< До ефесян 2 >

1 І вас, що мертві були через ваші провини й гріхи,
Kama vile mlivyo kuwa mmekufa katika makosa na dhambi zenu.
2 в яких ви колись проживали за звича́єм віку цього́, за волею князя, що панує в повітрі, духа, що працює тепер у неслухня́них, (aiōn g165)
Ilikuwa katika haya kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu. Mlikuwa mkienenda kwa kufuata mtawala wa mamlaka ya anga. Hii ndiyo roho yake yule afanyaye kazi katika wana wa kuasi. (aiōn g165)
3 між якими й усі ми проживали колись у пожадливостях нашого тіла, як чинили волю тіла й думо́к, і з природи були дітьми́ гніву, як і інші, -
Sisi wote hapo mwanzo tulikuwa miongoni mwa hawa wasioamini. Tulikuwa tukitenda kwa namna ya tamaa mbaya za miili yetu. Tulikuwa tukifanya mapenzi ya mwili na ufahamu wetu. Tulikuwa kwa asili wana wa ghadhabu kama wengine.
4 Бог же, багатий на милосердя, через Свою превелику любов, що нею Він нас полюбив,
Lakini Mungu ni mwingi wa rehema kwa sababu ya pendo lake kubwa alilotupenda sisi.
5 і нас, що мертві були через прогріхи, оживив ра́зом із Христом, — спасені ви благода́ттю, -
Wakati tulipokuwa wafu katika makosa yetu, alituleta pamoja katika maisha mapya ndani ya Kristo. Ni kwa neema kwamba mmeokolewa.
6 і ра́зом із Ним воскресив, і ра́зом із Ним посадив на небесних місцях у Христі Ісусі,
Mungu alitufufua pamoja na kutufanya kukaa pamoja katika mahali pa mbingu ndani ya Kristo Yesu.
7 щоб у наступних віках показати безмірне багатство благода́ті Своєї в до́брості до нас у Христі Ісусі. (aiōn g165)
Alifanya hivi ili katika nyakati zijazo aweze kutuonesha utajiri mkuu wa neema yake. Hutuonesha sisi hili kwa njia ya wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
8 Бо спасені ви благода́ттю через віру, а це не від вас, то дар Божий,
Kwa neema mmeokolewa kwa njia ya imani. Na hii haikutoka kwetu. Ni zawadi ya Mungu.
9 не від діл, щоб ніхто не хвалився.
Haitokani na matendo. Matokeo yake, asiwepo mmoja wapo wa kujisifu.
10 Бо ми — Його тво́риво, ство́рені в Христі Ісусі на добрі діла, які Бог наперед приготува́в, щоб ми в них перебува́ли.
Kwa sababu sisi tu kazi ya Mungu, tumeumbwa katika Kristo Yesu kutenda matendo mema. Ni matendo haya ambayo Mungu aliyapanga tangu zamani za kale kwa ajili yetu, ili tutembee katika hayo.
11 Отож, пам'ятайте, що ви, колись тілом погани, що вас так звані рукотворно „обрізані“на тілі звуть „необрізаними“,
Kwa hiyo kumbukeni kwamba hapo zamani mlikuwa watu wa Mataifa kwa jinsi ya mwili. Mnaitwa “msio na tohara” kwa kile kinachoitwa tohara ya mwili inayofanywa kwa mikono ya binadamu.
12 що ви того ча́су були́ без Христа, відлучені від громади ізра́їльської, і чужі заповітам обі́тниці, не мавши надії й без Бога на світі.
Kwa wakati huo mlikuwa mmetengwa na Kristo. Mlikuwa wageni kwa watu wa Israel. Mlikuwa wageni kwa agano la ahadi. Hamkuwa na uhakika wa wakati ujao. Mlikuwa bila Mungu katika ulimwengiu.
13 А тепер у Христі Ісусі ви, що колись далекі були́, стали близькі́ Христовою кров'ю.
Lakini sasa katika Kristo Yesu ninyi ambao hapo mwanzo mlikuwa mbali na Mungu mmeletwa karibu na Mungu kwa damu ya Kristo.
14 Він бо наш мир, що вчинив із двох одне й зруйнував середи́нну перегороду, ворожнечу, Своїм тілом, -
Kwa maana yeye ndiye amani yetu. Alifanya wawili kuwa mmoja. Kwa mwili wake aliuharibu ukuta wa utengano ambao ulikuwa umetutenganisha, huo uadui.
15 Він Своєю наукою знищив Зако́на заповідей, щоб з обох збудувати Собою одно́го ново́го чоловіка, мир чинивши,
Kwamba alikomesha sheria ya amri na kanuni ili kwamba aumbe mtu mmoja mpya ndani yake. Akafanya amani.
16 і хрестом примирити із Богом обох в однім тілі, ворожнечу на ньому забивши.
Alifanya hivi ili kuwapatanisha makundi mawili ya watu kuwa mwili mmoja kwa Mungu kupitia msalaba. Kwa njia ya msalaba aliufisha uadui.
17 І, прийшовши, „Він благовісти́в мир вам, далеким, і мир близьки́м“,
Yesu alikuja na kutangaza amani kwenu ninyi mliokuwa mbali na amani kwao wale waliokuwa karibu.
18 бо обоє Ним маємо при́ступ у Дусі однім до Отця.
Kwa maana kwa njia ya Yesu sisi wote wawili tuna nafasi kwa yule Roho mmoja kuingia kwa Baba.
19 Отже, ви вже не чужі й не прихо́дьки, а співгорожа́ни святим, і домашні для Бога,
Hivyo basi, ninyi watu wa mataifa si wasafiri na wageni tena. Bali ni wenyeji pamoja na wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu na wajumbe katika nyumba ya Mungu.
20 збудовані на основі апо́столів і пророків, де наріжним каменем є Сам Ісус Христос,
Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii. Kristo Yesu mwenyewe alikuwa jiwe kuu la pembeni.
21 що на ньому вся буді́вля, улад побудована, росте в святий храм у Господі,
Katika yeye jengo lote limeungamanishwa pamoja na kukua kama hekalu ndani ya Bwana.
22 що на ньому і ви ра́зом будуєтеся Духом на оселю Божу.
Ni ndani yake ninyi nanyi mnajengwa pamoja kama mahali pa kuishi pa Mungu katika Roho.

< До ефесян 2 >