lorsqu'il fut à la porte de Benjamin, il se trouva là un capitaine de la garde, nommé Jiréija, fils de Shélémia, fils de Hanania, qui saisit Jérémie, le prophète, en disant: Tu passes aux Caldéens!
14 Yeremia akasema, “Hiyo si kweli, mimi sijiungi na Wakaldayo.” Lakini Iriya hakumsikiliza; badala yake, akamkamata Yeremia na kumpeleka kwa maafisa.
Et Jérémie répondit: C'est faux! Je ne passe point aux Caldéens. Mais il ne l'écouta pas. Jiréija saisit donc Jérémie, et l'emmena vers les chefs.
15 Wakamkasirikia Yeremia, wakaamuru apigwe, na akafungwa katika nyumba ya Yonathani mwandishi waliyokuwa wameifanya gereza.
Alors les chefs s'emportèrent contre Jérémie, le frappèrent et le mirent en prison dans la maison de Jéhonathan, le secrétaire; car ils en avaient fait une prison.
16 Yeremia akawekwa kwenye chumba kilichofukuliwa chini, kilichojengwa kwa zege ndani ya gereza chini ya ngome, akakaa huko kwa muda mrefu.
Ce fut ainsi que Jérémie entra dans la basse-fosse et dans les cachots. Et Jérémie y demeura longtemps.
17 Kisha Mfalme Sedekia akatumana aletwe katika jumba la kifalme, mahali alipomuuliza kwa siri, “Je, kuna neno lolote kutoka kwa Bwana?” Yeremia akajibu, “Ndiyo, utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli.”
Mais le roi Sédécias l'envoya chercher, et l'interrogea en secret dans sa maison, et lui dit: Y a-t-il quelque parole de la part de l'Éternel? Et Jérémie répondit: Il y en a une; et lui dit: Tu seras livré entre les mains du roi de Babylone.
18 Kisha Yeremia akamwambia Mfalme Sedekia, “Nimefanya kosa gani dhidi yako na maafisa wako au watu hawa, hata ukanitia gerezani?
Puis Jérémie dit au roi Sédécias: En quoi ai-je péché contre toi, contre tes serviteurs, et contre ce peuple, que vous m'ayez mis en prison?
19 Wako wapi manabii wako waliokutabiria wakisema, ‘Mfalme wa Babeli hatakushambulia wewe wala nchi hii?’
Et où sont vos prophètes qui vous prophétisaient, en disant: Le roi de Babylone ne viendra pas contre vous, ni contre ce pays?
20 Lakini sasa, bwana wangu mfalme, tafadhali sikiliza. Niruhusu nilete maombi yangu mbele yako, usinirudishe kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, nisije nikafia humo.”
Or maintenant écoute, je te prie, ô roi, mon seigneur, et que ma supplication soit favorablement reçue de toi! Ne me renvoie point dans la maison de Jéhonathan, le secrétaire, de peur que je n'y meure.
21 Ndipo Mfalme Sedekia akatoa maagizo Yeremia awekwe katika ua wa walinzi, na apewe mkate kutoka mitaa ya waokaji kila siku mpaka mikate yote katika mji itakapokwisha. Kwa hiyo Yeremia akabaki katika ua wa walinzi.
Alors le roi Sédécias commanda qu'on gardât Jérémie dans la cour de la prison, et qu'on lui donnât chaque jour un pain de la rue des boulangers, jusqu'à ce que tout le pain de la ville fût consommé. Ainsi Jérémie demeura dans la cour de la prison.

< Yeremia 37 >