< Єзекіїль 1 >

1 І сталося тридцятого року, четвертого місяця, п'ятого дня місяця, коли я був серед полоне́них над річкою Кева́р, відкри́лося небо, і побачив я Божі виді́ння.
Katika mwaka wa thelathini, mwezi wa nne, na siku ya tano ya mwezi, ikawa kuhusu kwamba nilikuwa nikiishi miongoni mwa wafungwa karibu na Kebari Kanali. Mbingu zilifunguka, na kuona maono ya Mungu.
2 П'ятого дня місяця, — це п'ятий рік поло́ну царя Єгояки́ма, —
Katika siku ya tano katika mwezi huo-ilikuwa mwaka wa tano wa utumwani wa Mfalme Yehoyakini-
3 сталося Господнє слово до Єзекіїля, сина Бузі́, священика, у халдейському кра́ї над річкою Кева́р, і була там над ним Господня рука.
Neno la Yahwe likamjia Ezekieli mwana wa Buzi kuhani, katika nchi ya Wakaldayo karibu na Keberi Kanali, na mkono wa Yahwe ulikuwa juu yake hapo.
4 І побачив я, аж ось бурхли́вий вітер насува́в із пі́вночі, велика хмара та палю́чий огонь; а навколо неї — ся́йво, а з сере́дини його — ніби блискуча мідь, з-посеред огню.
Kisha nikaona, kulikuwa na upepo wa dhoruba unakuja kutoka kaskazini; wingu kubwa pamoja na moto wa nuru ndani yake na kung'aa ukizunguka ndani yake, na moto ulikuwa na rangi ya kaharabu ndani ya hilo wingu.
5 А з сере́дини його — подоба чотирьох живих істо́т, а оце їхній вид: вони мали подобу люди́ни.
Katikati kulikuwa na viumbe vinne vinavyofanana. Mwonekano wao ulikuwa hivi: walikuwa wanamfanano wa mtu,
6 І кожна мала чотири обли́ччі, і кожна з них мала чотири крилі́.
lakini walikuwa na sura nne kila mmoja, na kila mmoja alikuwa na mabawa manne.
7 А їхня нога — нога про́ста, а стопа́ їхньої ноги — як стопа телячої ноги, і вони ся́яли, як ніби блискуча мідь.
Miguu yao ilikuwa imenyooka, lakini nyayo za miguu yao zilikuwa kama kwato za ndama zilizokuwa zinang'aa kama shaba iliyosuguliwa.
8 А під їхніми кри́лами були лю́дські руки на чотирьох сторона́х їхніх, і вони четверо мали свої обличчя та свої кри́ла.
Bado walikuwa na mikono ya binadamu chini ya mabawa yao chini kwenye pande zote nne. Kwa wote wanne, nyuso zao na mabawa vilikuwa hivi:
9 Їхні кри́ла приляга́ли одне до о́дного, не оберта́лися в ході своїй, — кожне ходило просто наперед себе.
mabawa yao yalikuwa yameungana na kiumbe kingine, na hawakurudi walipokuwa wameenda; badala yake, kila mmoja alienda mbele.
10 А подо́ба їхнього обличчя — обличчя люди́ни та обличчя лева мали вони четверо з прави́ці, а обличчя вола мали вони четверо з ліви́ці, і обличчя орла мали вони четверо.
Mfanano wa nyuso zao ulikuwa kama uso wa mwanadamu. Wanne hao walikuwa na uso wa simba kwa upande wa kuume. Hao wanne pia walikuwa na uso wa tai.
11 А їхні обличчя та їхні кри́ла були розді́лені вгорі́; у кожного двоє крил злучувалнся одне з о́дним, і двоє закривали їхнє тіло.
Nyuso zao zilikuwa hivyo, na mabawa yao yalikuwa yametawanyika juu, hivyo basi kila kiumbe kilikuwa na jozi ya za mabawa yaliyokuwa yameshikamana na bawa la kiumbe kingine, na pia jozi za mabawa yaliyokuwa yamefunika miili yao.
12 І кожна ходила просто перед себе. Туди, куди бажа́в дух ходити, вони йшли, не оберта́лися в ході своїй.
Kila mmoja alienda mbele, hivyo basi popote Roho alipowaelekeza kwanda, walienda bila kurudi.
13 А подоба тих істо́т була на вид вугі́лля з огню, вони палали на вигляд смолоски́пів; той огонь прохо́джувався поміж істо́тами. І огонь мав сяйво, і з огню вихо́дила бли́скавка.
Kama kwa mfanano wa hao viumbe hai, mwonekano wao ulikuwa ni kama kuchoma kaa la moto, kama mwonekano wa nuru; mng'ao wa moto pia ulihama karibu na miongoni mwa viumbe, na kulikuwa na nuru za radi.
14 І ті живі істо́ти бігали й верталися, немов бли́скавка.
Hao viumbe hai vilikuwa vikihama mbio mbele na nyuma, na walikuwa na mwonekano wa radi!
15 І придивився я до тих істот, аж ось по одно́му колесі на землі при тих живих істотах, при чотирьох їхніх обличчях.
Kisha nikawatazama wale viumbe hai; kulikuwa na gurudumu moja juu ya aridhi kando ya vile viumbe hai.
16 Вид тих коле́с та їхній ви́ріб — як вигляд хризолі́ту, й одна подоба їм чотирьом, а їхній вид та їхній виріб — ніби ко́лесо в колесі.
Huu ndio ulikuwa mwonekano na umbo wa hizo gurudumu: kila gurudumu lilikuwa kama zabarajadi, na manne hayo yalikuwa na mfano mmoja; mwonekano wao na umbo vilikuwa kama gurudumu lililoungana na jingine.
17 Вони ходили в ході своїй на чотири бо́ки, не оберта́лися в ході́ своїй.
Wakati yale magurudumu yalipokuwa yakitembea, yalienda bila kurudi kwenye mwelekeo wowote viumbe vilipokuwa vimeelekea.
18 А їхні обі́ддя були високі та страшні́; і їхнє обі́ддя довко́ла в чотирьох їх було повне оче́й.
Kama kwa upande kingo, walikuwa warefu na wakutisha, kwa upande kingo kulikuwa na macho yamezunguka kote.
19 І коли ходили ті живі істоти, ходили й ті коле́са при них; а коли ті істоти підіймалися з-над землі, підіймалися й ті коле́са.
Popote vile viumbe hai vilipokuwa vikielekea, yale magurudumu yalielekea karibu nao. Wakati vile viumbe hai vilipoinuka kutoka kwenye nchi, na yale magurudumu yaliinuka pia.
20 Куди бажав дух ходити, ішли, куди мав той дух іти; і ті коле́са підіймалися з ними, бо в коле́сах був дух істот.
Popote Roho alipokwenda, walikwenda, na yale magurudumu yaliinuka karibu nao, roho wa kiumbe hai ilikuwa magurudumu.
21 Коли ті йшли, ходили й вони; а коли ті стояли — стояли й вони; а коли ті підійма́лися з-над землі, підіймалися з ними й ті коле́са, бо був дух істот у тих коле́сах.
Popote vile viumbe vilipoelekea, magurudumu pia yalielekea huko; na wakati wale viumbe viliposimama hata hivyo, magurudumu yalisimama bado; wakati viumbe viliposimama kutoka kwenye nchi, magurudumu yalisimama karibu nao, kwa sababu yule roho wa wale viumbe alikuwa kwenye magurudumu.
22 А на головах тих живих істот була подоба небозво́ду, ніби грізний кришта́ль, розтя́гнений над їхніми голова́ми згори.
Juu ya vichwa vya wale viumbe hai kulikuwa na mfanano wa anga la kutanuka; ilikuwa inang'aa kama mfano wa barafu juu ya vichwa vyao.
23 А під цим небозво́дом були їхні про́сті кри́ла, зве́рнені одне до о́дного. У кожної було по двоє крил, що закривали їм їхні тіла́.
Chini ya anga, kila mabawa ya kiumbe kimoja yalinyooshwa mbele na kugusana kila mabawa na kiumbe kimoja. Pia kila kiumbe hai kilikuwa na jozi moja kwa ajili ya kujifunika vyenyewe; kila kimoja kilikuwa na jozi moja kwa ajili ya kujifunika mwili wake mwenyewe.
24 А коли вони йшли, чув я шум їхніх крил, як шум великої води, як голос Всемогу́тнього, звук га́мору, як табо́ру. А коли вони ставали, опадали їхні крила.
Kisha nikasikia sauti ya mabawa yao. Kama mlio wa maji mengi. Kama sauti ya mwenye enzi popote walipoelekea. Kama sauti ya jeshi. Popote pale waliposimama, walishusha mabawa yao.
25 І розлягався голос з-над небозво́ду, що над їхньою головою. І коли вони ставали, опадали їхні кри́ла.
Sauti ikaja kutoka juu ya anga juu ya vichwa vyao popote waliposimama na kushusha mabawa yao.
26 А згори небозво́ду, що над їхньою головою, була подоба трону на вигляд каменя сапфі́ру; а на подобі трону була подоба на вигляд люди́ни, на ньому згори.
Juu ya anga juu ya vichwa vyao kulikuwa na mfanao wa kiti cha enzi ambacho kilikuwa na mwonekano wa jiwe la samawati, na juu mfano wa kiti cha enzi kilifanana kama mwonekano wa mwanadamu.
27 І бачив я ніби блискучу мідь, на вид огню в сере́дині його навколо, від виду сте́гон його й вище, а від виду сте́гон його й до долу бачив я ніби огонь та ся́йво навко́ло нього.
Nikaona umbo lenye mwonekano wa chuma chenye kung'aa pamoja na moto ndani yake kutoka kwenye mwonekano wa juu ya nyonga zake juu; Nikaona kutoka kwenye mwonekano wa nyonga zake upande wa chini mwonekano wa moto na mng'ao umezunguka kote.
28 Як ви́гляд весе́лки, що буває в хмарі в дощови́й день, такий був ви́гляд сяйва навко́ло. Це був ви́гляд подоби Господньої слави! І коли я це побачив, я впав на обличчя своє, і почув голос, що говорив.
Kama mwonekano wa upinde wa mvua kwenye mawingu katika siku ya mvua ulikuwa na mwonekano wa taa iliyowaka imeizunguka. ulikuwa na mwonekano unaofanana na utukufu wa Yahwe. Wakati nilipouona, nilihisi kwenye uso wangu, na nikasikia sauti ikiongea.

< Єзекіїль 1 >