< Числа 7 >

1 І сталося того дня, коли Мойсей закінчи́в ставити скинію, і пома́зав її, і посвятив її та всі речі її, і же́ртівника та всі речі його, і помазав їх та посвятив їх,
Siku ambayo Musa alikamilsha masikani, alitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA, pamoja na mapambo yake. Aliifanyia hivyo madhabahu na vyombo vyake. Aliitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA.
2 то поприно́сили Ізраїлеві начальники, го́лови домів своїх батьків, — вони начальники племе́н, вони ті, що стояли над переліком, —
Siku hiyo, viongozi wa Israeli na wale vichwa vya familia za mababu walitoa sadaka. Hawa wanaume walikuwa viongozi wa makabila. Walisaidia kuhesabu watu kwenye ile sensa.
3 і принесли свою жертву перед Господнє лице: шість критих возів, і дванадцять волів, — віз на двох начальників, а віл на одно́го, і поставили їх перед скинію.
Walileta sadaka zao kwa BWANA. Walileta magari sita yaliyofunikwa na mafahari kumi na mbili. Walileta gari moja kwa kila viongozi wawili, kila kiongozi alileta fahari moja. Walileta vitu hivi mbele ya masikani.
4 І промовив Господь до Мойсея, говорячи:
Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
5 „Візьми від них, — і будуть вони, щоб виконувати службу скинії заповіту, і даси їх Левитам, кожному за службою його“.
“Uzipokee hizo sadaka kutoka kwao na uzitumie kwa matumizi ya kazi ya hema ya kukutania. Uwape hizo sadaka Walawi, kwa kila mmoja kadri ya uhitaji wa kazi yake.”
6 І взяв Мойсей вози́ та воли, та й дав їх Левитам:
Musa akayatwaa yale magari na mafahari. na kuwapatia Walawi.
7 два вози та чотири воли дав Ґершоновим синам, за їхньою службою,
Aliwapa magari mawili na mafahari wanne wale wa uzao wa Gerishoni, kwa sababu ndivyo kazi yao ilivyohitaji.
8 а чотири вози та вісім волів дав синам Мерарієвим за їхньою службою під рукою Ітамара, сина священика Аарона.
Aliwapatia uzao wa Merari magari manne na mafahari nane, chini ya uangalizi wa Ithamari mwana wa Haruni kuhani. Alifanya hivi kwa sababu ya uhitaji wa kazi yao.
9 А Кегатовим синам не дав, бо на них лежить служба святині, — на пле́чах повинні носити.
Lakini wale wa uzao wa Kohathi hakuwapa chochote kwa sababu wao waliangalia vitu vtakatifu amabvyo vilipaswa vibebwe mabagani mwao, siyo kwa magari.
10 І поприно́сили начальники жертву на поно́ву же́ртівника в день його пома́зання, і поприно́сили начальники свою жертву перед жертівника.
Viongozi walitoa bidhaa zo zingine kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhabahu katika siku ile ambayo Musa aliitia mafuta madhabahu. Viongozi walitoa sadaka zao mbele ya madhabahu hiyo.
11 А Господь промовляв до Мойсея: „По одному начальнику на день нехай приносять своє прино́шення на поно́ву же́ртівника“.
BWANA akasema na Musa, “kila kiongozi atatoa sadaka kwa siku yake kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.”
12 І був той, хто першого дня приніс своє прино́шення, Нахшон, син Аммінадавів, Юдиного пле́мени.
Katika siku ya kwanza, Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila ya Yuda, alitoa sadaka yake.
13 А жертва його: одна срібна миска, — сто й тридцять шеклів вага її, одна срібна кропи́льниця, — сімдеся́т шеклів на міру шеклем святині, оби́дві повні пшеничної муки, мішаної в оливі, на хлі́бну жертву,
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja ya fedha ambayo uzito wake ni shekeli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
14 одна кади́льниця, — десять шеклів золота, повна кадила,
Pia alimpa unga wa dhahabu kiasi cha bakuli moja chenye uzani wa shekeli kumi kilichojaa ubani
15 одне теля, один баран, одне однорічне ягня на цілопа́лення,
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
16 один козел на жертву за гріх,
Alitoa beberu kama kama sadaka ya hatia.
17 а на мирну жертву — два воли́, п'ять баранів, п'ять козлів, п'ять ягнят однорічних, — оце прино́шення Нахшона, Аммінадавого сина.
Alitoa makisai mbili, kondoo waume watano, beberu watano na wanakondoo dume watano wenye umri wa mwaka mmoja mmoja, kama sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana wa Aminadabu.
18 Другого дня приніс Натанаїл, син Цуарів, начальник Іссаха́рів.
Siku ya pili, Nethanel mwana wa Zuari, kiongozi wa Isakari, alitoa sadaka yake.
19 Приніс він своє прино́шення: одна срібна миска, — сто й тридцять шеклів вага її, одна срібна кропи́льниця, — сімдесят шеклів на міру шеклем святині, обидві повні пшеничної муки, мішаної в оливі, на хлі́бну жертву.
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha ya uzito wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa sheli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Viyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa sadaka ya unga.
20 одна кадильниця, — десять шеклів золота, повна кадила,
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, iliyojaa ubani.
21 одне теля, один баран, одне однорічне ягня на цілопа́лення,
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo mmoja dume.
22 один козел на жертву за гріх,
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
23 а на мирну жертву — два воли, п'ять баранів, п'ять козлів, п'ять ягнят однорічних, — оце жертва Натанаїла, Цуарового сина.
Alitoa makisai wawili, Kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hiii likuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Zuari.
24 Третього дня — начальник Завулонових синів Еліяв, син Хелонів.
Siku ya tatu, Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa uzao wa Zabuloni alitoa sadaka yake.
25 Його жертва: одна срібна миска, — сто й тридцять шеклів вага її, одна срібна кропи́льниця, — сімдеся́т шеклів на міру шеклем святині, оби́дві повні пшеничної муки, мішаної в оливі, на хлібну жертву,
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. vyombo vyote hivi vilikuwa vimeja unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
26 одна кадильниця, — десять шеклів золота, повна кадила,
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
27 одне теля, один баран, одне однорічне ягня на цілопа́лення,
Alitoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja.
28 один козел на жертву за гріх,
Alitoa beberu mmoja kama sadaka ya dhambi.
29 а на мирну жертву — два воли, п'ять баранів, п'ять козлів, п'ять ягнят однорічних, — оце жертва Еліява, Хелонового сина.
Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja. kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana Heloni.
30 Четвертого дня — начальник Рувимових синів Еліцур, син Шедеурів.
Siku ya nne, Elizuri mwana wa shedeuri, kiongozi wa uzao wa Reubeni, alitoa sadaka yake.
31 Його жертва: одна срібна миска, — сто й тридцять шеклів вага її, одна срібна кропи́льниця, — сімдеся́т шеклів на міру шеклем святині, оби́дві повні пшеничної муки, мішаної в оливі, на хлібну жертву,
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
32 одна кади́льниця, — десять шеклів золота, повна кадила,
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichoo jaa ubani.
33 одне теля, один баран, одне однорічне ягня на цілопа́лення,
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, mwanakondoo dume mmoja mchanga wa mwaka mmoja.
34 один козел на жертву за гріх,
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
35 а на мирну жертву — два воли, п'ять баранів, п'ять козлів, п'ять ягнят однорічних, — оце жертва Еліцура, ІПедеурового сина.
Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Elizuri mwana wa Shedeuri.
36 П'ятого дня — начальник Симеонових синів Шелуміїл, син Цурішаддаїв.
Siku ya tano, Shelumieli mwana wa Zurishadai, kiongozi wa uzao wa Simeoni, alitoa sadaka yake.
37 Його жертва: одна срібна миска, — сто й тридцять шеклів вага її, одна срібна кропи́льниця, — сімдеся́т шеклів на міру шеклем святині, оби́дві повні пшеничної муки, мішаної в оливі, на хлібну жертву,
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekali 130 na bakuli mojala fedha lenye uzani wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
38 одна кади́льниця, — десять шеклів золота, повна кадила,
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, uliojaa ubani.
39 одне теля, один баран, одне однорічне ягня на цілопа́лення,
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, dume la kondoo, na dume la mwanakondoo la mwaka mmoja.
40 один козел на жертву за гріх,
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
41 а на мирну жертву — два воли, п'ять баранів, п'ять козлів, п'ять ягнят однорічних, — оце жертва Шелуміїла, Цурішаддаєвого сина.
Alitao maksai wawili, dume wawili wa kondoo, beberu watano, na dume watano wa wanakondoo wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka y amani. Hiindiyo iliyokuwa sadka ya Shelumei mwana wa Zurishadai.
42 Шо́стого дня — начальник Ґадових синів Ел'ясаф, син Деуїлів.
Siku ya sita, Eliasafu mwana wa Deuli, kiongozi wa uzao wa Gadi, alitoa sadaka yake.
43 Його жертва: одна срібна миска, — сто й тридцять шеклів вага її, одна срібна кропи́льниця, — сімдеся́т ше́клів на міру шеклем святині, оби́дві повні пшеничної муки, мішаної в оливі, на хлібну жертву,
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la shaba lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya sadaka ya unga.
44 одна кадильниця, — десять шеклів золота, повна кадила,
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
45 одне теля, один баран, одне однорічне ягня на цілопалення,
Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari changa, kondoo dume mmoja, na dume la mwanakondoo mmoja wa mwaka mmoja.
46 один козел на жертву за гріх,
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
47 а на мирну жертву — два воли, п'ять баранів, п'ять козлів, п'ять ягнят однорічних, — оце жертва Ел'ясафа, Деуїлового сина.
Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deuli.
48 Сьомого дня — начальник Єфремових синів Елішама, син Аммігудів.
Siku ya saba, Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa uzao wa Efraimu, alitoa sadaka yake.
49 Його жертва: одна срібна миска, — сто й тридцять шеклів вага її, одна срібна кропильниця, — сімдесят шеклів на міру шеклем святині, обидві повні пшеничної муки, мішаної в оливі, на хлібну жертву,
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
50 одна кадильниця, — десять шеклів золота, повна кадила,
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu, kilichojaa ubani
51 одне теля, один баран, одне однорічне ягня на цілопа́лення,
Alitoa sadaka ya kuteketezwa, fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
52 один козел на жертву за гріх,
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
53 а на ми́рну жертву — два воли, п'ять баранів, п'ять козлів, п'ять ягнят однорічних, — оце жертва Елішами, Аммігудового сина.
Alitoa maksai wawili, kondo dume watano, beberu watano, na na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sdaka ya Elishama mwana wa Amidu.
54 Во́сьмого дня — начальник синів Манасії, Гамаліїл, син Педоцурів.
Siku y a nane, Gamaliel mwana wa Pedazuri, kiongozi wa uzao wa Manase, alitoa sadaka yake.
55 Його жертва: одна срібна миска, — сто й тридцять шеклів вага її, одна срібна кропи́льниця, — сімдеся́т шеклів на міру шеклем святині, оби́дві повні пшеничної муки, мішаної в оливі, на хлібну жертву,
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
56 одна кадильниця, — десять шеклів золота, повна кадила,
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
57 одне теля, один баран, одне однорічне ягня на цілопа́лення,
Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
58 один козел на жертву за гріх,
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
59 а на мирну жертву — два воли, п'ять баранів, п'ять козлів, п'ять ягнят однорічних, — оце жертва Гамаліїла, Педоцурового сина.
Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Gamaliel mwana wa Pedazuri.
60 Дев'ятого дня — начальник Веніяминових синів Авідан, син Ґід'оніїв.
Siku ya tisa, Abidani mwana wa Gidioni, kiongozi wa uzao wa Benjamini, alitoa sadaka yake.
61 Його жертва: одна срібна миска, — сто й тридцять шеклів вага її, одна срібна кропи́льниця, — сімдеся́т шеклів на міру шеклем святині, оби́дві повні пшеничної муки, мішаної в оливі, на хлібну жертву,
Sadaka yake ilikuwa sahani moja yafedha yenye uzani wa sheli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
62 одна кадильниця, — десять шеклів золота, повна кадила,
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
63 одне теля, один баран, одне однорічне ягня на цілопалення,
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
64 один козел на жертву за гріх,
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
65 а на мирну жертву — два воли, п'ять баранів, п'ять козлів, п'ять ягнят однорічних, — оце жертва Авідана, Ґід'онієвого сина.
Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gidioni.
66 Десятого дня — начальник Данових синів Ахіезер, син Аммішаддаїв.
Siku ya kumi, Ahizeri mwana wa Amishadai kiongozi wa Dani alitoa sadaka yake.
67 Його жертва: одна срібна миска, — сто й тридцять шеклів вага її, одна срібна кропи́льниця, — сімдеся́т ше́клів на міру шеклем святині, оби́дві повні пшеничної муки, мішаної в оливі, на хлібну жертву,
Alitoa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
68 одна кадильниця, — десять шеклів золота, повна кадила,
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
69 одне теля, один баран, одне однорічне ягня на цілопа́лення,
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
70 один козел на жертву за гріх,
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
71 а на мирну жертву — два воли, п'ять баранів, п'ять козлів, п'ять ягнят однорічних, — оце жертва Ахіезера, Аммішаддаєвого сина.
Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja, kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahizeri mwana wa Amishadai.
72 Одина́дцятого дня — начальник Асирових синів Паґ'іїл, син Охранів.
Siku ya kumi na moja. Pagieli mwana wa Okrani kiongozi wa uzao wa Asheri alaitoa sadaka yake.
73 Його жертва: одна срібна миска, — сто й тридцять шеклів вага її, одна срібна кропи́льниця, — сімдеся́т шеклів на міру шеклем святині, оби́дві повні пшеничної муки, мішаної в оливі, на мучну жертву,
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabani, kwa kipimo cha shekeli ya mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
74 одна кадильниця, — десять шеклів золота, повна кадила,
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
75 одне теля, один баран, одне однорічне ягня на цілопа́лення,
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga. dume la kondoo moja, dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
76 один козел на жертву за гріх,
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
77 а на мирну жертву — два воли, п'ять баранів, п'ять козлів, п'ять ягнят однорічних, — оце жертва Паґ'іїла, Охранового сина.
Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.
78 Дванадцятого дня — начальник Нефталимових синів Ахіра, син Енанів.
Siku ya kumi na mbili., Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa uzao wa Naftali, alitoa sadaka yake.
79 Його жертва: одна срібна миска, — сто й тридцять шеклів вага її, одна срібна кропильниця, — сімдесят шеклів на міру шеклем святині, оби́дві повні пшеничної муки, мішаної в оливі, на мучну жертву,
Sadaka yake ailikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba ulichanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
80 одна кадильниця, — десять шеклів золота, повна кадила,
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
81 одне теля, один баран, одне однорічне ягня на цілопалення,
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na mwanakondoo dume moja wa mwaka mmoja.
82 один козел на жертву за гріх,
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
83 а на мирну жертву — два воли, п'ять баранів, п'ять козлів, п'ять ягнят однорічних, — оце жертва Ахіри, Енанового сина.
Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahra mwana wa Enani.
84 Оце обря́д освя́чення же́ртівника в дні його пома́зання, від Ізраїлевих начальників: срібних мисок дванадцять, срібних кропильниць дванадцять, золотих кадильниць дванадцять,
Viongozi wa Israeli waliviweka wakfu hivi vitu vyote siku ambayo Musa alimimina mafuta kwenye madhabahu. Waliziweka wakfu zile sahani kumi na mbili za fedha, Bakuli kumi na mbili za fedha, na vijiko kumi na vili vya dhahabu.
85 сто й тридцять шеклів одна срібна миска, і сімдеся́т одна кропильниця. Усе срібло посу́дин — дві тисячі й чотириста ше́клів на міру шеклем святині.
Zile sahani za fedha kila moja ilikuwa na uzani wa shaekeli 130 na kila bakuli ye fedha ilikuwa na uzani wa shekeli sabini. Vyombo vyote vya fedh vilikuwa na ujumla ya uzani wa shekeli 2, 400, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu.
86 Кадильниць золотих дванадцять, повні кадила, по десяти шеклів кадильниця на міру шеклем святині; усе золото кадильниць — сто й двадцять шеклів.
Vile vijiko vya dhahabu vilivyokuwa vimejaa ubani, vilikuwa na uzani wa shekeli kumi kila kimoja. Vijiko vyote vya dhahabu vilikuwa na uzani wa shekeli 120.
87 Уся велика худоба на цілопа́лення: дванадцять телят, баранів дванадцять, ягнят однорічних дванадцять, та жертва хлі́бна їх, і козлів дванадцять на жертву за гріх.
Waliwatenga wanyama wote kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, fahari kumi na wawili, kondoo dume kumi na wawili, na wanakondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja mmoja. Walitoa sadaka yao ya unga. Walitoa beberu kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi.
88 А вся худоба мирної жертви: двадцять і чотири теляті, баранів шістдесят, козлів шістдесят, ягнят однорічних шістдесят. Оце обря́д освя́чення жертівника по пома́занні його.
Kutokana na ng'ombe zao, walitoa fahari ishirini na nne, kondoo dume sitini beberu sitini, na wanakondoo dume sitini wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa kwa ajiliya kuiweka wafu ile madhabahu baada ya kumiminiwa mafuta.
89 А коли Мойсей входив до скинії заповіту, щоб говорити з Ним, то він чув голос, що говорив до нього з-понад віка, яке на ковчезі свідо́цтва, — з-поміж обо́х херувимів говорив Він до нього.
Musa alipoingia kwenye hema ya kukutania kusema na BWANA, ndipo alipoisikia sauti yake ikisema naye. BWANA alinena naye kutoka juu ya kiti cha rehema kilichokuwa juu ya sanduku la ushahidi, kutoka katikati ya makerubi. Alinena naye.

< Числа 7 >