< Авакум 3 >

1 Молитва пророка Авакума, для співу на струнному при́ладі:
Maombi ya Habakuki nabii:
2 „Господи, зві́стку Твою я почув та й злякався! Господи, оживи Своє ді́ло в сере́дині років, у сере́дині літ об'яви́, у гніві про милість згада́й!
Yahwe, nimesikia taarifa zako, na mimi naogopa. Yahwe, fufua kazi yako katikati wakati; katikati ya muda huu; fanya hiyo ijulikane; kumbuka kuwa na rehema katika ghadhabu yako.
3 Бог іде від Теману, і Святий від Парану гори. (Се́ла) Ве́лич Його́ вкрила небо, і слави Його́ стала повна земля!
Mungu alikuja kutoka Temani, na yule Mtakatifu kutoka Parani. (Sela) Utukufu wake umezifunika mbingu, na dunia ilikuwa imejaa utukufu wake.
4 А сяйво було́, наче со́няшне світло, промі́ння при боці у Нього, і там укриття́ Його поту́ги.
Miali miwili ya mikono yake ilikuwa iking'aa kama mwanga, ambapo uweza wake ulifichwa.
5 Перед обличчям Його́ морови́ця іде, а по сто́пах Його пнеться по́лум'я.
Ugonjwa wa kuua ulitangulia mbele yake, na adha iliifuta miguu yake.
6 Став, — і землю Він змі́ряв, поглянув — і наро́ди затряс, — і попа́дали го́ри дові́чні, вікові́ похили́лись узгі́р'я. Путі Його вічні.
Yeye alisimama na akaipima nchi; aliangalia na aliyatikisa mataifa. Hata milima ya milele iliharibiwa kabisa, na vilima vya milele vilianguka chini. Njia yake ni ya milele.
7 Я бачив наме́ти Куша́на під кривдою, тремтять покрива́ла мідія́нського кра́ю.
Niliona mahema ya Wakushi katika mateso, na vitambaa vya mahema katika Midiani vinatetema.
8 Чи на рі́ки, о Господи, Ти запала́в, чи на рі́ки Твій гнів? Чи Твоє пересе́рдя на море, що їздиш на ко́нях Своїх, на спасе́нних Своїх колесни́цях?
Yahwe alikuwa na hasira pale mtoni? Ghadhabu yako ilikuwa dhidi ya mito, au hasira yako dhidi ya bahari, unapopanda juu ya farasi wenye mikokoteni na wa ushindi wako?
9 Лук твій голий, наги́й, напо́внений стріл сагайда́к. (Се́ла) Ти рі́чками землю розсі́к.
Umeleta upinde wako bila mfuniko; unaweka mishale kwenye upinde wako! (Sela) uliigawa nchi na mito.
10 Тебе вгледівши, го́ри дрижали, водяна́ течія́ потекла́, безо́дня свій голос дала́, зняла ви́соко руки свої.
Milima ilikuona wewe na kugeuka kwa huzuni. Maji yaliyomwagwa chini yalipita juu yao; kina cha bahari kilipaza sauti. Mawimbi yake yakainuka juu.
11 Сонце й місяць спини́лися в мешка́нні своє́му при світлі Твоїх стріл, що літають при ся́йві блискучого спи́са Твого́.
Jua na mwezi vilisimama imara juu mahali pake katika mwanga wa mishale yako na ilipaa, pale katika uangavu wa mwanga wa mikuki yako.
12 У лю́ті ступав Ти землею, у гніві людей молоти́в.
Umetembea juu ya nchi kwa uchungu. Katika ghadhabu umepukuchua mataifa.
13 Ти вийшов спасти Свій наро́д, спасти Помазанця Свого́. Ти з дому безбожного го́лову збив, обнажи́в Ти основу по шию. (Се́ла)
Ulikwenda nje kwaajili ya wokovu wa watu wako, Kwaajili ya wokovu wa mteule wako. Wewe pondaponda kichwa cha nyumba ya mwovu kuweka wazi msingi wa shingo. (Sela)
14 Ти пробив його спи́сами го́лову кня́зя його́, як вони підняли́сь, щоб мене розпоро́шити; вони ті́шилися, немов мали поже́рти тає́мно убогого.
Umekichoma kichwa cha wapiganaji wake kwa mshale wake mwenyewe sababu walikuja kama upepo kututawanya sisi, wivu wao ulikuwa kama mtu ambaye anamteketeza masikini katika mahali pamaficho.
15 Ти кі́ньми Своїми по мо́рю топта́в, по во́дній великій грома́ді.
Umesafiri juu ya bahari kwa farasi wako, na kuyapita maji makuu.
16 Я почув — і затремтіла утро́ба моя, задзвені́ли на голос цей гу́би мої, гнили́зна ввійшла́ в мої ко́сті, і тремчу́ я на місці своїм, бо маю чекати в споко́ї день у́тиску, коли при́йде наро́д, який має на вас наступа́ти.
Nilisikia, na ndani yangu nilitetemeka! midomo yangu ilitetemesha sauti. Uozo unakuja katika mifupa yangu, na chini yangu mwenyewe nilitetemeka kama nasubiri kwaajili ya siku ya kuhuzunisha ifike juu ya watu waliotushambulia sisi.
17 Коли б фі́ґове дерево не зацвіло́, і не було́ б урожа́ю в виноградниках, обмани́ло зайня́ття оливкою, а поле ї́жі не вродило б, позникала отара з коша́ри і не стало б в обо́рах худоби, —
Ingawa mtini hauchipui na hauzai kutokana na mzababibu; na ingawa kuzaa kwa mti wa mzaituni hakuridhishi na mashamba hayatoi chakula; na ingawa kundi mifugo limetoweka na hakuna ng'ombe katika zizi, hiki ndicho nitakacho kifanya.
18 то я Го́сподом ті́шитись буду й тоді́, раді́тиму Богом спасі́ння свого́!
Bado, nitafurahia katika Yahwe. Nitakuwa nafuraha kwa sababu ya Mungu wa wokovu wangu.
19 Бог Госпо́дь — моя сила, і чи́нить Він но́ги мої, як у ла́ні, і во́дить мене по висо́тах!“Для дириґента хору на моїх стру́нних знаря́ддях.
Bwana Yahwe ni nguvu yangu na anaifanya miguu yangu kama ya kulungu. Ananifanya mimi niende mbele mahali pangu pa juu. - kufuata maelekezo ya muziki, katika vyombo vyangu vya nyuzi.

< Авакум 3 >