< Єзекіїль 34 >

1 І було мені слово Господнє таке:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 „Сину лю́дський, пророкуй на Ізраїлевих па́стирів, пророкуй та й скажеш до них, до тих па́стирів: Так говорить Господь Бог: Горе Ізраїлевим па́стирям, які пасу́ть самих себе! Хіба ж не ота́ру повинні па́сти па́стирі?
“Mwanadamu, tabiri dhidi ya wachungaji wa Israeli. Toa unabii na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi kwa wachungaji: Ole kwa wachungaji wa Israeli wanaojilisha wenyewe. Je! wachungaji hawapaswi kulilinda kundi?
3 Жир ви їсте, та вовну вдяга́єте, ситу вівцю ріжете, але отари не пасе́те!
Mnakula mafungu yaliyonona na mnavaa sufu. Mnawachinja walionona. Hamkuwalisha siku zote.
4 Слаби́х не зміцняєте, а хворої не лікуєте, і пора́неної не перев'язуєте, споло́шеної не вертаєте, і заги́нулої не шукаєте, але пануєте над ними силою та жорсто́кістю!
Hamkuwatia nguvu wagonjwa, wala hamkuwaponya wenye maradhi. Hamkuwafungua wale waliovunjika, hamkuwarudisha waliofukuzwa au kuwatafuta waliopotea. Badala yake, mmetawala juu yao kwa nguvu na vurugu.
5 І порозпоро́шувалися вони з браку па́стиря, і стали за ї́жу для всякої польово́ї звірини́, і порозбіга́лися.
Kisha walikuwa wametawanyika bila mchungaji, na wakawa chakula kwa wanyama wote waishio katika mashamba, walipokuwa wametawanyika.
6 Блукає ота́ра Моя по всіх го́рах та по всіх високих згі́р'ях, і по всій широкій землі розпоро́шена ота́ра Моя, і немає ніко́го, хто турбува́вся б про них, і немає ніко́го, хто б їх шукав!
Kundi langu limetawanyika juu ya milima yote na juu ya kilima kirefu, na limetawanyika juu ya uso wote wa dunia. Wala hakuna anayewatafua.
7 Тому, па́стирі, послухайте слова Господнього:
Kwa hiyo, wachungaji, sikilizeni neno la Yahwe:
8 Як живий Я, говорить Господь Бог, — за те, що ота́ра Моя поли́шена на здо́бич, і стала ота́ра Моя за їжу для всякої польово́ї звірини́ через брак па́стиря, і па́стирі Мої не шукають Моєї отари, а себе самих пасу́ть па́стирі Мої, а отари Моєї не пасу́ть,
Kama niishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-kwa sababu kundi langu limekuwa mateka na chakula kwa ajili ya wanyama katika mashamba, kwa sababu hapakuwa na mchungaji yeyote, lakini wachungaji walijilisha wenyewe na hawakulisha kundi langu.
9 тому́, па́стирі, послухайте слова Господнього:
Kwa hiyo, wachungaji, lisikilizeni neno la Yahwe:
10 Так говорить Господь Бог: Ось Я на тих па́стирів, і зажадаю з їхньої руки отари Моєї, і відірву́ їх від пасі́ння отари, і ті па́стирі не будуть уже па́сти сами́х себе, й Я врятую Свою отару з їхніх уст, і вони не будуть їм за ї́жу.
Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu ya wachungaji, na nitalitaka kundi langu kutoka mkononi mwake. Kisha nitawaachisha kutoka kulichunga kundi; wala wachungaji hawatajilisha wenyewe tena kwa kuwa nitaliondoa kundi langu kutoka midomoni mwao, ili kwamba kundi langu lisiwe chakula kwa ajili yao tena.
11 Бо так Господь Бог промовляє: Ось Я Сам, і зажадаю отару Мою, і перегля́ну їх.
Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! mimi mwenyewe nitawatafuta kondoo wangu na kuwaulizia,
12 Як пастух перегляда́є своє ста́до того дня, коли він серед своєї розпоро́шеної отари, так Я перегля́ну отару Свою, і вирятую їх зо всіх тих місць, куди вони були розпоро́шені за хма́рного та імли́стого дня.
kama mchungaji atafutaye kundi lake juu ya siku hiyo yupo ndani ya kundi lake lililotawanyika. Hivyo nitalitafuta kundi langu, na nitalichunga kutoka sehemu lilipokuwa limetawanyika siku ya mawingu na giza.
13 І ви́проваджу їх від народів, і позбираю їх із країв, і приведу́ їх до їхньої землі, і бу́ду їх па́сти на Ізраїлевих гора́х, при рі́чищах та по всіх осе́лях кра́ю.
Kisha nitalileta kutoka miongoni mwa watu; nitalikusanya kutoka nchi mbali mbali na kulileta kwenye nchi yao. Nitaliweka kwenye malisho juu ya pande za milima ya Israeli, karibu na vijito, na katika kila makazi katika nchi.
14 На пасови́щі доброму па́стиму їх, і на високих Ізраїлевих гора́х буде їхній ви́пас, — там вони будуть лежати на ви́пасі доброму, і випаса́тимуть сите пасови́ще на Ізраїлевих гора́х!
Nitawaweka kwenye malisho mema; juu ya milima ya Israeli itakuwa sehemu za malisho yao. Watalala chini huko katika sehemu nzuri kwa ajili ya malisho, katika malisho mengi, na watalisha juu ya milima ya Israeli.
15 Я буду па́сти отару Свою, і Я їх покладу́ на спочи́нок, говорить Господь Бог.
Mimi mwenyewe nitachunga kondoo wangu, na mimi mwenyewe nitawalaza chini-hivi ndivyo Bwana Yahwe
16 Загинулу вівцю́ відшукаю, а споло́шену поверну́, а пора́нену перев'яжу́, а хвору зміцню́, а ситу та сильну погублю́, — буду па́сти її правосуддям!
asemavyo-Nitawatafuta waliopotea nitawarudisha waliofukuzwa. Nitawafunga waliovunjika na kuwaponya kondoo waliougua lakini wanene na wenye nguvu nitawaharibu. Nitawalisha kwa haki.
17 А ви, ота́ро Моя, так говорить Господь Бог: Ось Я бу́ду судити між вівце́ю й вівцею, між барано́м і козла́ми.
Hivyo sasa ninyi, kundi langu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-tazama, nitakuwa hakimu kati ya kondoo na kondoo na kati ya kondoo dume na mbuzi dume.
18 Чи мало вам того, що ви спа́суєте хороше пасови́ще, а решту ваших пасови́щ ви то́пчете своїми ногами? І воду чисту ви п'єте́, а позосталу ногами своїми каламу́тите?
Je! haitoshi kulisha juu ya malisho mazuri, ambayo mtayakanyaga chini kwa miguu yenu kile kilichobakia kwenye malisho; na kunywa kutoka maji masafi, ambayo hakuna budi kuikanyaga mito kwa miguu yenu?
19 І отара Моя мусить випаса́ти пото́птане вашими нога́ми, і пити скаламу́чене вашими ногами!
Kondoo zangu zitakula kile mlichokanyagwa kwa miguu yenu, na kunywa maji yale mliyoyakanyaga kwa miguu yenu?
20 Тому так Господь Бог промовляє до них: Ось Я Сам і розсуджу́ між вівце́ю ситою й між вівцею худою.
Kwa hiyo Bwana Yahwe anawaambia hivi; Tazama! Mimi mwenyewe nitahukumu kati ya wanene na waliokonda,
21 За те, що ви бо́ком і раме́ном попиха́єте, і рога́ми вашими ко́лете всіх слаби́х, аж поки не порозпоро́шуєте їх геть,
Kwa kuwa mmewasukuma kwa ubavu wenu na mabega, na kuwapiga kwa pembe wadhaifu wote kwa pembe zenu hadi mtakapowatawanya mbali kutoka kwenye nchi.
22 то Я спасу́ отару Свою, і вона не буде вже за здо́бич, і Я розсуджу́ між вівцею та вівцею!
Nitaliokoa kundi langu na hawatakuwa mateka tena, na nitahukumu kati ya kondoo mmoja na mwingine!
23 І поставлю над ними одно́го па́стиря, і він буде їх па́сти, — раба Мого Давида, він їх буде па́сти, і він їм буде за па́стиря!
Nitaweka juu yao mchungaji mmoja, mtumishi wangu Daudi. Atawachunga, atawalisha, na atakuwa mchungaji wao.
24 А Я, Господь, буду їм Богом, а раб Мій Давид — кня́зем серед них. Я, Господь, це сказав!
Kwa kuwa mimi, Yahwe, nitakuwa Mungu wao, na mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu kati yao-mimi, Yahwe, nimesema hivi.
25 І складу́ Я з ними заповіта миру, і прикінчу́ на землі злу звірину́, і вони пробува́тимуть в пустині безпечно, і будуть спати по ліса́х.
Kisha nitafanya agano la amani pamoja nao na kuwaondoa wanyama waovu kutoka kwenye nchi, ili kwamba waishi salama katika jangwa na walale salama katika misitu.
26 І вчиню́ їх та довкі́лля Мого взгір'я благослове́нням, і спущу́ дощ в його ча́сі, — будуть це дощі благослове́нні.
Pia nitaleta baraka juu yao na juu ya maeneo yazungukao kilima changu, kwa kuwa nitaleta manyunyu kwa wakati wake. Haya yatakuwa manyunyu ya baraka.
27 І польове́ де́рево видасть свій плід, а земля видасть свій урожай, і будуть вони безпечні на своїй землі, і пізнають, що Я — Господь, коли зламаю зано́зи їхнього ярма́, і врятую їх від руки тих, хто їх понево́лив.
Kisha miti ya shambani itazaa matunda yake, na dunia itashindwa kuzaa matunda yake. Kondoo wangu watakuwa salama katika nchi yao; kisha watajua ya kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakazipovunja fito za kongwa zao, na wakati nitakapowalinda kutoka kwenye mkono wa wale walio watumikisha.
28 І не бу́дуть уже вони за здо́бич для наро́дів, і звірина́ зе́мна не же́ртиме їх, і бу́дуть вони сидіти безпе́чно, і не буде ніко́го, хто б їх настраши́в.
Hawatakuwa mateka tena kwa mataifa, na wanyama pori juu ya dunia hawatawameza tena. Kwa kuwa wataishi salama na wala hakuna mtu atakayewatia hofu.
29 І ви́кохаю їм саджанця́ на славу, і не будуть вони вже за́брані голодом із землі, і не понесу́ть уже га́ньби наро́дів.
Kwa kuwa nitatengeneza sehemu ya kulimia nzuri kwa ajili yao hivyo hawataangamia kwa njaa katika nchi, na mataifa hayataleta matukano juu ya yao.
30 І пізнають вони, що Я — Госпо́дь, Бог їхній, з ними, а вони — наро́д Мій, дім Ізраїлів, говорить Господь Бог.
Kisha watajua kwamba mimi, Yahwe Mungu wao, niko pamoja nao. Ni watu wangu, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo Bwana Mungu asemavyo.
31 А ви — ота́ра Моя, отара Мого пасови́ська, ви — лю́ди, а Я — Бог ваш, говорить Господь Бог“.
Kwa kuwa ninyi ni kondoo wangu, kundi la malisho yangu, na watu wangu, na mimi ni Mungu wenu-hivi ndivyo Bwana Mungu asemavyo.”

< Єзекіїль 34 >