< Psalmi 63 >

1 Bože! ti si Bog moj, k tebi ranim, žedna je tebe duša moja, za tobom èezne tijelo moje u zemlji suhoj, žednoj i bezvodnoj.
Mungu, wewe ni Mungu wangu! Ninakutafuta wewe kwa bidii, moyo wangu unakiu yako, mwili wangu unakutamani sana wewe, katika ukame na nchi iliyochoka mahali ambapo hakuna maji.
2 Tako bih te ugledao u svetinji, da bih vidio silu tvoju i slavu tvoju.
Hivyo nimekutafuta wewe katika watu watakatifu kuona nguvu zako na utukufu wako.
3 Jer je dobrota tvoja bolja od života. Usta bi moja hvalila tebe;
Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakusifu wewe.
4 Tako bih te blagosiljao za života svoga, u ime tvoje podigao bih ruke svoje.
Hivyo nitakutukuza wewe niwapo hai; kwa jina lako nitainua mikono yangu juu.
5 Kao salom i uljem nasitila bi se duša moja, i radosnijem glasom hvalila bi te usta moja.
Itakuwa kana kwamba nilikula mlo wa mafuta na wenye kunona, kwa midomo ya furaha kinywa changu kitakusifu wewe,
6 Kad te se sjeæam na postelji, sve noæne straže razmišljam o tebi.
nikufikiripo kitandani mwangu na kukutafakari wewe wakati wa saa za usiku.
7 Jer si ti pomoæ moja, i u sjenu krila tvojih veselim se.
Kwa maana umekuwa msaada wangu, na katika uvuli wa mbawa zako ninafurahia.
8 Duša se moja prilijepila za tebe, desnica tvoja drži me.
Ninashikamana nawe; mkono wako wa kuume unanisaidia.
9 Koji traže pogibao duši mojoj, oni æe otiæi pod zemlju.
Lakini wale watafutao kuuharibu uhai wangu wataenda chini kwenye sehemu ya chini kabisa ya nchi;
10 Izginuæe od maèa, i dopašæe lisicama.
watakabidhiwa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
11 A car æe se veseliti o Bogu, hvaliæe se svaki koji se kune njim, kad se zatisnu usta onima koji govore laž.
Bali mfalme atashangilia katika Mungu; yeyote anaye apa kupitia yeye atajivunia yeye, lakini vinywa ya wale wasemao uongo watanyamazishwa.

< Psalmi 63 >