< San Juan 4 >

1 ANAE y Señot jatungo, na Fariseo sija manmanjungog, na si Jesus jafatinas disipuluña ya jatagpange megaeña qui si Juan.
Basi Yesu alipofahamu kuwa Mafarisayo wamesikia kuwa Yesu alikuwa anafuasa na kuwabatiza zaidi ya Yohana,
2 (Achogja ti si Jesus namaesa matagpange, lao y disipuluñaja),
(ingawa Yesu mwenyewe alikuwa habatizi ila wanafunzi wake),
3 Jadingo guiya Judea, ya mapos talo malag Galilea.
alitoka Judea na akaenda Galilaya.
4 Ya janesesita na umalofan inanaco Samaria.
Hivyo ilikuwa muhimu kupitia Samaria.
5 Mato pues gui un siudan Samaria, na mafanaan Sicar, jijot gui fangualuan na si Jacob janae si José, lagiña.
Na akafika kwenye mji wa Samaria, unaoitwa Sikari, karibu na eneo ambalo Yakobo alimpa mwanae Yusufu.
6 Ya gaegue güine y tipo Jacob. Enaomina si Jesus, sa yayas güe guinin y chalan, matachong gui oriyan y tipo. Güenao na ora cana a las saes.
Na kisima cha Yakobo kilikuwa hapo. Yesu alikuwa amechoka kwa ajili ya safari na akakaa karibu na kisima. Ilikuwa muda wa mchana.
7 Mato un palaoan Samaria para ufanlupog janom; ya si Jesus ilegña nu güiya: Naeyo ya juguinem.
Mwanamke Msamaria alikuja kuteka maji, na Yesu akamwambia, “Nipe maji ninywe.”
8 Sa y disipuluña manmapos para y siuda, para ufanmamajan nengcano.
Kwa sababu wanafunzi wake walikuwa wameenda zao mjini kununua chakula.
9 Ylegña nu güiya y palaoan Samaria: Jaftaemano na jago y Judio jao, ya untagojit najunaguinemjao, ya guajo palaoan Samaria? (Sa y Judio sija ti manatungo yan y taotao Samaria).
Yule mwanamke akamwambia, “Inakuaje wewe Myahudi, kuniomba mimi mwanamke Msamaria, kitu cha kunywa?” Kwa sababu Wayahudi hawachangamani na Wasamaria.
10 Manope si Jesus, ya ilegña nu güiya: Yaguin untungo y ninaeña si Yuus yan jaye güe y sumangane jao, naeyo ya juguinem: jago ungagao güe ya güiya unninae janom lalâlâ.
Yesu akamjibu, “Kama ungelijua karama ya Mungu, na yule anayekuambia 'Nipe maji, ' ungelimwomba, na angelikupa maji ya uzima.”
11 Ya y palaoan ilegña nu güiya: Señot, taya siña unlupog, sa y tipo tadong: amano pues nae guaja jao ni y janom lalâlâ.
Mwanamke akajibu, “Bwana hauna ndoo ya kuchotea, na kisima ni kirefu. Utayapata wapi Maji ya Uzima?
12 Ada dangculoña jao qui y tatanmame as Jacob, ni y numaejam nu este na tupo, ya güiya gumiguinem yan famaguonña, yan y gaña gâgâ sija?
Je wewe ni mkuu, kuliko baba yetu Yakobo, ambaye alitupa kisima hiki, na yeye mwenyewe na watoto wake pamoja na mifugo yake wakanywa maji ya kisima hiki?”
13 Manope si Jesus, ya ilegña nu güiya: Jaye y guminem nu este na janom, güiya umajo talo.
Yesu akajibu, “Yeyote anywae maji haya atapata kiu tena,
14 Lao ayo y guminem uje na janom y junae güe, para todo y tiempo ti umajo; ya ayo na janom y guajo junae güe, güiya y janom tupo, ni jumuyong para linâlâ na taejinecog. (aiōn g165, aiōnios g166)
lakini yeye atakaye kunywa maji nitakayompa hatapata kiu tena. Badala yake maji nitakayompa yatakuwa chemchemi inayobubujika hata milele.” (aiōn g165, aiōnios g166)
15 Ylegña nu güiya y palaoan: Señot, naeyo nu este na janom para ti siñayo majo, ni jutalo mague para jufanlupog.
Yule mwanamke akamwambia, “Bwana, nayaomba maji hayo ili nisipate kiu, na nisihangaike kuja hapa kuchota maji.”
16 Si Jesus ilegña nu güiya: Janao agange y asaguamo, ya unmamaela güine mague.
Yesu akamwambia, “Nenda kamwite mumeo, kisha urudi.”
17 Manope y palaoan ya ilegña nu güiya: Taya asaguajo. Ylegña nu güiya si Jesus: Mauleg sinanganmo na ilegmo. Taya asaguajo.
Mwanamke akamwambia, “Sina mume.” Yesu akajibu, “Umesema vyema, 'Sina mume;'
18 Sa sinco jagas asaguamo; ya pago y gaegue guiya jago, ti güiya y asaguamo: este unsangan pot minagajet.
kwa maana umekuwa na wanaume watano, na mmoja ambaye unaye sasa sio mume wako. Katika hili umesema kweli!”
19 Ya ilegña nu güiya y palaoan: Señot, pineloco nu jago, profeta jao.
Mwanamke akamwambia, “Bwana naona yakuwa wewe ni nabii.
20 Y tatanmame manmanadodora güine gui jalomtano, ya jamyo ilegmiyo, na iya Jerusalem, ayo na lugat, siempre nae umafatinas y adorasion.
Baba zetu waliabudu katika mlima huu. Lakini ninyi mwasema ya kuwa Yerusalemu ndiyo sehemu ambayo watu wanapaswa kuabudu.”
21 Ylegña nu güiya si Jesus: Palaoan, jonggue yo sa ufato y ora, na ti este na jalomtano, ni iya Jerusalem, inadora jamyo si Yuus Tata.
Yesu akamjibu, “Mwanamke, niamini, wakati unakuja ambapo hamtamwabudu Baba katika mlima huu au Yerusalemu.
22 Jamyo inadora ti intingo. Jame inadora y tiningomame, sa y satbasion y Judio sija güiya.
Ninyi watu mwaabudu kile msichokijua, lakini sisi twaabudu tunachokijua, kwa sababu wokovu watoka kwa Wayahudi.”
23 Lao y jaane umamaela, ya güiya güe pago, nae y magajet na manmanadododora, uje adodora si Yuus Tata gui espiritu yan y minagajet; sa si Yuus Tata, locue jaaliligao ayo sija y umadodora güe.
Hatahivyo, wakati unakuja, na sasa upo hapa, wakati waabuduo kweli watamwabudu Baba katika roho na kweli, kwa sababu Baba anawatafuta watu wa namna hiyo kuwa watu wake wanao mwabudu.
24 Si Yuus, güiya Espiritu, ya y umadora güe, siempre jaadora güe y espiritu yan y minagajet.
Mungu ni Roho, na wale wanaomwabudu wanapaswa kumwabudu kwa roho na kweli.”
25 Ylegña nu güiya y palaoan: Guajo jutungo na y Mesias umamaela (ayo y naanña si Cristo); yaguin mato güe, güiya ufanagüejit todo.
Mwanamke akamwambia, “Ninajua kuwa Masihi anakuja, (aitwaye Kristo). Huyo atakapokuja atatwambia yote.”
26 Ylegña nu güiya si Jesus: Guajoyo, ni umadingangane jao.
Yesu akamwambia, “Mimi unayesema nami ndiye.”
27 Ya pot este manmato y disipuluña ya ninafanmanman pot y umadingan yan y palaoan: ya ni uno siña umalog: Jafa finaesesenmo? pat, pot jafa uncuentutuse güe?
Wakati huo huo wanafunzi wake wakarudi. Nao walishangaa kwa nini alikuwa akizungumza na mwanamke, lakini hakuna aliyethubutu kumuuliza, “Unataka nini?” au “Kwa nini unazungumza naye?”
28 Taegüenao y palaoan japolo y batdeña, ya mapos malag y siuda, jasangane y taotao sija ya ilegña:
Hivyo mwanamke akauacha mtungi wake na akaenda mjini na akawambia watu,
29 Fanmamaela ya inlie un taotao ni sumangane yo todo y finatinaso! Güiya buente si Cristo?
“Njooni mwone mtu aliyeniambia mambo yangu yote niliyoyatenda, je yawezekana akawa ndiye Kristo?”
30 Manmapos gui siuda, ya manmalag as Jesus.
Wakatoka mjini wakaja kwake.
31 Ayo na tiempo magagagao güe ni disipulo sija, ilegñija: Rabi, chocho!
Wakati wa mchana wanafunzi wake walimsihi wakisema, “Rabi kula chakula.”
32 Ya güiya ilegña na sija: Guaja najo nengcano na jamyo ti intingo.
lakini yeye aliwambia, “Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi.”
33 Enaomina y disipulo sija ilegñija entre sija: Buente guaja chumulilie naña?
Wanafunzi wakaambizana, hakuna aliyemletea kitu chochotekula,”Je walileta?”
34 Si Jesus ilegña nu sija: Y nengcanojo y jufatinas y minalago ayo y tumago yo, ya magpo chechoña.
Yesu akawambia, “Chakula changu ni kufanya mapenzi yake yeye aliyenituma na kutimiza kazi yake.
35 Ya ti ilegmiyo: Guaja trabia cuatro na meses nae ufato y quineco? Estagüe na jusangane jamyo: Fanalagquilo y matanmiyo ya inatan y fangualuan sija, sa esta manapaca para quineco.
Je, hamsemi, 'Bado miezi mitano na mavuno yatakuwa tayari?' Ninawambieni tazameni mashamba yalivyo tayari kwa mavuno!
36 Ya y mangoco uresibe y apasña, ya uchule y tinegcha para taejinecog na linâlâ; para ayo y mangoco, ya ayo y manananom mandaña gui minagof. (aiōnios g166)
Yeye avunaye hupokea mishahara na kukusanya matunda kwa ajili ya uzima wa milele, ili kwamba yeye apandaye naye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios g166)
37 Ya pot este macumple y sinangan: uno manananom ya y otro mangongoco.
Kwa kuwa msemo huu ni wa kweli, 'Mmoja apanda na mwingine avuna.'
38 Guajo jamyo tumago para infanmangoco ya ti jamyo chumogüe; otro manmachocho ya jamyo manjalom gui chechoñija.
Niliwatuma kuvuna ambacho hamkukihangaikia, Wengine wamefanya kazi na ninyi mmeingia katika furaha ya kazi yao.”
39 Ya megae na taotao Samaria, taotao güije na siuda, manmanjonggue nu güiya pot y sinangan y palaoan, sa manae testimonio na ilegña: Jasangane yo todo ni y finatinasjo.
Wasamaria wengi katika mji ule walimwani kwa sababu ya taarifa ya yule mwanamke aliyekuwa akishuhudia, “Aliyeniambia mambo yote niliyoyafanya.”
40 Enao mina anae y taotao Samaria manmato guiya güiya, magagao na usaga ya ufandaña; ya güiya sumaga güije dos na jaane.
Hivyo Wasamaria walipokuja walimsihi akae pamoja nao na akakaa kwao kwa siku mbili.
41 Ya y manmanjonggue nu güiya gofmegae pot y sinanganña.
Na wengi zaidi wakamwamini kwa sababu ya neno lake.
42 Ya ilegñija nu y palaoan: Pago ti pot y finomo na injenggue; sa jame mismo injingog güe, ya intingo na este, güiya y magajet na Salvadot y tano.
Wakamwambia yule mwanamke, “Tunaamini sio tu kwa maneno yako, kwa sababu sisi wenyewe tumesikia, na sasa twafahamu kuwa hakika yeye ni mwokozi wa ulimwengu.”
43 Ya depues di dos na jaane, jumanao güije ya malag Galilea.
Baada ya siku hizo mbili, akaondoka na kuelekea Galilaya.
44 Potjafa na si Jesus mismo manae testimonio, na y profeta gui tanoña taya onraña.
Kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa ametangaza kuwa nabii hana heshima katika nchi yake mwenyewe.
45 Ya pot este anae malag Galilea, y taotao Galilea maresibe güe sa malie todo y finatinasña guiya Jerusalem, na jafatinas gui tiempo y guipot; sa sija locue manmalag y guipot.
Alipokuja kutoka Galilaya, Wagalilaya walimkaribisha. Walikuwa wameona mambo yote aliyoyafanya Yerusalemu kwenye sikukuu, kwa sababu na wao pia walikuwa wamehudhuria kwenye sikukuu.
46 Mato, otro biaje, si Jesus, guiya Cana siuda guiya Galilea, nae y jafatinas bino y janom: ya guaja güije un magalaje na y lajiña malango guiya Capernaum.
Alikuja tena Kana ya Galilaya huko alikoyabadilisha maji kuwa divai. Palikuwa na ofisa ambaye mwana wake alikuwa ni mgonjwa huko Kapernaumu.
47 Ya anae jajungog na si Jesus, jumanao gui Juda ya tumunog para Galilea, mapos güe malag as Jesus, ya jagagao na utunog guiya Capernaum, ya uamte y lajiña, sa esta cumequematae.
Aliposikia kuwa Yesu alitoka Judea na kwenda Galilaya, alienda kwa Yesu na kumsihi atelemke amponye mwanawe, ambaye alikuwa karibu kufa.
48 Enao mina si Jesus ilegña nu güiya: Yaguin ti inlie señat sija, yan y ninamanman sija, ti injenggue.
Ndipo Yesu akamwambia, “Ninyi msipoona ishara na maajabu hamwezi kuamini.
49 Ya ilegña y magalage nu güiya: Señot, tunog lasajyao, antes qui umatae y lajijo!
Kiongozi akasema, “Bwana shuka chini kabla mwanangu hajafa.”
50 Ylegña si Jesus nu güiya: Janao, sa y lajimo lâlâ! Jajonggue y taotao y sinangan Jesus ni y sinangane güe, ya mapos.
Yesu akamwambia, “Nenda mwanao ni mzima.” Yule mtu akaamini neno alilolisema Yesu na akaenda zake.
51 Ya anae güiya tumutunog, y familiaña matagam güe ya masangane na ilegñija, Na y lajimo lâlâ!
Alipokuwa akishuka, watumishi wake walimpokea na kumwambia mwana wake alikuwa mzima.
52 Mamaesen jafa na ora y lajiña na mumauleg, ya ilegñija: Nigap gui las siete na ora pinelo ni calenturaña.
Hivyo akawauliza ni muda gani alipata nafuu. Wakajibu, “Jana muda wa saa saba homa ilipomwacha.”
53 Jatungo y tataña enao na ora nae sinangane güe as Jesus, Y lajimo lâlâ; ya güiya namaesa jajonggue yan todo y familiaña!
Ndipo baba yake akatambua kuwa ni muda ule ule Yesu aliosema, “Mwana wako ni mzima.” Hivyo yeye na familia yake wakaamini.
54 Este y mina dos na señat, na jafatinas si Jesus, anae jinanaoña guiya Judea, para Galilea.
Hii ilikuwa ni ishara ya pili aliyoifanya Yesu alipotoka Yudea kwenda Galilaya.

< San Juan 4 >