< Софонія 2 >

1 Посоро́мтеся та застида́йтесь, наро́де без сорому,
Kusanyikeni pamoja ninyi wenyewe mkutano wa hadhara na kusanyikeni, taifa lisilokuwa na aibu -
2 поки наро́диться устано́влене, — мине день, як поло́ва! — поки не при́йде на вас лютість гніву Господнього, поки не прийде на вас день Господнього гніву!
kabla amri kuchukua madhara na siku hiyo kupita kama makapi, kabla hasira kali ya ghadhabu ya Yahwe kuja juu yenu, kabla siku ya ghadhabu ya Bwana kuja juu yenu.
3 Шукайте Господа, всі покі́рні землі, хто вико́нує право Його! Шукайте правди, шукайте смире́ння, — може будете схо́вані ви в день Господнього гніву!
Mtafuteni Yahwe, ninyi watu wote wanyenyekevu duniani mnaozitii amri zake! Tafuteni haki yake. Tafuteni unyenyekevu, na labda mtalindwa katika siku ya ghadhabu ya Yahwe.
4 Бо поки́нута буде Азза́, а Ашкело́н онусто́шенням стане, Ашдо́д — опівдня́ його виженуть, а Екро́н буде ви́рваний.
hivyo Gaza utatelekezwa, na Ashkeloni utageuka kuwa uharibifu. Watauondoshea mbali Ashdodi wakati wa mchana, na wataung'oa Ekroni!
5 Горе мешка́нцям довкі́лля морсько́го, наро́дові критському! Слово Господнє на вас, ханане́ї, кра́ю филисти́млян, — Я тебе вигублю так, що не буде мешка́нця!
Ole kwa wanaokaa kando ya bahari, taifa la Wakerethi! Yahwe amesema dhidi yenu, Kanaani, nchi ya Wafilisiti. Nitawaangamiza hakuna mkazi atakayebakia.
6 І бу́де довкі́лля морське́ пасови́щами, по́вними ям пастухів та коша́р для отари,
Hiyo nchi ya kando ya bahari itakuwa malisho kwa wachungaji na kwa mazizi ya kondoo.
7 і буде оце побере́жжя останкові дому Юдиного, на них пасти бу́дуть, у дома́х Ашкело́ну вве́чорі бу́дуть лягати, бо їх відві́дає Господь, їхній Бог, і Він їхню долю приве́рне.
Nchi ya kando ya bahari itakuwa mali ya mabaki ya watu wa nyumba ya Yuda, watakaochungia makundi yao huko. Watu wao watalala jioni katika nyumba ya Ashikeloni, kwa kuwa Yahwe Mungu wao atawatunza na kurejesha wafungwa wao.
8 Чув Я га́ньбу Моавову й обра́зи Аммо́нових синів, які обража́ли наро́д Мій і чвани́лися над границею їхньою.
Nilizisikia dhihaka za Moabu na wakiwatukana watu wa Amoni wakati walipowadhihaki watu wangu na kujitukuza mipakani mwao.
9 Тому́ — як живий Я! — говорить Госпо́дь Савао́т, Бог Ізраїлів, — стане Моа́в як Содо́м, а Аммонові сини — як Гомо́рра: землею терни́ни, і солончако́м, і навіки спусто́шенням! Пограбує їх решта наро́ду Мого, а за́лишок люду Мого́ їх пося́де.
Kwa hiyo, kama ninavyoishi - hili ni tamko la Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, - Moabu itakuja kuwa kama Sodoma, na watu wa Amoni kama Gomora; mahali pa viwavi na shimo la chumvi, jangwa la daima. Lakini watu wangu waliosalia watawateka mateka, na watu wa taifa langu waliobaki watachukua umiliki wao.'
10 Оце їм за їхню пиху́, бо вони ображали й чвани́лися проти наро́ду Господа Саваота.
Hili litatokea kwa Moabu na Amoni kwa sababu ya kiburi chao, tangu walipowadhihaki na kuwatukana watu wa Yahwe wa majeshi.
11 Господь бу́де грізни́й проти них, бо Він знищить всіх бо́гів землі, і вклоня́тися будуть Йому кожен з місця свого́, усі острови́ тих народів.
Ndipo watamwogopa Yahwe, kwa kuwa ataidhihaki miungu yote ya dunia. Kila mmoja atamwabudu yeye, kila mmoja kutoka mahali pake, kutoka kila upande wa pwani.
12 Також ви, етіо́пляни, побиті мечем Моїм бу́дете.
Ninyi Wakushi pia mtakufa kwa upanga wangu,
13 І на пі́вніч простя́гне Він руку Свою́, та й погубить Ашшу́ра, і Ніневі́ю учинить спусто́шенням, суходо́лом, мов ту пустелю.
na mkono wa Mungu utaishambulia kaskazini na kuiangamiza Ashuru, Kwa hiyo Ninawi utatelekezwa kwa kuteketezwa, kuwa pakavu kama jangwa.
14 І будуть лежати серед неї стада́, усяка польова́ звіри́на, і пеліка́н, і їжа́к будуть ночувати на мисте́цьких прикра́сах її, сова бу́де кричати в вікні́, на поро́зі воро́на, бо відде́рто кедри́ну його́.
Ndipo makundi ya wanyama yatalala pale, kila mnyama wa mataifa, wote kirukanjia na nungunungu watapumzika juu ya safu zao. Sauti itasikika kutoka madirishani; kifusi kitakuwa milangoni; nakshi za mwerezi wao mihimili itakuwa imeifunua.
15 Оце оте радісне місто, що безпечно живе, що говорить у серці своє́му: „Я, — і немає вже більше ніко́го!“Як стало воно опусто́шенням, лего́вищем для звірини́! Кожен, хто буде прохо́дить повз нього, засви́ще, своєю рукою махне́!
huu ni mji wa kushangiliwa ambao umekaa pasipo hofu, ambaye husema moyoni mwake, “Mimi niko, na hakuna mwingine wa kufanana na Mimi”. Kwa namna ulivyokuwa wa kutisha, mahali pa kulala wanyama ndani yake. Kila mmoja ambaye hupitia kwake huuhisia na kutingisha ngumi kwake.

< Софонія 2 >