< 1 хроніки 6 >

1 Левієві сини: Ґершон, Кегат і Мерарі.
Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
2 А сини Кегатові: Амрам, Їцхар, Хеврон, і Уззіїл.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
3 А сини́ Амрамові: Ааро́н, і Мойсе́й, і Мірія́м. А сини Ааронові: Надав і Авігу, Елеазар і Ітамар.
Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
4 Елеазар породив Пінхаса, Пінхас породив Авішую,
Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
5 а Авішуя породив Буккі, а Буккі породив Уззі.
Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
6 А Уззі породив Зерахію, а Зерахія породив Мерайота.
Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
7 Мерайот породив Амарію, а Амарія породив Ахітува.
Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
8 А Ахітув породив Садока, а Садок породив Ахімааца.
Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
9 А Ахімаац породив Азарію, а Азарія породив Йоханана.
Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
10 А Йоханан породив Азарію, — це той, що був священиком у Господньому домі, якого вибудував Соломо́н в Єрусалимі.
Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
11 І Азарія породив Амарію, а Амарія породив Ахітува.
Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
12 А Ахітув породив Садока, а Садок породив Шаллума.
Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
13 А Шаллум породив Хілкійю, а Хілкійя породив Азарію.
Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
14 А Азарія породив Сераю, а Серая породив Єгоцадака.
Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
15 А Єгоцадак пішов до неволі, коли Господь вивів Юду та Єрусалим через Навуходоно́сора.
Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
16 Сини Леві́єві: Ґершом, Кегат та Мерарі.
Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
17 А оце йме́ння Ґершомових синів: Лівні та Шім'ї.
Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
18 А сини Кегатові: Амрам, і Їцхар, і Хеврон, і Уззіїл.
Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
19 Сини Мерарієві: Махлі та Муші. А оце Левієві ро́ди за їхніми батьками:
Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
20 у Ґершома: Лівні його син, син його Яхат, його син — Зімма,
Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
21 його син — Йоах, його син — Іддо, його син — Зерах, його син — Єатрай.
Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
22 Сини Кегатові: Аммінадав — син його, його син — Корах, син його — Ассір,
Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
23 син його — Елкана, син його — Ев'ясаф, син його — Ассір,
Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
24 син його — Тахат, син його — Уріїл, син його Уззійя та Саул — син його.
Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
25 А сини Елкани: Амасай та Ахімот.
Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
26 Елкана — його син, Цофай — син його, і Нахат — син його,
Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
27 Еліяв — син його, Єрохам — син його, Елкана — син його.
Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
28 А Самуїлові сини: перворо́джений Йоїл, а другій Авійя.
Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
29 Сини Мерарієві: Махлі, його син — Лівні, його син — Шім'ї, його син Узза,
Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
30 син його — Шім'а, син його — Хаґґійя, син його — Асая.
Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
31 А оце ті, яких Давид поставив для співа́ння в Господньому домі, від часу ми́ру ковчега.
Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
32 І вони служили перед скинією, скинією заповіту, піснею, аж поки Соломон не збудував Господнього дому в Єрусалимі. І вони ставали, за уставом своїм, на свою службу.
Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
33 А оце ті, що стояли, та їхні сини: співа́к Геман, син Йоїла, сина Самуїла,
Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
34 сина Елкани, сина Єрохама, сина Еліїла, сина Тоаха,
Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
35 сина Цуфа, сина Елкани, сина Махата, сина Амасая,
Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
36 сина Алкани, сина Йоїла, сина Азарії, сина Цефанії,
Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
37 сина Тахата, сина Ассіра, сина Ев'ясафа, сина Кораха,
Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
38 сина Їцхара, сина Кегата, сина Леві, сина Ізраїля.
Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
39 А брат його Асаф, що стояв на правиці його: Асаф був сином Берехії, сина Шім'ї,
Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
40 сина Михаїла, сина Баасеї, сина Малкійї,
Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
41 сина Етні, сина Зераха, сина Адаї,
Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
42 сина Етана, сина Зіммі, сина Шім'ї,
Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
43 сина Йахата, сина Ґершома, сина Леві.
Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
44 А сини Мерарі, брати їхні на лівиці: Етам, син Кіші, сина Авді, сина Маллуха,
Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
45 сина Хашав'ї, сина Амації, сина Хілкійї,
Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
46 сина Амці, сина Бані, сина Шамері
Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
47 сина Махті, сина Муші, сина Мерарі, сина Леві.
Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
48 А брати їх Левити дані на всяку роботу скинії Божого дому.
Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
49 А Ааро́н та сини його палили на жертівнику цілопа́лення та на кадильному жертівнику, і були на всяку роботу Святого Святих, та на очи́щення Ізраїля, згідно зо всім тим, що наказав був Мойсей, раб Божий.
Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
50 А оце Ааро́нові сини: Елеазар — син його, його син — Пінхас, його син — Авішуя,
Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
51 його син — Буккі, його син — Уззі, його син — Зерахія,
Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
52 його син — Мерайот, його син — Амарія, його син — Ахітув,
Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
53 його син — Садо́к, його син — Ахімаац.
Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
54 А оце місце їхнього сидіння за їхніми оса́дами, в їхніх границях, синам Аароно́вим, з роду Кегатівців, бо для них був такий жеребо́к.
Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
55 І дали́ їм Хевро́н в Юдиному кра́ї, та пасови́ська його навколо нього.
Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
56 А міське поле та осади його дали Калеву, синові Ефунне.
lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
57 А Аароновим синам дали міста схо́вища: Хевро́н, і Лівну та її пасови́ська, і Яттір, і Ештемоа та пасови́ська його,
Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
58 і Хілен та пасови́ська його́, Девір та пасови́ська його́,
Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
59 і Ашон та пасови́ська його, і Бет-Шемеш та пасови́ська його.
Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
60 А з племени Веніяминового: Ґеву та пасови́ська її, і Алемет та пасови́ська його, і Анатот та пасови́ська його, — усіх їхніх міст в їхніх родах — тринадцять міст.
na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
61 А Кегатовим синам, позоста́лим із роду племени, дано з половини племени, племени Манасіїного, жеребко́м десять міст.
Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
62 А Ґершомовим синам, за їхніми ро́дами, з племени Іссаха́рового, і з племени Аси́рового, і з племени Нефтали́мового, і з племени Манасі́їного в Баша́ні дано тринадцять міст.
Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
63 Синам Мерарієвим за ро́дами їх із племени Руви́мового, і з племени Ґадового, і з племени Завуло́нового дано за жеребко́м дванадцять міст.
Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
64 І дали Ізраїлеві сини Левитам ті міста та їхні пасови́ська.
Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
65 Вони дали жеребко́м із племени Юдиних синів, і з племени Симеонових синів, і з племени Веніяминових синів ті міста, що їх вони назвали імена́ми.
Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
66 А щодо тих, що з родів Кегатових синів, то міста границь їх були́ від Єфремового племени.
Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
67 І дали їм міста схо́вища: Сихе́м та пасови́ська його, в Єфремових горах, і Ґезер та пасови́ська його,
Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
68 і Йокмеам та пасови́ська його, і Бет-Хорон та пасови́ська його,
Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
69 і Айялон та пасови́ська його, і Ґат-Ріммон та пасови́ська його.
Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
70 А з половини Манасіїного племени: Анер та пасови́ська його, і Біл'ам та пасови́ська його, за ро́дами позосталих Кегатових синів.
Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
71 Ґершомовим синам із роду половини Манасіїного племени: Ґолан у Башані та пасови́ська його, і Аштарот та пасови́ська його́.
Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
72 А з Іссаха́рового племени: Кедеш та пасови́ська його́, і Доврат та пасови́ська його́,
Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
73 і Рамот та пасови́ська його́, і Анем та пасови́ська його́.
Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
74 А з Аси́рового племени: Машал та пасови́ська його, і Авдон та пасови́ська його,
Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
75 і Хукок та пасови́ська його, і Рехов та пасови́ська його́.
Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
76 А з племени Нефтали́мового: Кедеш у Ґалілі та пасови́ська його, і Хаммон та пасови́ська його, і Кір'ятаїм та пасови́ська його.
Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
77 А позоста́лим Мерарієвим синам із Завулонового племени: Ріммон та пасови́ська його, Фавор та пасови́ська його.
Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
78 А з другого боку Йорда́ну при Єрихо́ні, на схід від Йорда́ну, з Рувимового племени: Бецер на пустині та пасови́ська його, і Ягца та пасови́ська її,
Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
79 і Кедемот та пасови́ська його, і Мефаат та пасови́ська його.
Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
80 А з Ґадового племени: Рамот у Ґілеаді та пасови́ська його, і Маханаїм та пасови́ська його,
Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
81 і Хешбон та пасови́ська його, і Яазір та пасови́ська його,
Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.

< 1 хроніки 6 >