< Пісня над піснями 6 >

1 „Куди твій коха́ний пішов, о найвродливі́ша з жінок? Куди спрямува́в твій коха́ний? Бо ми пошукаємо його із тобою“.
Mpenzi wako ameenda wapi, ulio mzuri miongoni mwa wanawake? Kwa njia gani mpenzi wako ameenda? ilitumtafute nawe? Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
2 „Мій коханий пішов до садо́чка свого́, в квітники́ запашні́, щоб па́сти в садка́х і збирати ліле́ї.
Mpenzi wangu ameenda katika bustani yake, kwenye vitanda vya manukato, kwenda kula katika bustani na kukusanya nyinyoro.
3 Я належу своєму коханому, а мені — мій коханий, що пасе між ліле́ями!“
Mimi ni wa mpenzi wangu, na mpenzi wangu ni wangu; na kula katika nyinyoro kwa raha. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye
4 „Ти прекрасна, моя ти подру́женько, мов та Тірца́, ти хороша, як Єрусалим, ти грізна́, як війська́ з прапора́ми!
Wewe ni mzuri kama Tirza, mpenzi wangu, wapendeza kama Yerusalemu, waamasisha kama jeshi lenye bendera mbele.
5 Відверни́ ти свої оченя́та від мене, бо вони непоко́ять мене! Твої коси — немов стадо кіз, що хви́лями сходять з того́ Гілеа́ду!
Geuza macho yako mbali na mimi, kwa kuwa yana nizidi ukali. Nywele zako ni kama kundi la mbuzi likishuka chini kutoka miteremko ya Mlima Gileadi.
6 Твої зуби — немов та отара ове́ць, що з ку́пелю вийшли, що ко́тять близня́та, і між ними немає неплідної!
Meno yako ni kama kundi la kondoo likishuka kutoka sehemu ya kuoshwa. Kila mmoja anapacha, na hamna ata mmoja aliyefiwa.
7 Мов частина грана́тного яблука — скро́ня твоя за серпа́нком твоїм!
Mashavu yako ni kama majani ya komamanga nyuma ya kitambaa chako cha uso. Mpenzi wa mwanamke akizungumza peke yake
8 Шістдеся́т є цариць, і вісімдеся́т є нало́жниць, а дівчатам немає числа, —
Kuna malikia sitini, masuria themanini, na wanawake wadogo bila idadi.
9 та єдина вона — ця голубка моя, моя чиста! У не́ньки своєї вона одина́чка, обра́на вона у своєї роди́тельки! Як бачили до́чки Сіону її, то щасливою звали її, цариці й нало́жниці — то вихваля́ли її:
Hua wangu, asiye na doa wangu, ni yeye pekee; ni binti muhimu wa mama yake; ndiye kipenzi cha mwanamke aliye mzaa. Mabinti wa wenzengu wamemuona na kumuita mbarikiwa; wamalikia na masuria walimuona pia, na wakamsifu: Kile walicho sema wamalikia na masuria
10 Хто це така, що вона виглядає, немов та досві́тня зоря́, прекрасна, як місяць, як сонце — ясна́, як полки́ з прапора́ми — грізна́?“
“Ni nani huyo anaye jitokeza kama kukicha, mzuri kama mwezi, ana ng'aa kama jua, uamasisha kama bendera ya jeshi?” Mpenzi wa mwanamke akizungumza mwenyewe
11 „Зійшла я в орі́ховий сад, щоб погля́нути на пу́п'яночки при пото́ці, щоб побачити там, чи зацвів виноград, чи грана́тові яблуні порозцвіта́ли?
Nimeenda kwenye kichaka cha miti ya milozi kuona mimea midogo ikikua bondeni, kuona kama mizabibu imechipua, na kama mikomamanga imestawi.
12 І не зчу́лася я, як мене посадила душа моя між колесни́ці моєї дружи́ни боя́р“.
Nilikuwa nina furaha nikahisi kama nimepakia gari ya farasi la mtoto wa mfalme. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye
13 „Верни́ся, вернись, Суламі́тко! Вернися, вернися, — нехай ми на тебе нади́вимось!“„Чого вам дивитися на Суламітку, немов би на та́нець військо́вий?“
Geuka nyuma, geuka nyuma, wewe mwanamke mkamilifu; geuka nyuma, geuka nyuma iliniweze kukushangaa. Mwanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake Kwanini wanishangaa, mwanamke mkamilifu, kana kwamba nina cheza katika ya mistari miwili ya wachezaji?

< Пісня над піснями 6 >