< Йов 11 >

1 І заговорив наама́тянин Цофа́р та й сказав:
Ndipo Sofari Mnaamathi alijibu na kusema,
2 „Чи має зоста́тись без відповіді бе́зліч слів? І хіба язика́та люди́на невинною буде?
“Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa? Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?
3 Чи мужі замо́вчать твої тереве́ні, й не бу́де кому засоро́мити тебе?
Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?
4 Ось гово́риш ти: „Чисте моє міркува́ння, і я чистий в оча́х Твоїх, Боже!“
Kwa kuwa wewe unasema kwa Mungu, 'Imani yangu ni safi, Mimi sina waa lolote machoni pako.'
5 О, коли б говорити став Бог, і відкрив Свої уста до те́бе,
Lakini, laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;
6 і представив тобі таємни́ці премудрости, бо вони — як ті чу́да розду́мування! І знай, — вимагає Бог менше від тебе, ніж провини твої того варті!
hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima! Kwa kuwa yeye ni mkuu katika ufahamu. Tena tambua huyo Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.
7 Чи ти Божу глибі́нь досліди́ш, чи знаєш ти аж до кінця Всемогу́тнього?
Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu?
8 Вона вища від неба, — що зможеш зробити? І глибша вона за шео́л, — як пізна́єш її? (Sheol h7585)
Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
9 її міра — довша за землю, і ширша за море вона!
Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.
10 Якщо Він пере́йде й замкне́ щось, і згрома́дить, — то хто заборо́нить Йому?
kama yeye akipita kati na kumyamazisha mtu yeyote, kama yeye akimwita mtu yeyote hukumuni, tena ni nani anayeweza kumzuia yeye?
11 Бо Він знає нікче́мності лю́дські та бачить насилля, — і Він не догля́не?
Kwa maana anawajua watu waongo; wakati anapoona uovu, hawezi yeye kuukumbuka?
12 Тож люди́на порожня мудрішає, хоч народжується, як те дике осля́!
Lakini watu wapumbavu hawana ufahamu; wataupata wakati punda mwitu atakapozaa mtu.
13 Якщо ти зміцни́ш своє серце, і свої ру́ки до Нього простя́гнеш, —
Lakini ikiwa umeuelekeza moyo wako kwa haki na umeunyosha mkono wako karibu na Mungu;
14 якщо є беззако́ння в руці твоїй, то прожени́ ти його, і кривда в наме́тах твоїх нехай не пробува́є, —
ikiwa huo uovu ulikuwa katika mikono yako, lakini hivyo tena unauweka mbali nawe, na haukuruhusu kutokuwa mwenye haki kukaa hemani mwako.
15 тож тоді ти піді́ймеш обличчя невинне своє, і бу́деш міцни́й, і не будеш боятись!
Ndipo kwa hakika ungeinua juu uso wako bila ishara ya aibu; Ni dhahiri, ungethibitika na usingeogopa.
16 Бо забудеш стражда́ння, — про них будеш зга́дувати, як про воду, яка пропливла́.
Wewe ungesahau mateso yako; ungeyakumbuka hayo tu kama maji ambayo yametiririka mbali.
17 Від пі́вдня повстане життя, а те́мрява буде, як ра́нок.
Maisha yako yangekuwa angavu kuliko adhuhuri; japokuwa kulikuwa na giza, litakuwa kama asubuhi.
18 І будеш ти певний, бо маєш наді́ю, і ви́копаєш собі яму та й будеш безпе́чно лежати, —
Ungekuwa salama kwa sababu kuna tumaini; ni dhahiri, wewe utapata usalama juu yako na utachukua pumziko lako katika usalama.
19 і будеш лежати, й ніхто не споло́шить, і багато-хто будуть підле́щуватися до обличчя твого́.
Pia ungelala chini katika pumziko, na hakuna ambaye angekufanya wewe uogope; hakika wengi wangetafuta upendeleo wako.
20 А очі безбожних мину́ться, і згине приту́лок у них, а їхня наді́я — то сто́гін душі!“
Lakini macho ya watu waovu yatashindwa; hawatakuwa na njia ya kukimbia; tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.

< Йов 11 >