< عبرانیان 12 >

تادیب الهی بنابراین چونکه ما نیز چنین ابر شاهدان را گرداگرد خود داریم، هر بار گران وگناهی را که ما را سخت می‌پیچد دور بکنیم و باصبر در آن میدان که پیش روی ما مقرر شده است بدویم، ۱ 1
Kwahiyo, kwa kuwa tumezungukwa na wingu kubwa la mashaidi, na tutupe kila kitu kinacho tulemea pamoja na dhambi ambayo inatuzingira kwa urahisi. Tupige mbio kwa saburi katika mashindano yaliyowekwa mbele yetu.
و به سوی پیشوا و کامل کننده ایمان یعنی عیسی نگران باشیم که بجهت آن خوشی که پیش او موضوع بود، بی‌حرمتی را ناچیز شمرده، متحمل صلیب گردید و به‌دست راست تخت خدا نشسته است. ۲ 2
Tuyaelekeze macho yetu kwa Yesu, aliye mwanzilishi na mwenye kutimiliza imani yetu, ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake alistahmili msalaba, akiidharau aibu yake, na akakaa chini mkono wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.
پس تفکر کنید در او که متحمل چنین مخالفتی بود که از گناهکاران به اوپدید آمد، مبادا در جانهای خود ضعف کرده، خسته شوید. ۳ 3
Maana mtafakarini yeye aliye stahimili maneno ya chuki kutoka kwa wenye dhambi, dhidi yake mwenyewe ili kwamba msije mkachoka au kuzimia mioyo yenu.
هنوز در جهاد با گناه تا به حدخون مقاومت نکرده‌اید، ۴ 4
Hamjataabika au kuteseka mkishindana na dhambi kiasi cha kuishiwa damu.
و نصیحتی را فراموش نموده‌اید که با شما چون با پسران مکالمه می‌کندکه «ای پسر من تادیب خداوند را خوار مشمار ووقتی که از او سرزنش یابی، خسته خاطر مشو. ۵ 5
Tena mmesahau kule kutiwa moyo ambako kunawaelekeza kama watoto wa kiume: “Mwanangu, usiyachukuwe kwa wepesi marudia ya Bwana, wala usikate tamaa unapo rekebishwa na yeye.”
زیرا هر‌که را خداوند دوست می‌دارد، توبیخ می‌فرماید و هر فرزند مقبول خود را به تازیانه می‌زند.» ۶ 6
Kwa kuwa Bwana humrudi yeyote ambaye anampenda, na humwadhibu kila mwana ambaye humpokea.
اگر متحمل تادیب شوید، خدا با شما مثل باپسران رفتار می‌نماید. زیرا کدام پسر است که پدرش او را تادیب نکند؟ ۷ 7
Stahimili majaribu kama kurudiwa. Mungu hushughulika nanyi kama anavyoshughulika na watoto, maana ni mtoto yupi ambaye baba yake hawezi kumrudi?
لکن اگر بی‌تادیب می‌باشید، که همه از آن بهره یافتند، پس شماحرام زادگانید نه پسران. ۸ 8
Lakini kama hakuna kurudiwa, ambako sisi sote tunashiriki, basi ninyi ni haramu na si watoto wake.
و دیگر پدران جسم خود را وقتی داشتیم که ما را تادیب می‌نمودند وایشان را احترام می‌نمودیم، آیا از طریق اولی پدرروحها را اطاعت نکنیم تا زنده شویم؟ ۹ 9
Zaidi ya yote, tulikuwa na baba zetu kidunia wa kuturudi, na tuliwaheshimu. Je haitupasi hata zaidi kumtii Baba wa kiroho na kuishi?
زیرا که ایشان اندک زمانی، موافق صوابدید خود ما راتادیب کردند، لکن او بجهت فایده تا شریک قدوسیت او گردیم. ۱۰ 10
Kwa hakika baba zetu walituadhibu kwa miaka michache kama ilivyoonekana sawa kwao, lakini Mungu hutuadhibu kwa faida yetu ili tushiriki utakatifu wake.
لکن هر تادیب در حال، نه از خوشیها بلکه از دردها می‌نماید، اما در آخرمیوه عدالت سلامتی را برای آنانی که از آن ریاضت یافته‌اند بار می‌آورد. ۱۱ 11
Hakuna adhabu inayofurahisha kwa wakati huo. Huwa na maumivu. Hata hivyo, baadaye huzaa tunda la amani ya utauwa kwa wale waliofundishwa nayo.
لهذا دستهای افتاده و زانوهای سست شده را استوار نمایید، ۱۲ 12
Kwa hiyo inueni mikono yenu iliyolegea na kufanya magoti yenu yaliyo dhaifu kuwa yenye nguvu tena;
و برای پایهای خود راههای راست بسازید تاکسی‌که لنگ باشد، از طریق منحرف نشود، بلکه شفا یابد. ۱۳ 13
nyosheni mapito ya nyayo zenu, ili kwamba yeyote aliye mlemavu hataongozwa upotevuni lakini apate kuponywa.
و در‌پی سلامتی با همه بکوشید و تقدسی که بغیر از آن هیچ‌کس خداوند را نخواهد دید. ۱۴ 14
Tafuteni amani na watu wote, na pia utakatifu ambao bila huo hakuna atakayemwona Bwana.
و مترصد باشید مبادا کسی از فیض خدامحروم شود و ریشه مرارت نمو کرده، اضطراب بار آورد و جمعی از آن آلوده گردند. ۱۵ 15
Muwe waangalifu ili kwamba asiwepo atakayetengwa mbali na neema ya Mungu, na kwamba lisije shina la uchungu litakalochipuka na kusababisha shida na kukengeusha wengi.
مباداشخصی زانی یا بی‌مبالات پیدا شود، مانند عیسوکه برای طعامی نخستزادگی خود را بفروخت. ۱۶ 16
Angalieni kuwa hakuna zinaa au mtu asiye mtauwa kama vile Esau, ambaye kwa sababu ya mlo mmoja aliuza haki yake ya kuzaliwa.
زیرا می‌دانید که بعد از آن نیز وقتی که خواست وارث برکت شود مردود گردید (زیرا که جای توبه پیدا ننمود) با آنکه با اشکها در جستجوی آن بکوشید. ۱۷ 17
Kwa kuwa mnajua kwamba baadaye, alipotamani kurithi baraka, alikataliwa, kwa sababu hakupata fursa ya kutubu pamoja na baba yake, hata ingawa alitafuta sana kwa machozi.
زیرا تقرب نجسته‌اید به کوهی که می‌توان لمس کرد و به آتش افروخته و نه به تاریکی وظلمت و باد سخت، ۱۸ 18
Kwa kuwa hamkuja katika mlima ambao unaweza kuguswa, Mlima unaowaka moto, giza, kukatisha tamaa na dhoruba.
و نه به آواز کرنا و صدای کلامی که شنوندگان، التماس کردند که آن کلام، دیگر بدیشان گفته نشود. ۱۹ 19
Hamkuja kwa sauti za tarumbeta, au kwa maneno yatokanayo na sauti ambayo ilisababisha kila wasikiao wasiombe neno lolote kusemwa kwao.
زیرا که متحمل آن قدغن نتوانستند شد که اگر حیوانی نیز کوه رالمس کند، سنگسار یا به نیزه زده شود. ۲۰ 20
Kwa kuwa hawakuweza kuvumilia kile kilichoamuliwa: “Ikiwa hata mnyama agusaye mlima, lazima apigwe kwa mawe.”
و آن رویت بحدی ترسناک بود که موسی گفت: «بغایت ترسان و لرزانم.» ۲۱ 21
Ya kutisha zaidi aliyoyaona Musa alisema, “Nimeogopa sana kiasi cha kutetemeka”.
بلکه تقرب جسته ایدبه جبل صهیون و شهر خدای حی یعنی اورشلیم سماوی و به جنود بی‌شماره از محفل فرشتگان ۲۲ 22
Badala yake, mmekuja mlima Sayuni na katika mji wa Mungu aliye hai, Yerualem ya mbinguni, na kwa malaika elfu kumi wanaosherehekea.
و کلیسای نخستزادگانی که در آسمان مکتوبندو به خدای داور جمیع و به ارواح عادلان مکمل ۲۳ 23
Mmekuja katika kusanyiko la wazaliwa wa kwanza wote waliosajiliwa mbinguni, kwa Mungu hakimu wa wote, na kwa roho za watakatifu ambao wamekamilishwa.
و به عیسی متوسط عهد جدید و به خون پاشیده شده که متکلم است به‌معنی نیکوتر ازخون هابیل. ۲۴ 24
Mmekuja kwa Yesu mpatanishi wa agano jipya, na kwa damu iliyonyunyizwa ambayo hunena mema zaidi kuliko damu ya Habili.
زنهار از آنکه سخن می‌گوید رو مگردانیدزیرا اگر آنانی که از آنکه بر زمین سخن گفت روگردانیدند، نجات نیافتند، پس ما چگونه نجات خواهیم یافت اگر از او که از آسمان سخن می‌گوید روگردانیم؟ ۲۵ 25
Angalia kuwa usije ukamkataa mmoja ambaye anenaye. Kwa kuwa kama hawakuepuka walipomkataa mmoja aliye waonya duniani, kwa hakika hatutaepuka ikiwa tutageuka mbali kutoka kwa yule atuonyaye kutoka mbinguni.
که آواز او در آن وقت زمین را جنبایند، لکن الان وعده داده است که «یک مرتبه دیگر نه فقط زمین بلکه آسمان را نیزخواهم جنبانید.» ۲۶ 26
Kwa wakati huo sauti yake ilitikisa dunia. Lakini sasa ameahidi na kunena, “Bado mara nyingine tena sitatikisa dunia pekee, bali mbingu pia.”
و این قول او یک مرتبه دیگراشاره است از تبدیل چیزهایی که جنبانیده می‌شود، مثل آنهایی که ساخته شد، تا آنهایی که جنبانیده نمی شود باقی ماند. ۲۷ 27
Maneno haya, “Mara moja tena,” inaonesha kutoweshwa kwa vitu vile vitetemeshwavyo, hivi ni, vitu vile ambavyo vimeumbwa, ili kwamba vile vitu visivyotetemeshwa vibakie.
پس چون ملکوتی را که نمی توان جنبانیدمی یابیم، شکر به‌جا بیاوریم تا به خشوع و تقواخدا را عبادت پسندیده نماییم. ۲۸ 28
Kwa hiyo, tupokee ufalme ambao hautetemeshwi, tufurahi katika hali ya kumwabudu Mungu kwa kukubali pamoja na kunyenyekea katika kicho,
زیرا خدای ماآتش فروبرنده است. ۲۹ 29
kwa maana Mungu wetu ni moto ulao.

< عبرانیان 12 >