< Числа 29 >

1 А сьомого місяця, першого дня місяця — святі збори будуть для вас, жодного робочого зайняття не будете робити, це буде для вас день су́рмлення.
Katika siku ya kwanza, ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Katika siku hiyo hamtafanya kazi zenu za kila siku. Itakuwa siku ya kupiga matarumbeta.
2 І спорядите́ цілопа́лення на пахощі любі для Господа: бичка, молоде з великої худоби, одного, барана одного, однорічні ягнята, — семеро безвадних.
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ya kufanya harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja na wanakondoo dume saba wa mwaka mmoja, kila mmoja mkamilifu.
3 А їхня хлібна жертва: пшенична мука, мішана в оливі, три десяті ефи для бичка, дві десяті для барана,
Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya huyo fahari, sehemu mbili za kumi kwa ajili ya huyo kondoo mume,
4 і одна десята для одного ягняти, так для семи ягнят,
na sehemu ya kumi ya kila hao wanakondoo waume saba.
5 і один козел, жертва за гріх, на очищення вас,
Na mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
6 окрім новомі́сячного цілопа́лення й хлібної його жертви та цілопалення сталого, і хлібної його жертви та їхніх литих же́ртов за їхньою постановою, на любі пахощі, огняна́ жертва для Господа.
Toeni hizo sadaka katika mwezi wa saba kama nyongeza ya sadaka mtakazotoa kila mwanzo wa kila mwezi: pamoja na sadaka maalumu za kuteketezwa na sadaka za unga. Hizi zitakuwa nyongeza za sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji. Utakapokuwa ukiendelea na sadaka hizi, utakuwa ukitii kile kilichoamriwa kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa BWANA.
7 А десятого дня того сьомого місяця будуть для вас святі збори, — і будете впокоря́ти свої душі, жодного зайняття не будете робити.
Siku ya kumi ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Mtajinyeneyekeza na hamtafanya kazi.
8 І принесете цілопа́лення для Господа, любі пахощі: бичка, молоде з великої худоби, одного, барана одного, однорічних ягнят — семеро, безвадні будуть у вас.
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja mchanga ili kutoa harufu nzuri, kondoo mmoja mume, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
9 А їхня хлібна жертва: пшенична мука, мішана в оливі, три десяті ефи для бичка, дві десяті для одного барана,
Pamoja na sadaka hizo utatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya fahari, sehemu mbili za kumi za kondoo dume mmoja,
10 по десятій для одного ягняти, так для семи ягнят.
na sehemu ya kumi ya efa moja kwa kila mwanakondoo wale saba.
11 Козел один, жертва за гріх, окрім жертви за гріх очищення й сталого цілопа́лення, і його жертви хлібної та їхніх литих жертов.
Mtatatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya upatanisho. Hii itakuwa sadaka ya nyongeza ya upatanisho, ya sadaka ya kila siku ya kuteketezwa, pamoja na sadaka za unga, na sadaka zake za vinywaji.
12 А п'ятнадцятого дня сьомого місяця будуть для вас святі збори, — жодного робочого заняття не будете робити, і будете святкува́ти сім день для Господа.
Siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu lakumwabudu BWANA. Siku hiyo hamtafanya kazi za kila siku, na mtazitunza hizo sikukuu kwa muda wa siku saba kwa ajili ya BWANA.
13 І принесете цілопа́лення, огняну́ жертву, пахощі любі для Господа: бички, молоде з великої худоби, — трина́дцятеро, барани — два, однорічних ягнят — чотирна́дцятеро, безвадні будуть вони.
Mtatoa sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ilikutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa mafahari wachanga kumi na tatu, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
14 А хлібна їхня жертва: пшенична мука, мішана в оливі, три десяті ефи для кожного з тринадцяти́ бичків, дві десяті для одного барана́, для двох баранів,
Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembaba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa kila fahari katika hao kumi na tatu, sehemu mbili za kumi kwa kila hao kondoo dume wawili,
15 і по десятій для кожного з чотирнадцяти́ ягнят,
na sehemu ya kumi ya efa ya hao wanakondoo kumi na nne.
16 і один козел, жертва за гріх, окрім сталого цілопа́лення, його хлібної жертви та його жертви литої.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa, sadaka yake ya unga, pamoja na sadaka za vinywaji.
17 А другого дня: бички́, молоде з великої худоби, — двана́дцятеро, барани́ — два, однорічні ягнята — чотирна́дцятеро, безвадні.
Siku ya pili ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi na mbili, kondoo dume wawili na wanakondoo dume kumi na mbili wa umri wa mwaka mmoja, wote wakamilifu.
18 А хлібна їхня жертва та їхні литі жертви для бичкі́в, для барані́в і для ягнят — за числом їх, за постановою.
Pamoja nao mtatoa sadaka ya unga, na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na kwa ajili ya wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilvyoamriwa.
19 І козел один, жертва за гріх, окрім сталого цілопа́лення й хлібної його жертви та їхніх литих же́ртов.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kila siku, sadaka yake ya unga, na sadaka zake za vinywaji.
20 А третього дня: бички — одина́дцятеро, барани́ — два, однорічні ягнята — чотирна́дцятеро, безвадні.
Siku ya tatu ya kusanyiko, mtatoa sadaka mafahari kumi na moja, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
21 А хлібна їхня жертва та їхні литі жертви для бичків, для баранів і для ягнят — за числом їх, за постановою.
Pamoja na hizo sadaka mtatoa sadaka ya unga na sdaka ya vinywaji kwa wale mafahari, kwa wale kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, utoe sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
22 І козел жертви за гріх один, окрім сталого цілопа́лення й його хлібної жертви та його литої жертви.
Mtatoa sadaka beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya zile sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
23 А четвертого дня: бички́ — десятеро, барани́ — два, однорічні ягнята — чотирна́дцятеро, безвадні.
Siku ya nne ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
24 Хлібна їхня жертва та їхні литі жертви для бичків, для баранів і для ягнят — за числом їх, за постановою.
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sdaka za vinywaji kwa wale mafahari, na kwa wale kondoo dume na kwa wale wanakodoo, mtatoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
25 І козел один, жертва за гріх, окрім сталого цілопа́лення їхньої хлібної жертви та їхньої литої жертви.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji
26 А п'ятого дня: бички — дев'ятеро, барани — два, однорічні ягнята — чотирнадцятеро, безвадні.
Siku ya tano ya kusanyiko, mtatoa mafahari tisa, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
27 А хлібна їхня жертва та їхні литі жертви для бичків, для баранів і для ягнят — за числом їх, за постановою.
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na wale wanakondoo, mkitoa sdaka nyingi kama ilivyoamriwa.
28 І козел жертви за гріх один, окрім сталого цілопа́лення та його хлібної жертви та його литої жертви.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka za vinywaji.
29 А шостого дня: бички — восьмеро, барани — двоє, однорічні ягнята — чотирна́дцятеро, безвадні.
Siku ya sita ya kusanyiko, mtatoa mafahari wanane, kondoo dume wawili, na wanakondoo kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
30 А хлібна їхня жертва та їхні литі жертви для бичків, для баранів і для ягнят — за числом їх за постановою.
Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga nasadaka za vinywaji kwa wale mafahari, kondoo wa dume na wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
31 І козел жертви за гріх один, окрім сталого цілопа́лення його хлібної жертви та його литих жертов.
Mtatoa beberu kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku za kuteketezwa, sadaka zadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
32 А сьомого дня: бички́ — семеро, барани — двоє, однорічні ягнята — чотирнадцятеро, безвадні.
Siku ya saba ya kusanyiko, mtatoa mafahari saba, kondoo dume saba, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
33 А хлібна їхня жертва та їхні литі жертви для бичків, для баранів і для ягнят — за числом їх, за постановою.
Pamoja nao mtataengeneza sadaka ya unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, na kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
34 І козел жертви за гріх один, окрім сталого цілопа́лення його хлібної жертви та його литої жертви.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa ya kila siku, na sadaka yake ya unga, na sadaka yake ya vinywaji.
35 А восьмого дня буде для вас віддання́ свята, — жодного робочого зайняття не будете робити.
Siku ya nane mtakuwa na kusanyiko lingine makini. Hamtafanya kazi zenu za kila siku.
36 І принесете цілопа́лення, огняну́ жертву, пахощі любі для Господа: бичка́ — одного, барана́ — одного, однорічних ягнят — семеро, безвадні.
Mtafanya sadaka za kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja, kondoo mmoja dume, na wanakondoo saba dume wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
37 Хлібна їхня жертва та їхні литі жертви для бичка, для барана й для ягнят — за числом їх, за постановою.
Mtatoa sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji kwa ajili ya yule fahari, kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkifanya sadaka nyingi kadri ilivyoamriwa.
38 І козел жертви за гріх один, окрім сталого цілопалення та його хлібної жертви та його литої жертви.
Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
39 Оце принесете для Господа в ваші свята, окрім ваших обітниць та ваших да́рів, для ваших цілопа́лень, і для ваших хлібних же́ртов, і для ваших литих жертов, і для ваших жертов мирних“.
Hivi ndivyo utakavyotoa sadaka kwa BWANA katika sikukuu zenu za kila mwaka. Hivi vitakuwa nyongeza ya viapo vyenu na sadaka zenu za hiari. Mtavitoa hivi kama sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za unga, sadaka za vinywaji, na sadaka za amani.”
40 І Мойсей сказав Ізраїлевим синам усе так, як Господь наказав Мойсеєві.
Musa aliwaambia wana wa Israeli kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwamuru kusema.

< Числа 29 >