< یهودا 1 >
یهودا، غلام عیسی مسیح و برادر یعقوب، به خواندهشدگانی که در خدای پدر حبیب وبرای عیسی مسیح محفوظ میباشید. | ۱ 1 |
Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo, na ndugu yake Yakobo, kwa wale ambao wameitwa, wapendwao katika Mungu Baba, na waliotunzwa kwa ajili ya Yesu Kristo:
رحمت و سلامتی و محبت بر شما افزون باد. | ۲ 2 |
rehema na amani na upendo viongezwe kwenu.
ای حبیبان، چون شوق تمام داشتم که درباره نجات عام به شما بنویسم، ناچار شدم که الان به شما بنویسم و نصیحت دهم تا شما مجاهده کنیدبرای آن ایمانی که یک بار به مقدسین سپرده شد. | ۳ 3 |
Wapenzi, wakati nilipokuwa nikifanya kila juhudi kuwaandikia ninyi kuhusu wokovu wetu sote, ilinilazimu kuwaandikia kwa ajili ya kuwashauri ili mshindanie kwa uaminifu imani ambayo ilikuwa imekabidhiwa mara moja tu kwa waamini.
زیرا که بعضی اشخاص در خفا درآمدهاند که ازقدیم برای این قصاص مقرر شده بودند؛ مردمان بیدین که فیض خدای ما را به فجور تبدیل نموده و عیسی مسیح آقای واحد و خداوند ما را انکارکردهاند. | ۴ 4 |
Kwa sababu watu fulani wamejiingiza kwa siri kati yenu - watu ambao walitiwa alama kwa ajili ya hukumu - watu wasio wataua ambao hubadili neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, na kumkana Bwana wetu pekee na Bwana Yesu Kristo.
پس میخواهم شما را یاد دهم، هرچند همهچیز را دفعه میدانید که بعد از آنکه خداوند، قوم را از زمین مصر رهایی بخشیده بود، بار دیگربی ایمانان را هلاک فرمود. | ۵ 5 |
Sasa napenda kuwakumbusha ninyi ingawa kuna wakati mlijua kwa ukamilifu kwamba Bwana aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri, lakini baadaye kuwaangamiza wale ambao hawakuamini.
و فرشتگانی را که ریاست خود را حفظ نکردند بلکه مسکن حقیقی خود را ترک نمودند، در زنجیرهای ابدی درتحت ظلمت بجهت قصاص یوم عظیم نگاه داشته است. (aïdios ) | ۶ 6 |
Na malaika ambao hawakuilinda enzi yao wenyewe lakini wakaacha makao yao maalum Mungu amewaweka katika minyororo ya milele, ndani ya giza, kwa ajili ya hukumu ya siku ile kuu. (aïdios )
و همچنین سدوم و غموره و سایربلدان نواحی آنها مثل ایشان چونکه زناکار شدند و درپی بشر دیگر افتادند، در عقوبت آتش ابدی گرفتار شده، بجهت عبرت مقرر شدند. (aiōnios ) | ۷ 7 |
Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyoizunguka, ambayo pia ilijiingiza yenyewe katika uasherati na wakafuata tamaa isiyo ya asili. Walioneshwa kama mifano ya wale ambao huteseka katika hukumu ya moto wa milele. (aiōnios )
لیکن باوجود این، همه این خواب بینندگان نیز جسد خود را نجس میسازند و خداوندی راخوار میشمارند و بر بزرگان تهمت میزنند. | ۸ 8 |
Hali kadhalika, kwa njia ile ile waota ndoto hawa pia huchafua miili yao, na hukataa mamlaka, na wananena uongo dhidi ya mtukufu.
امامیکائیل، رئیس ملائکه، چون درباره جسدموسی با ابلیس منازعه میکرد، جرات ننمود که حکم افترا بر او بزند بلکه گفت: «خداوند تو راتوبیخ فرماید.» | ۹ 9 |
Lakini hata Mikaeli malaika mkuu, wakati alipokuwa akishindana na ibilisi na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthubutu kuleta hukumu ya uongo dhidi yake, lakini badala yake alisema, “Bwana akukemee!”
لکن این اشخاص بر آنچه نمی دانند افتراء میزنند و در آنچه مثل حیوان غیرناطق بالطبع فهمیدهاند، خود را فاسدمی سازند. | ۱۰ 10 |
Lakini watu hawa huleta uongo dhidi ya chochote wasicho kifahamu. Na kile wasicho kifahamu- kile ambacho wanyama wasio na akili hujua kwa silika- haya ndiyo yaliyo waharibu.
وای بر ایشان زیرا که به راه قائن رفتهاند ودر گمراهی بلعام بجهت اجرت غرق شدهاند و درمشاجرت قورح هلاک گشتهاند. | ۱۱ 11 |
Ole wao! Kwa kuwa wametembea katika njia ya Kaini, na kulifuata kosa la Balaamu. Wameangamia katika uasi wa Kora.
اینها درضیافت های محبتانه شما صخرهها هستند چون با شما شادی میکنند، و شبانانی که خویشتن رابی خوف میپرورند و ابرهای بیآب از بادهارانده شده و در ختان صیفی بیمیوه، دوباره مرده و از ریشهکنده شده، | ۱۲ 12 |
Hawa ni miamba katika sherehe zenu za upendo, wakisherehekea bila aibu, wakijilisha tu wenyewe. Ni mawingu yasiyo na maji, yanayobebwa na upepo, ni miti iliyopukutika isiyo na matunda iliyo kufa mara mbili, iliyong'olewa mizizi
و امواج جوشیده دریا که رسوایی خود را مثل کف برمی آورند و ستارگان آواره هستند که برای ایشان تاریکی ظلمت جاودانی مقرر است. (aiōn ) | ۱۳ 13 |
Ni mawimbi ya bahari yenye kelele yakitoa aibu yao wenyewe, Ni nyota zinazorandaranda ambazo weusi wa giza umetunzwa kwa ajili yao milele. (aiōn )
لکن خنوخ که هفتم ازآدم بود، درباره همین اشخاص خبر داده، گفت: «اینک خداوند با هزاران هزار از مقدسین خود یهودا آمد | ۱۴ 14 |
Enoko, wa saba katika orodha ya Adamu, alitabiri kuhusu wao, akisema, “Tazama! Bwana anakuja na maelfu kwa maelfu ya watakatifu wake,
تا برهمه داوری نماید و جمیع بیدینان راملزم سازد، بر همه کارهای بیدینی که ایشان کردند و برتمامی سخنان زشت که گناهکاران بیدین به خلاف او گفتند.» | ۱۵ 15 |
ili afanye hukumu juu ya kila mtu, na kutia hatia wote wasiomcha Mungu juu ya matendo yao yote waliyokwishafanya katika njia zisizo za kitauwa, na kwa maneno yote ya ukali ambayo wasio watauwa wameyanena dhidi yake.”
اینانند همهمهکنان و گلهمندان که برحسب شهوات خود سلوک مینمایند و به زبان خود سخنان تکبرآمیزمی گویند و صورتهای مردم را بجهت سودمی پسندند. | ۱۶ 16 |
Hawa ni wale wanung'unikao, walalamikao ambao hufuata tamaa zao za uovu, wajivunao mno, ambao kwa faida yao hudanganya wengine.
اما شماای حبیبان، بخاطر آورید آن سخنانی که رسولان خداوند ما عیسی مسیح پیش گفتهاند، | ۱۷ 17 |
Lakini ninyi, wapenzi, kumbukeni maneno ambayo yalinenwa zamani na mitume wa Bwana Yesu Kristo.
چون به شما خبر دادند که در زمان آخر مستهزئین خواهند آمد که برحسب شهوات بیدینی خود رفتار خواهند کرد. | ۱۸ 18 |
Walisema kwenu, “Katika wakati wa mwisho kutakuwa na watu wanaodhihaki ambao hufuata tamaa zao zisizo za kitauwa.”
اینانند که تفرقهها پیدا میکنند و نفسانی هستند که روح را ندارند. | ۱۹ 19 |
Watu hawa ni watenganishaji, wanatawaliwa na tamaa za asili, na hawana Roho.
اما شماای حبیبان، خود را به ایمان اقدس خود بنا کرده و در روحالقدس عبادت نموده، | ۲۰ 20 |
Lakini ninyi, wapenzi, kama mjijengavyo katika imani yenu takatifu sana, na kama muombavyo katika Roho Mtakatifu,
خویشتن را در محبت خدا محفوظ دارید ومنتظر رحمت خداوند ما عیسی مسیح برای حیات جاودانی بوده باشید. (aiōnios ) | ۲۱ 21 |
jitunzeni katika upendo wa Mungu, na msubiri rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ambayo huwapatia uzima wa milele. (aiōnios )
و بعضی را که مجادله میکنند ملزم سازید. | ۲۲ 22 |
Onesheni rehema kwa wale walio na shaka.
و بعضی را ازآتش بیرون کشیده، برهانید و بر بعضی با خوف رحمت کنید و از لباس جسم آلود نفرت نمایید. | ۲۳ 23 |
Waokoeni wengine kwa kuwanyakua kutoka katika moto. Kwa wengine onesheni huruma kwa hofu, mkichukia hata vazi lililotiwa doa na mwili.
الان او را که قادر است که شما را از لغزش محفوظ دارد و در حضور جلال خود شما رابی عیب به فرحی عظیم قایم فرماید، | ۲۴ 24 |
Sasa kwake awezaye kuwalinda msijikwae, na kuwasababisha msimame mbele ya utukufu wake, bila mawaa na kuwa na furaha kuu,
یعنی خدای واحد و نجاتدهنده ما را جلال و عظمت و توانایی و قدرت باد الان و تا ابدالاباد. آمین. (aiōn ) | ۲۵ 25 |
kwake Mungu pekee mwokozi kupitia Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu uwe kwake, ukuu, uwezo na nguvu kabla ya nyakati zote, na sasa na hata milele. Amina. (aiōn )