< Vahiy 11 >

1 Bana değneğe benzer bir ölçü kamışı verilip şöyle dendi: “Git, Tanrı'nın Tapınağı'nı ve sunağı ölç, orada tapınanları say!
Kisha nikapewa mwanzi uliokuwa kama kijiti cha kupimia, nikaambiwa, “Inuka, ukalipime Hekalu la Mungu, madhabahu ya kufukizia ubani, na ukawahesabu watu wanaoabudu ndani ya Hekalu.
2 Tapınağın dış avlusunu bırak, orayı ölçme. Çünkü orası, kutsal kenti kırk iki ay ayaklarıyla çiğneyecek olan uluslara verildi.
Lakini uache ukumbi ulio nje ya Hekalu; usiupime, maana huo umekabidhiwa watu wa mataifa mengine, ambao wataukanyanga mji Mtakatifu kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
3 İki tanığıma güç vereceğim; çul giysiler içinde bin iki yüz altmış gün peygamberlik edecekler.”
Nami nitawatuma mashahidi wangu wawili ili watangaze ujumbe wa Mungu kwa muda huo wa siku elfu moja mia mbili na sitini wakiwa wamevaa mavazi ya magunia.”
4 Bunlar yeryüzünün Rabbi önünde duran iki zeytin ağacıyla iki kandilliktir.
Hao mashahidi wawili ni miti miwili ya Mizeituni na taa mbili zinazosimama mbele ya Bwana wa dunia.
5 Biri onlara zarar vermeye kalkışırsa, ağızlarından ateş fışkıracak ve düşmanlarını yiyip bitirecek. Onlara zarar vermek isteyen herkesin böyle öldürülmesi gerekir.
Kama mtu akijaribu kuwadhuru, moto hutoka kinywani mwao na kuwaangamiza adui zao; na kila mtu atakayejaribu kuwadhuru atakufa namna hiyo.
6 Peygamberlik ettikleri sürece yağmur yağmasın diye göğü kapamaya yetkileri vardır. Suları kana dönüştürme ve yeryüzünü, kaç kez isterlerse, her türlü belayla vurma yetkisine sahiptirler.
Hao wanayo mamlaka ya kufunga anga, mvua isinyeshe wakati wanapotangaza ujumbe wa Mungu. Tena wanayo mamlaka ya kuzigeuza chemchemi zote za maji ziwe damu, na ya kusababisha maafa ya kila namna duniani kila mara wapendavyo.
7 Tanıklık görevleri sona erince dipsiz derinliklerden çıkan canavar onlarla savaşacak, onları yenip öldürecek. (Abyssos g12)
Lakini wakisha maliza kutangaza ujumbe huo, mnyama atokaye shimoni kuzimu atapigana nao, atawashinda na kuwaua. (Abyssos g12)
8 Cesetleri, simgesel olarak Sodom ve Mısır diye adlandırılan büyük kentin anayoluna serilecek. Onların Rabbi de orada çarmıha gerilmişti.
Maiti zao zitabaki katika barabara za mji mkuu ambapo Bwana wao alisulubiwa; jina la kupanga la mji huo ni Sodoma au Misri.
9 Her halktan, oymaktan, dilden, ulustan insan üç buçuk gün cesetlerini seyredecek, cesetlerinin mezara konulmasına izin vermeyecekler.
Watu wa kila kabila, lugha, taifa na rangi wataziangalia maiti hizo kwa muda wa siku tatu na nusu, na hawataruhusu zizikwe.
10 Yeryüzünde yaşayanlar onların bu durumuna sevinip bayram edecek, birbirlerine armağanlar gönderecekler. Çünkü bu iki peygamber yeryüzünde yaşayanlara çok eziyet etmişti.
Watu waishio duniani watafurahia kifo cha hao wawili. Watafanya sherehe na kupelekeana zawadi maana manabii hawa wawili walikuwa wamewasumbua mno watu wa dunia.
11 Üç buçuk gün sonra iki peygamber, Tanrı'dan gelen yaşam soluğunu alınca ayağa kalktılar. Onları görenler dehşete kapıldı.
Lakini baada ya zile siku tatu na nusu pumzi ya uhai kutoka kwa Mungu iliwaingia, nao wakasimama; wote waliowaona wakaingiwa na hofu kuu.
12 İki peygamber gökten gelen yüksek bir sesin, “Buraya çıkın!” dediğini işittiler. Sonra düşmanlarının gözü önünde bir bulut içinde göğe yükseldiler.
Kisha hao manabii wawili wakasikia sauti kubwa kutoka mbinguni ikiwaambia, “Njoni hapa juu!” Nao wakapanda juu mbinguni katika wingu, maadui wao wakiwa wanawatazama.
13 Tam o saatte şiddetli bir deprem oldu, kentin onda biri yıkıldı. Depremde yedi bin kişi can verdi. Geriye kalanlar dehşete kapılıp gökteki Tanrı'yı yücelttiler.
Wakati huohuo, kukatokea tetemeko kubwa la ardhi, sehemu moja ya kumi ya ardhi ikaharibiwa. Watu elfu saba wakauawa kwa tetemeko hilo la ardhi. Watu waliosalia wakaogopa sana, wakamtukuza Mungu wa mbinguni.
14 İkinci “vay” geçti. İşte, üçüncü “vay” tez geliyor.
Maafa ya pili yamepita; lakini tazama! Maafa ya tatu yanafuata hima.
15 Yedinci melek borazanını çaldı. Gökte yüksek sesler duyuldu: “Dünyanın egemenliği Rabbimiz'in ve Mesihi'nin oldu. O sonsuzlara dek egemenlik sürecek.” (aiōn g165)
Kisha malaika wa saba akapiga tarumbeta yake. Na sauti kuu zikasikika mbinguni zikisema, “Sasa utawala juu ya ulimwengu ni wa Bwana wetu na Kristo wake. Naye atatawala milele na milele!” (aiōn g165)
16 Tanrı'nın önünde tahtlarında oturan yirmi dört ihtiyar yüzüstü yere kapandı. Tanrı'ya tapınarak şöyle dediler: “Her Şeye Gücü Yeten, Var olan, var olmuş olan Rab Tanrı! Sana şükrediyoruz. Çünkü büyük gücünü kuşanıp Egemenlik sürmeye başladın.
Kisha wale wazee ishirini na wanne walioketi mbele ya Mungu katika viti vyao vya enzi, wakaanguka kifudifudi, wakamwabudu Mungu,
wakisema: “Bwana Mungu Mwenye uwezo, uliyeko na uliyekuwako! Tunakushukuru, maana umetumia nguvu yako kuu ukaanza kutawala!
18 Uluslar gazaba gelmişlerdi. Şimdiyse senin gazabın üzerlerine geldi. Ölüleri yargılamak, Kulların olan peygamberleri, kutsalları, Küçük olsun büyük olsun, Senin adından korkanları ödüllendirmek Ve yeryüzünü mahvedenleri mahvetmek zamanı da geldi.”
Watu wa mataifa waliwaka hasira, maana wakati wa ghadhabu yako umefika, wakati wa kuwahukumu wafu. Ndio wakati wa kuwatuza watumishi wako manabii, watu wako na wote wanaolitukuza jina lako, wakubwa kwa wadogo. Ni wakati wa kuwaangamiza wale wanaoangamiza dunia.”
19 Ardından Tanrı'nın gökteki tapınağı açıldı, tapınakta O'nun Antlaşma Sandığı göründü. O anda şimşekler çaktı, uğultular, gök gürlemeleri işitildi. Yer sarsıldı, şiddetli bir dolu fırtınası koptu.
Hekalu la Mungu mbinguni likafunguliwa, na Sanduku la Agano lake likaonekana Hekaluni mwake. Kisha kukatokea umeme, sauti, ngurumo, tetemeko la ardhi, na mvua kubwa ya mawe.

< Vahiy 11 >